Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin aionya Iran kuwa ikithubutu kujibu shambulizi la Israeli huo ndiyo utakuwa mwisho wake!

Ndege zilikuwa nje ya Iran zilikuwa kwenye anga la Iraq waliogopa ata kusogea anga la Iran ni kama vile unapiga kwa kutokujiamini unaogopa ogopa lakini mwisho wa siku si umeona icho walichorusha kimepanguliwa, hakuna madhara aibu tupu waliopata hao mazayuni
 

Hata Israel alionywa asilipize lakini Israel akakaidi na kulipa . US sasa
anamuonya Iran kwa sababu Irani akilipa kisasi ,Israel atarusha tena makombora na mwishowe atalipua visima vya mafuta na vinu vya nyuklia
 
Huyu Kiranja amekuwa msemaji wa Israel
 
Angekuwa anajipendekeza Israël angepiga visima vya mafuta bila kusikiliza US anaongea nini
 
Chanzo chako cha habari? TBC ya Iran, right?
 
Usa yupo nato hapo kwa nini asiwagawie ukrain ili azijaribu kwa rusia
 
Tuendelee kusubiri mkuu; muda ni mwalimu mzuri. Hakuna sababu ya mimi na wewe kutofautiana kwasababu ya Israel na Waarabu; BTW wale ni ndugu, mimi na wewe ni Watanzania ambao we have a lot in common than those brethren. Hofu yangu ni mafuta kupanda bei, basi mengine hayanihusu mimi Mmwera
 
Bado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie 🤣🤣..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu 🤣🤣 kama anavyosifiwa
Tumia maarifa Silaha pesapanga mzigo Israel ameshik
 
 
Israel ndio Boss !
anatuma Mbeya tu ,ila wewe hutaki unanuna ,Urusi kapeleka Manati huko Iraq zimepigwa kibiriti mbona hatujalalamika sisi Wayahudi wa Buza ?
 
Aisee lilikuwa suala la muda kwa Iran, now picha inasafishwa negative soon tutaiona printed 😀!.
Aah yaani usa nae haogopi fatah zile zama za aircraft carrier sijui B2 nyokonyoko zimepita ule upuuzi wa unique capabilitiey tupilia huko sasa hivi drones zimeweka uwanja sawasawa hata super power anachapika wamemshindwa myemen pale red sea wtaweza huku akipelekewa swamp ya air na sea drones wanafumua hayo maaircraft carrier na kupata uwendawazimu haya yetu macho wazichape tuendelee kuenjoy movie na mabisi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…