GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Poleni sana family. Bila shaka anaenda peponi moja kwa moja maana amefia ibadani. Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana family. Bila shaka anaenda peponi moja kwa moja maana amefia ibadani. Apumzike kwa amani
Afadhali umesadia kuuliza maswali niliyokuwa najiuliza maana haiwezekani mtu azikwe ugenini wakati ana mji wake, watoto, majukuu na jamaa zake.Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....
1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?
2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?
3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?
4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?
5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?
6. Kwanini haya Maamuzi ya Baba yake kuzikwa huko huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?
7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?
Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Kwahiyo tuseme kifo ni nini?Usilete ujinga wako kwenye Mambo yanayogusa Hisia za Watu.
Hiyo kauli ya mama yako, chawa wewe.Usilete ujinga wako kwenye Mambo yanayogusa Hisia za Watu.
BABA WA CHEBUKATI AFARIKI DUNIANdugu zangu watanzania,
Nawaleteeni taarifa ya majonzi na masikitiko makubwa sana juu ya kifo cha Baba mzazi wa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ambaye Amefiwa na Baba yake Mzazi mzee Omary Mchengerwa akiwa katika ibada huko Makka.
Ambapo taarifa inasema ya kuwa atazikwa huko huko Makka. ila ataombewa dua na kufanyiwa Ibada huku Tanzania itakayoongozwa na Mufti Dkt Zubeir.
Embu Soma hapa👉Baba yake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makka.
Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.
Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.
LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025
Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri
KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025
Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji
KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025
Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
Kwahiyo makando kando ndio yamemuondoa?Pole Sana Ila nasikia kwenda huko unabidi utumie HELA ambazo hazina makando kando.
Umeuliza maswali ya kipumbavu sana. Wakati mwingine ni vema kuficha uwendawazimu wako.Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....
1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?
2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?
3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?
4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?
5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?
6. Kwanini haya Maamuzi ya Baba yake kuzikwa huko huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?
7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?
Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Kweli kabisa ! Kufa katika ibada tukufu tena katika mji mtukufu ni alama ya mwisho mwema japo hatusemi ni kwenda peponi kwa 100%.Poleni sana family. Bila shaka anaenda peponi moja kwa moja maana amefia ibadani. Apumzike kwa amani
Hakuna lolote watu wanaenda na pesa za dhurumaPole Sana Ila nasikia kwenda huko unabidi utumie HELA ambazo hazina makando kando.
Mwendawazimu Mwandamizi MamaSamia2025 anamsema Mwendawazimu Mchanga GENTAMYCINE.Umeuliza maswali ya kipumbavu sana. Wakati mwingine ni vema kuficha uwendawazimu wako.
Kifo ni kifo tu!Usilete ujinga wako kwenye Mambo yanayogusa Hisia za Watu.
Kwa swali namba 3 naweza kujibu kwa kusema labda marehemu ni raia wa Saudi Arabia!Afadhali umesadia kuuliza maswali niliyokuwa najiuliza maana haiwezekani mtu azikwe ugenini wakati ana mji wake, watoto, majukuu na jamaa zake.
Hizi ni akilia na fikra za kitumwa
kwani kuna kifo hakigusi hisia za watu? Mbona wao walijibu hivo kwa mtu aleuawa kwa kutekwa?Usilete ujinga wako kwenye Mambo yanayogusa Hisia za Watu.
Tatizo Lako ni nini? 😄johnthebaptist na Lucas Mwashambwa ni akaunti moja?
Swali la 3 lina mashiko, kama mimi nina uwezo wa kugharamia kujenga studio ya wasanii kwa milioni 60 je gharama za kusafirisha zikojeNaomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....
1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?
2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?
3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?
4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?
5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?
6. Kwanini haya Maamuzi ya Baba yake kuzikwa huko huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?
7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?
Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.