Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hanaChawa Gegedu huwa na Majibu ya Maswali magumu, yenye Mitego mingi na yanayohitaji pia Akili Kubwa sana Kuyajibu?
Mahujaji huona kwa mujibu wa imani yao kwamba kufia huko unaenda peponi moja kwa moja. Hivyo wengine hujitupa chini huku wakikanyagwa na wenzao na kufariki hapohapo.Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....
1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?
2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?
3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?
4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?
5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?
6. Kwanini haya Maamuzi ya Marehemu kuzikwa huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?
7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?
Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Kwa mujibu wa Quran tukufu Muislamu huzikwa pale alipofia ilmradi tu wapo Waislamu wa kumzikaKwani uwezo wq kusafirish hawana?
Ndugu zangu watanzania,
Nawaleteeni taarifa ya majonzi na masikitiko makubwa sana juu ya kifo cha Baba mzazi wa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ambaye Amefiwa na Baba yake Mzazi mzee Omary Mchengerwa akiwa katika ibada huko Makka.
Ambapo taarifa inasema ya kuwa atazikwa huko huko Makka. ila ataombewa dua na kufanyiwa Ibada huku Tanzania itakayoongozwa na Mufti Dkt Zubeir.
Embu Soma hapa👉Baba yake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makka.
Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.
Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.
LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025
Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri
KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025
Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji
KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025
Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
Kwa mujibu wa Quran tukufu Muislamu huzikwa pale alipofia ilmradi tu wapo Waislamu wa kumzika
Nasrallah kazikwa jana Kwa mara ya pili na Waislamu wale waleShekhe Nasra wa Hizbollah hajazikwa mpaka leo. Mbona nyie wa huku mnatuchanganya? Iran alikaa zaidi ya week
Maswali mengi basi unajiona una akili wakati ni upumbavu mtupu. Maswala ya kifamilia unashoboka kuuliza maswal yasiokuhusu yaan umbea umbea tu na ushenzi. Yanga bingwaNaomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....
1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?
2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?
3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?
4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?
5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?
6. Kwanini haya Maamuzi ya Marehemu kuzikwa huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?
7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?
Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Haraka ya nini Wewe chawa? Acha kukurupuka kwenye misiba ya watu.Tayari nimeshafuta na kuondoa Picha iliyokuwepo. Asante kwa mawazo yako.
Nasrallah kazikwa jana Kwa mara ya pili na Waislamu wale wale
Kama Mimi tu GENTAMYCINE nimemfundisha mahala mwaka 2011 hadi 2012 na hakuwa na Akili (Mfeliji) leo awe Genius JF?Haraka ya nini Wewe chawa? Acha kukurupuka kwenye misiba ya watu.
Huku hakunaga Waislamu wako hawa Bakwata ambao Wana muandamo wao wa mwezi wa RamadanHapo ndio nachanganyikiwa maana huku kwetu, waliosoma wakabobea, hiyo ni haramu kabisa
Usi justify wizi, wapo watu wengi tu wanaishi vizuri kwa pesa zisizo na makandokando ambayo wewe na wezi wenzako mnayabarikina hakuna hela isiyo na makandokando,labda uchapishe zako!
InnaLilahi wa inna illah rajuun je mkwe alimpima afya kabla ya safari?🙄Baba yake Wazir wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makkah.
Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.
Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.
LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025
Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri
KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025
Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji
KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025
Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
Mpeni pole Samia kwa kufiwa na mzazi mwenzie! Itabidi akatishe ziara ya Tanga.KIFO NI KIFO TU KWA MUJIBU WA SAMIA
Kwanza naomba kukanusha vikali sana kuwa mimi siyo Mwanafunzi wako na Kamwe wewe haujawahi kuwa Mwalimu wangu katika ngazi yoyote ile na katika jambo lolote lile. na kamwe huwezi kuwa mwalimu wangu na kunifundisha mimi jambo lolote lile. Hivi unafikiri ualimu ni kazi nyepesi hadi machizi wawe walimu wa kuweza kufundisha watu??Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....
1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?
2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?
3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?
4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?
5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?
6. Kwanini haya Maamuzi ya Marehemu kuzikwa huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?
7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?
Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Hapana.johnthebaptist na Lucas Mwashambwa ni akaunti moja?