Waziri wa Sweden akisubiri garimoshi (treni) kurejea Nyumbani mara baada ya kutoka kazini

Waziri wa Sweden akisubiri garimoshi (treni) kurejea Nyumbani mara baada ya kutoka kazini

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Waziri wa Sweden akisubiri garimoshi (treni) kurejea Nyumbani mara baada ya kutoka kazini,
Amenunua Baga kama chakula chake cha Jioni.

Hili ni tabasamu lake la wastani mara baada ya kuombwa kuweka pozi kwa ajili ya kupiga picha,
Jina la raia huyu ni Elva Johansson.

WAZIRI.jpg

Na kazi yake ni WAZIRI WA KAZI nchini Sweden.

Hana msafara wa magari, hana msululu wa walinzi, hayupo hata na wasaidizi, yupo zake mwenyewe, simple tu.

Sweden ni nchi tajiri iliyoendelea lakini wanaonesha nidhamu kubwa ya matumizi ya fedha za Umma.

Waafrika tunacho cha kujifunza, umasikini tulionao unatokana na wenzetu wachache ambao wanaiba na kufuja kilichotakiwa kigawiwe kwa wengi!

Tujisahihishe!
 
Waziri wa Sweden akisubiri garimoshi (treni) kurejea Nyumbani mara baada ya kutoka kazini,
Amenunua Baga kama chakula chake cha Jioni.

Hili ni tabasamu lake la wastani mara baada ya kuombwa kuweka pozi kwa ajili ya kupiga picha,
Jina la raia huyu ni Elva Johansson.


Na kazi yake ni WAZIRI WA KAZI nchini Sweden.

Hana msafara wa magari, hana msululu wa walinzi, hayupo hata na wasaidizi, yupo zake mwenyewe, simple tu.

Sweden ni nchi tajiri iliyoendelea lakini wanaonesha nidhamu kubwa ya matumizi ya fedha za Umma.

Waafrika tunacho cha kujifunza, umasikini tulionao unatokana na wenzetu wachache ambao wanaiba na kufuja kilichotakiwa kigawiwe kwa wengi!

Tujisahihishe!
rejea gharama zilizotumiwa na serikali kuficha upuuzi wa naibu waziri.
 
Bado viongozi wetu wana mentality za kimaskini, wao wanaona wakiendeshwa kwenye magari ya bei mbaya zaidi ya wananchi wao, ndio watajitofautisha nao, wakati wenzao hawataki tofauti kati yao na wale wanaowaongoza.

Naamini, viongozi wa nchi za nje kama huyo wa Sweden, akiwaona viongozi wetu wanaendeshwa kwa v8 wakati hapo utakuta ametoka kazini kuangalia namna ya kuipatia serikali yetu msaada, anawahurumia viongozi wetu vile walivyo malimbukeni waliojaa ujinga vichwani.
 
Haya pia yana gharama zake
Kumbuka Waziri Mkuu wa Sweden Olof Palme aliuawa kwa kupigwa risasi mjini Stockholm 1986, wakati anatoka kuangalia sinema na mke wake Lisbet bila kuwa na walinzi.
Kama huna baya na mtu nani akuue. Mfano Kenya kuna waziri alipata ajali akiwa na kimada wake kwenye V8. Kimada wa Kenyatta University.
 
Tatizo ni wananchi!!

Waziri akija mkutanoni kwa Boda boda mtamdharau. Akigombea mtu tajiri na maskini mtamchagua tajiri na kumwacha maskini mwenzenu kwa hoja kwamba asije kupeleka njaa yake kwenye uongozi.

Wananchi wanataka viongozi wao wawe tofauti nao kiukwasi na ndiyo maana mtu akiwa kiongozi na mwisho wa siku akiwa maskini baada ya kutoka uongozini, wananchi wenzake wanamcheka.
 
Hongera Kwao, Waziri Ametokelezea
Tanzania Hatuwezi Hayo Tena Unataka Gari Mpya V8 Ambayo Toka Kiwandani
Unatembea Na Lundo La Watu Pesa Unaitumia Vema

Tena vxr Gari ya kifahari kabisa hadi wageni kutoka nchi zilizoendelea wanatushangaa.
Kuna jamaa yangu mcanada alikuwa bongo alivyoyaona ma vxr akasema nchini kwenu kuna matajiri wengi kutokana na kukutana na mavxr jijini DSM.
Kuna moja likapita nikamwambia hilo na mengi ya namna hiyo unayokutana nayo ni Magari ya Serikali.
Jamaa alishangàa sana,
 
Waziri wa Sweden akisubiri garimoshi (treni) kurejea Nyumbani mara baada ya kutoka kazini,
Amenunua Baga kama chakula chake cha Jioni.

Hili ni tabasamu lake la wastani mara baada ya kuombwa kuweka pozi kwa ajili ya kupiga picha,
Jina la raia huyu ni Elva Johansson.


Na kazi yake ni WAZIRI WA KAZI nchini Sweden.

Hana msafara wa magari, hana msululu wa walinzi, hayupo hata na wasaidizi, yupo zake mwenyewe, simple tu.

Sweden ni nchi tajiri iliyoendelea lakini wanaonesha nidhamu kubwa ya matumizi ya fedha za Umma.

Waafrika tunacho cha kujifunza, umasikini tulionao unatokana na wenzetu wachache ambao wanaiba na kufuja kilichotakiwa kigawiwe kwa wengi!

Tujisahihishe!
 
Haya pia yana gharama zake
Kumbuka Waziri Mkuu wa Sweden Olof Palme aliuawa kwa kupigwa risasi mjini Stockholm 1986, wakati anatoka kuangalia sinema na mke wake Lisbet bila kuwa na walinzi.
Weka hapa waziri mwingine wa nchi hiyo aliyefanyiwa kitendo hicho baada ya Palme,huyo alikuwa na mambo yake mengine yaliyosababisha kitokee kilichotokea.

Kubali tu mtu mweusi ni nyani ukianza na hao viongozi.
 
Waziri wa Sweden akisubiri garimoshi (treni) kurejea Nyumbani mara baada ya kutoka kazini,
Amenunua Baga kama chakula chake cha Jioni.

Hili ni tabasamu lake la wastani mara baada ya kuombwa kuweka pozi kwa ajili ya kupiga picha,
Jina la raia huyu ni Elva Johansson.


Na kazi yake ni WAZIRI WA KAZI nchini Sweden.

Hana msafara wa magari, hana msululu wa walinzi, hayupo hata na wasaidizi, yupo zake mwenyewe, simple tu.

Sweden ni nchi tajiri iliyoendelea lakini wanaonesha nidhamu kubwa ya matumizi ya fedha za Umma.

Waafrika tunacho cha kujifunza, umasikini tulionao unatokana na wenzetu wachache ambao wanaiba na kufuja kilichotakiwa kigawiwe kwa wengi!

Tujisahihishe!
Nidhamu ya kutumia magari kwa wenzetu si kwa magari ya umma tu hata magari yao binafsi.
 
Back
Top Bottom