Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Hizo ni theory, bahoji logic. Iko hivi, unatumia electronic devices , madawa, technology asilimia kubwa inatoka kwa nani?
What's that gotto do with Misaada?

Even silaha na military tacticts tumejifunza wapi?
Wacha Ulimbukeni, Hebu soma vizuri, ujiridhie.
Military tactics wamejifunza huku Afrika, Fact. Hatahivyo unachofanya ni deflection tu ya hoja iliyo mbele. Wewe ndio wale wanaosema "Wazungu" ndio waliovumbua mount Kilimanjaro. Aisee. C'mon


Wakitaka kutuwipe kupitia nyanja tunazo wategemea wangesha tumaliza wayyyy back.
Wamejaribu na hawajafanikiwa, itoshe ni kitu kisichowezekana kabisa. Watakufa wao.
Siku muafrika atakapo jitegemea atleast 70% kwenye hizo nyanja ndipo atakomboka otherwise huna namna
Sio kweli, hatahivyo, kukataa misaada ni sehemu ya kujikomboa.
 
Wewe nae unaongea lugha za Wabaguzi wa Rangi au umepigwa Brain Wash ya kujichukia uweusi wako.

Mimi kamwe siwezi kuudharau Uweusi wangu huo ni UTUMWA.
Pamoja na kutofautiana katika mambo mengi, I applaud you on that one.

Hapa kuna watu wanatumia mbinu, au niseme Modis Operandi za Digital Blackface/Blackfacing. Hizi shaming and blaming zimekuwa nyingi sana, na zinatokana na hizo mbinu zao.

its not as if, but it is-Scripted Messaging

Wapo wengi sana na wwngine wamo kwenye uzi huu. Anywho Asante.
 
Kaka goverment of tanzania, sijui unanielewa, ni lini serikali ya jmt, chini ya rais aliekuwepo, ili gundua kuwa kuna shoda kwneye misaada inayoletwa na ina athari kwa wananchi?
Nataka barua, onyo, publication kutoka kwa mamlaka za tanzania
 
Point taken.

Muktadha unazingatiwa.

Niongeze tu another viewpoint.

ARV's zinahusiana moja kwa moja na afya ya Umma na Ustawi wa Jamii. ARV's ni muhimu katika kudhibiti VVU na kuboresha ubora wa maisha wa wahanga./waathirika

Misosi hii tuanayoletewa vs Afya: Mchele ,na hizo soy beans na mafuta ya kupikiwa Vimechakatawa, ikiwa na maana vimeongezwa hivo virutubisho(fortified), but they don't immediately treat life threatening conditions kamavile ARV's zinavyofanya.
Masuala ya afya ya mtu yanachukua uzito, kabla ya lishe.

Watoa misaada wanapaswa kutambua hilo, wananchi nao watambue hilo. it is not an Either or situation, hatahivyo nyanja zote ni muhimu.

Utu vs Uhuru, Nchi zinazotoa misaada ni lazima wazingatie utu, pamoja na kwamba wanatoa kwa uhuru na utu wao, ni lazima wakaheshimu utu na uhuru wetu-Aliyoyasema Mh. Bashe yalilenga Kuheshimu Utu na Uhuru wetu.

Ni lazima wajali utu wetu, kwani kila taifa bila ya kujali hali yake ya kiuchumi, linastahili heshima na uhuru. Umasikini wetu haumaanishi tupuuze heshima yetu au uhuru wetu, kinyume na hilo ni kupuuzia utu wetu na haki zetu-hatuwezi kuendelea hivyo.
it is just not sustainable,.

Ni muhimu vilevile kuwa misaada hiyo haipuuzi haki ya nchi kufanya maamuzi sahihi kuhusu misaada.

Tanzania ni taifa huru, na tuna haki ya kuamua kuhusu sera zetu wenyewe, ikiwa pamoja na kukataa msaada, bahati mbaya wengi wanao dai haki hizi huwa wanamalizwa mapema, hususani wa bara letu la Afrika, itoshe sisi tuna haki ya kukubali au kukataa msaada huo, saa nyingine kusema "No thank you" ni haki inayostahili kuzingatiwa na kuheshimiwa especially inapotoka kwa mtu/nchi unayetaka kumsaidia. Heko tena Mh. Bashe...

