Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #101
Nenda na wewe.Alipangiwa atakufa huko makkah. Waislam wanaamini mtu huwa anafuata kaburi lake. Na mimi natamani kulifuata kwenye taifa teule Israel nitafurahi balaa nikifa Israel.
Ritz Jagina Malaria 2 gTurn Adiosamigo 100 others and 100 others
Nyau de adriz
Sasa kwamfano umefia hospitali na daktari kakupima na kathibitisha kwamba umekufa na haujazimia, Sasa sisi tuendelee kukuweka tyuuuu! Wiki, mwezi mwaka tukingoja siku moja utaamka tu?!Lakini kwenye kuzika, huku unaweza kuzikwa hata kama umezimia. Fasta fasta. Wenzetu wanasubiria kwanza wajihakikishie umekufa.
Hii ya huku sio far kabisa. Inaleta mashaka sana
Sasa kwamfano umefia hospitali na daktari kakupima na kathibitisha kwamba umekufa na haujazimia, Sasa sisi tuendelee kukuweka tyuuuu! Wiki, mwezi mwaka tukingoja siku moja utaamka tu?!
Sisi hatufanyi hivyo!
Dokta akishasema kwamba ndugu yenu kafariki, sisi tunachukua majembe na shepe/beleshi tunaelekea makaburini.
Ukifia huko lazima utassfirishwa ukazikwe kwenu Marangu!Alipangiwa atakufa huko makkah. Waislam wanaamini mtu huwa anafuata kaburi lake. Na mimi natamani kulifuata kwenye taifa teule Israel nitafurahi balaa nikifa Israel.
Ritz Jagina Malaria 2 gTurn Adiosamigo 100 others and 100 others
Nyau de adriz
Ni hadi doctor athibitishe kuwa roho yangu na mwili vimeishaachana ndiyo nizikwe!Usifanye mazoezi ya kuzimia utazikwa we mzee wewe. Huku kwetu dini iko kwenye levels tofauti sana
Kifo hakijapiga penyewe,kimepakwepa penyeweBaba yake Wazir wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makkah.
Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.
Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.
LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025
Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri
KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025
Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji
KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025
Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
Hata nikirudishwa HAIJALISHI bora nimekufa kwenye taifa teule hiyo imetosha maamaee.Ukifia huko lazima utassfirishwa ukazikwe kwenu Marangu!
Kitu msichojua ni kwamba wahahudi ni wabaguzi sana kiasi kwamba mataifa mengine wanaona ni manyani tu.
Wayahudi hawawezi kukubali nyani mweusi azikwe kwenye ardhi yao ambayo wanaamini wamepewa na Jehova.
Lucas de mwashambwaNenda na wewe.
Ujinga wa mtu mweusi kwa hiyo hapo imani inaonyesha yupo peponi kisa kaburi la Mwarabu kwenda kulishika.Ndugu zangu watanzania,
Nawaleteeni taarifa ya majonzi na masikitiko makubwa sana juu ya kifo cha Baba mzazi wa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ambaye Amefiwa na Baba yake Mzazi mzee Omary Mchengerwa akiwa katika ibada huko Makka.
Ambapo taarifa inasema ya kuwa atazikwa huko huko Makka. ila ataombewa dua na kufanyiwa Ibada huku Tanzania itakayoongozwa na Mufti Dkt Zubeir.
Embu Soma hapa👉Baba yake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makka.
Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.
Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.
LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025
Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri
KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025
Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji
KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025
Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
Sasa mkuu..Mbona inakua ngumu..kwaio pesa ya kubeti, wizi, dhuruma, utapeli,riba, ufisadi ndio ukienda hutoboi?Pole Sana Ila nasikia kwenda huko unabidi utumie HELA ambazo hazina makando kando.
Kumbe pesa ndogoKuna Mdau wa Masuala ya Aviation nimetoka Kumuuliza gharama ya Kumsafirisha Mzee huko alikofia hadi Dar ni 15M tu.
Maswali gani hayo unamuuliza chawa, yeye alipoona habari imemtaja Mchengerwa moja kwa moja msiba ukawa wake na si ajabu alilia kabisa bila hata kumjua hata kwa picha marehemu.Naomba unijibu haya Maswali yangu yafuatayo ukiwa kama CHAWA GEGEDU wa Familia yake na ya Mkwe wake.....
1. Nini kimesababisha hasa Kifo cha Baba yake?
2. Kabla ya Baba yake kwenda huko alikofia alipimwa Afya?
3. Kumeshindikana nini Kuurudisha Mwili Tanzania ili azikwe na imelazimika azikwe huko huko alikofia?
4. Je, katika hizi Ratiba zote tajwa hapa juu Mama Mkwe na Dogo Dullah watahudhuria?
5. Kwa mazingira yaliyoko huko Alikofia Baba yake Mzazi na Umri wake kulikuwa na Ulazima wowote Yeye kwenda?
6. Kwanini haya Maamuzi ya Marehemu kuzikwa huko Alikofia yamekuwa ni ya haraka sana na yanalazimishwa?
7. Je, yale Masharti ya Watu kwenda Kuhiji huko Alikofia yalifuatwa vyema na Yeye Marehemu na Mwanae Waziri?
Nasubiria majibu yako CHAWA GEGEDU wa Familia zote mbili ya Mfiwa na Mkwe na pia ukiwa kama Mwanafunzi wangu.
Taifa teule watu wanauana kama wapo Gugulethu au Hanover Park.
Amezikwa huko kwa sababu ya kiimani zaidi yaani mnaamini Waziri na Serikali itashindwa kumleta Mtanzania kutoka Macca kweli?.Kumbe pesa ndogo
Nashangaa mashirika ya kimataifa yamekaa kimya, na hata Mahakama yaMahujaji huona kwa mujibu wa imani yao kwamba kufia huko unaenda peponi moja kwa moja. Hivyo wengine hujitupa chini huku wakikanyagwa na wenzao na kufariki hapohapo.
JAMBO LA KUJIULIZA KWANINI MIJI HIYO INAKUNYWA DAMU KILA MWAKA YA MAHUJAJI NA HAKUNA ANAYE SHITUKA? NA HAKUNA ANAYE HOJI?
wanakufa kwa kukosa maarifa
Swala la kuzikwa huko alikofia halina uhusiano wowote na gharama za usafirishaji.Kumbe pesa ndogo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maswali gani hayo unamuuliza chawa, yeye alipoona habari imemtaja Mchengerwa moja kwa moja msiba ukawa wake na si ajabu alilia kabisa bila hata kumjua hata kwa picha marehemu.
Chawa huyu, ukiitaja ccm anabubujikwa na mchozi