TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Hii dini naipenda sana

Ungekuwa Israel HAPO watu washaanza vikaooo dar Israel kama WA Moshi na Moshi.....kuleta marehemu

Allah mpe pumziko la milele mzee wetu
 
Usi justify wizi, wapo watu wengi tu wanaishi vizuri kwa pesa zisizo na makandokando ambayo wewe na wezi wenzako mnayabariki
Kuna watu wanakula hela safi mpaka unawaonea wivu.
Shida ya Watanzania wengi uongo, wizi, ushirikina,unafiki na uchawi umekuwa sehemu ya maisha yetu,ndio maana huyo jamaa anaamini hakuna watu wenye hela safi.
 
Hukumu yake itatokana na matendo yake duniani siyo visomo, hata wafanye visomo kila siku lakini matendo yake hapa duniani ndiyo itakayoamua hatima yake
 
Ndugu zangu watanzania,

Nawaleteeni taarifa ya majonzi na masikitiko makubwa sana juu ya kifo cha Baba mzazi wa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ambaye Amefiwa na Baba yake Mzazi mzee Omary Mchengerwa akiwa katika ibada huko Makka.

Ambapo taarifa inasema ya kuwa atazikwa huko huko Makka. ila ataombewa dua na kufanyiwa Ibada huku Tanzania itakayoongozwa na Mufti Dkt Zubeir.

Embu Soma hapa👉Baba yake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makka.

Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.

Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.

LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025

Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri

KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025

Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji

KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025

Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
Aendelee kufiwa tu.
 
Ni hadi doctor athibitishe kuwa roho yangu na mwili vimeishaachana ndiyo nizikwe!
Waislsmu wa Zanzibar mtu akifia nyumbani wao wanazika na hakuna kupeleka mwili hospitali ukachunguzwe, Waislamu wanaishi maisha kama ya Wamasai tu.
 
Swala la kuzikwa huko alikofia halina uhusiano wowote na gharama za usafirishaji.
Waziri Mchengerwa ni mkwe wa Rais na naamini angetaka kumleta baba yake azikwe nyumbani hata ingekuwa gharama ni M 150 angesafirishwa!.
Sababu ya msingi ni kwamba waislamu wanaofia Makka hasa wakiwa kwenye ibada ya hijja au umra huwa hawasafirishwi kwenda kuzikwa kwao.
Mtu anayefia Makka kaburi lake linakuwa Makka.
Mfamo Raisi wa nchi akifia Makka kwe ibada ya hija atazikwa uko uko?
 
Back
Top Bottom