Kupokea misaada inayoendana na mahitaji ya ndani na vipaumbele ni muhimu zaidi kuliko kupokea misaada ambayo inaweza kuwa haifai.

Msaada huu wa Mchele ulio na virutubisho, hauendani na mahitaji, sio kipaumbele na haufai kwa mabinti wetu/watoto zetu.

Tuache ushabiki wa kukuza ukuu wa "Wazungu" kwa hoja hafifu kama "mbona hatukatai ARV's" ama mbona tunatumia kila kitu kutoka kwao.

Kweli ni hizo ni kebehi. Napinga msaada huu.
 
We bado mtoto.

Ukikua utaelewa
am very sorry for you.
Mwaka 1983-84 nikiwa kazini tulikula maindi ya Yanga kutoka Marekani, wengi tuliokula ndio mama zenu, mimi nlikuwa Machame girls form two, kabla ya kukutana na baba yako SUA.
Sasa sijui huo uzazi wanao haribu ni zaid ya nyie mnavyokulana nyuma?
 
Ni kweli inawezekana umekomaa mashavu na una matiti makubwa na makalio makubwa, lakini akili yako bado changa.
 
Afrika hakuna soko lolote la dawa acha uongo dawa nyingi ni copy kutoka india ambazo ni substandard na nyingi pia ni za misaada

Africa ni maskini wa kutupa nenda marekani uone bei genuine ya dawa ni hatari
 
Unakataa msaada unamipango ipi ya kujitegemea
Umekaa nyuma ya keyboard alafu unasema tujitegemee unadhani ni rahisi hivyo
Kujitegemea ni mipango na sio blah blah
 
Marekani siyo perfect kihivyo ya kupigiwa mfano katika kila kitu! Healthcare ya Marekani ni scam, ni racket ya watu kupiga pesa na ndiyo maana hizo dawa ni ghali. Hiyo bei siyo genuine, ipo inflated to maximize profit. Ni wizi mtupu.
Hakuna sehemu nimesema ni perfect ana mazuri na mabaya kama walivyowanadamu wote
Dawa moja inatumia zaidi ya billionaire moja na zaid ya miaka kumi ili ipitishwe na hapo ina asilimia 90 ya kufail

Watu watumie fedha kwenye research alafu wewe uje upewe bure wasifanye biashara
Uwezo wa muafrika ni mdogo sana mdo maana ni maskini wa kutupa
 
Kama umejua Ukimwi umetokana na nyani. Kwanini wewe usitengeneze dawa ya kuponya UKIMWI?
Mpaka sasa tunahangaika na umeme wa mgao, baadhi ya vijiji maji ni shida
Dawa za kienyeji zipo kama Ngetwa mbona ilitumika na watu walipona
 
Acha uongo research yote inafanyikia marekani au western countries
India ni uzalishaji kwa ajili ya nchi maskini
Katika makampuni makubwa ya dawa matano hakuna hata moja ni ya india
makampuni yote ni ya western countries

Ni kama iphone resarch na design zinafanyikia marekan ila uzalishaji manufacturing unafanyikia china

Unavyosema ubora wao ni mdogo kwa kutumia kipimo kipi
Wewe mwafrika kuna dawa yeyote ulishawahi zalisha achana na mitishamba
 
UWEZO WAKO WA AKILI NI MDOGO SANA ...MAANA UMESHINDWA KUJUA KUWA VVU PIA NI PROJECT YA MABEBERU TENA INA FAIDA KUBWA SANA KWENYE CHUMI ZAO KUMBUKA KUWA UKIMWI AUJAWAI KUMUUA MTU YOYOTE BALI UNACHOCHEA NA KUWEZESHA MAGONJWA MENGINE KUUA MTU NA HAYO MAGONJWA MENGINE KUWA NA NGUVU SANA NA KUSABABISHA MADAWA YA NCHI ZA MABEBERU NA VIFAA TIBA KUWA BIASHARA YENYE FEDHA NYINGI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…