TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Kwahiyo kati ya shetani na mchengerwa yupi mwenye nguvu?
 
Poleni wafiwa
anazikwa bila familia kushiriki mazishi
 
Kumbe hazikwi hapa? Na je kama angezikwa hapa angezikwa zanzibar au rufiji?
 
Nashangaa mashirika ya kimataifa yamekaa kimya, na hata Mahakama ya
Kimataifa nayo kimya kuhusuiana na haya mauaji yanayotokea Makka kila Mwaka.
Huyu jamaa kwa haraka haraka anaakili kama za Nguruwe
 
Kweli lile li Lucas ni lichawa gegedu, mimi nachoka zaidi kumzika mtu kwenye taifa lisilo lake hasa baba mzazi labda rafiki vipi kwa ndugu WASIO na uwezo watafika huko mazishini au ndio kuchezea pesa za umma.

Vipi au alikuwa na cheo kikubwa katika usilamu kumzidi mufuti mkuu wa waislamu bongo na uko meka
 
Ukitoa ujinga wa wewe kuwa CCM, una ujiniaz kweli kweli maana umehoji maswali ya msingi sana.

Kongole kwako.
 
Chura kiziwi,mtoto wake kaolewa mke WA pili kwenye hiyo familia😳

Mke WA kwanza na WA pili wanalindanaji ule ugonjwa wa ngono? Nimeuliza TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…