TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....

1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?

2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?

3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?

4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?

5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?

6. Kwanini haya Maamuzi ya Marehemu kuzikwa huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?

7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?

Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Mahujaji huona kwa mujibu wa imani yao kwamba kufia huko unaenda peponi moja kwa moja. Hivyo wengine hujitupa chini huku wakikanyagwa na wenzao na kufariki hapohapo.

JAMBO LA KUJIULIZA KWANINI MIJI HIYO INAKUNYWA DAMU KILA MWAKA YA MAHUJAJI NA HAKUNA ANAYE SHITUKA? NA HAKUNA ANAYE HOJI?
wanakufa kwa kukosa maarifa
 
Kuzikwa huko makka ni kwa sababu mhe. waziri pamoja na serikali ya samia wamekosa ndege ya kumleta huku au kwa sababu kule ni mji mtakatifu ataenda peponi moja kwa moja?
 
Ndugu zangu watanzania,

Nawaleteeni taarifa ya majonzi na masikitiko makubwa sana juu ya kifo cha Baba mzazi wa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ambaye Amefiwa na Baba yake Mzazi mzee Omary Mchengerwa akiwa katika ibada huko Makka.

Ambapo taarifa inasema ya kuwa atazikwa huko huko Makka. ila ataombewa dua na kufanyiwa Ibada huku Tanzania itakayoongozwa na Mufti Dkt Zubeir.

Embu Soma hapa👉Baba yake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makka.

Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.

Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.

LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025

Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri

KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025

Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji

KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025

Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.

Inabidi uende haraka maana kuna wanaosema wanaoenda hawarudi inakuwaje tena???
 
Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....

1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?

2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?

3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?

4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?

5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?

6. Kwanini haya Maamuzi ya Marehemu kuzikwa huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?

7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?

Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Maswali mengi basi unajiona una akili wakati ni upumbavu mtupu. Maswala ya kifamilia unashoboka kuuliza maswal yasiokuhusu yaan umbea umbea tu na ushenzi. Yanga bingwa
 
Baba yake Wazir wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makkah.

Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.

Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.

LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025

Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri

KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025

Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji

KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025

Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
InnaLilahi wa inna illah rajuun je mkwe alimpima afya kabla ya safari?🙄
 
Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....

1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?

2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?

3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?

4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?

5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?

6. Kwanini haya Maamuzi ya Marehemu kuzikwa huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?

7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?

Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Kwanza naomba kukanusha vikali sana kuwa mimi siyo Mwanafunzi wako na Kamwe wewe haujawahi kuwa Mwalimu wangu katika ngazi yoyote ile na katika jambo lolote lile. na kamwe huwezi kuwa mwalimu wangu na kunifundisha mimi jambo lolote lile. Hivi unafikiri ualimu ni kazi nyepesi hadi machizi wawe walimu wa kuweza kufundisha watu??
 
Back
Top Bottom