Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Hizo ni theory, bahoji logic. Iko hivi, unatumia electronic devices , madawa, technology asilimia kubwa inatoka kwa nani?
What's that gotto do with Misaada?

Even silaha na military tacticts tumejifunza wapi?
Wacha Ulimbukeni, Hebu soma vizuri, ujiridhie.
Military tactics wamejifunza huku Afrika, Fact. Hatahivyo unachofanya ni deflection tu ya hoja iliyo mbele. Wewe ndio wale wanaosema "Wazungu" ndio waliovumbua mount Kilimanjaro. Aisee. C'mon


Wakitaka kutuwipe kupitia nyanja tunazo wategemea wangesha tumaliza wayyyy back.
Wamejaribu na hawajafanikiwa, itoshe ni kitu kisichowezekana kabisa. Watakufa wao.
Siku muafrika atakapo jitegemea atleast 70% kwenye hizo nyanja ndipo atakomboka otherwise huna namna
Sio kweli, hatahivyo, kukataa misaada ni sehemu ya kujikomboa.
 
Wewe nae unaongea lugha za Wabaguzi wa Rangi au umepigwa Brain Wash ya kujichukia uweusi wako.

Mimi kamwe siwezi kuudharau Uweusi wangu huo ni UTUMWA.
Pamoja na kutofautiana katika mambo mengi, I applaud you on that one.

Hapa kuna watu wanatumia mbinu, au niseme Modis Operandi za Digital Blackface/Blackfacing. Hizi shaming and blaming zimekuwa nyingi sana, na zinatokana na hizo mbinu zao.

its not as if, but it is-Scripted Messaging

Wapo wengi sana na wwngine wamo kwenye uzi huu. Anywho Asante.
 
Open Access Library Journal > Vol.4 No.10, October 2017
HCG Found in WHO Tetanus Vaccine in Kenya Raises Concern in the Developing World
John W. Oller1, Christopher A. Shaw2,3, Lucija Tomljenovic2,3, Stephen K. Karanja4, Wahome Ngare4, Felicia M. Clement5, Jamie Ryan Pillette5
1Communicative Disorders, University of Louisiana, Lafayette, USA.
2Ophthalmology and Visual Sciences, Graduate Program in Experimental Medicine, University of British Columbia, Vancouver, Canada.
3Neural Dynamics Research Group, Vancouver, Canada.
4Kenya Catholic Doctors Association, Nairobi, Kenya.
5University of Louisiana, Lafayette, USA.
DOI: 10.4236/oalib.1103937 PDF HTML XML 10,931 Downloads 154,059 Views Citations
Abstract
In 1993, WHO announced a “birth-control vaccine” for “family planning”. Published research shows that by 1976 WHO researchers had conjugated tetanus toxoid (TT) with human chorionic gonadotropin (hCG) producing a “birth-control” vaccine. Conjugating TT with hCG causes pregnancy hormones to be attacked by the immune system. Expected results are abortions in females already pregnant and/or infertility in recipients not yet impregnated. Repeated inoculations prolong infertility. Currently WHO researchers are working on more potent anti-fertility vaccines using recombinant DNA. WHO publications show a long-range purpose to reduce population growth in unstable “less developed countries”. By November 1993 Catholic publications appeared saying an abortifacient vaccine was being used as a tetanus prophylactic. In November 2014, the Catholic Church asserted that such a program was underway in Kenya. Three independent Nairobi accredited biochemistry laboratories tested samples from vials of the WHO tetanus vaccine being used in March 2014 and found hCG where none should be present. In October 2014, 6 additional vials were obtained by Catholic doctors and were tested in 6 accredited laboratories. Again, hCG was found in half the samples. Subsequently, Nairobi’s AgriQ Quest laboratory, in two sets of analyses, again found hCG in the same vaccine vials that tested positive earlier but found no hCG in 52 samples alleged by the WHO to be vials of the vaccine used in the Kenya campaign 40 with the same identifying batch numbers as the vials that tested positive for hCG. Given that hCG was found in at least half the WHO vaccine samples known by the doctors involved in administering the vaccines to have been used in Kenya, our opinion is that the Kenya “anti-tetanus” campaign was reasonably called into question by the Kenya Catholic Doctors Association as a front for population growth reduction.
Kaka goverment of tanzania, sijui unanielewa, ni lini serikali ya jmt, chini ya rais aliekuwepo, ili gundua kuwa kuna shoda kwneye misaada inayoletwa na ina athari kwa wananchi?
Nataka barua, onyo, publication kutoka kwa mamlaka za tanzania
 
Huenda uko sahihi kwa kusema kuwa "wangetaka kutuua wangesha tumaliza kwa HIV/UKIMWI". Hata hivyo, unatakiwa uelewe kwamba lengo la hayo magonjwa kuenea si kuua maskini wa Afrika! Hapa ndo watu wengi wanashindwa kuelewa. Hawana mpango wa kuwaua waafrika na hawatakuwa nao hata siku moja kwasababu wananufaika kwa uwepo wao.

Hata hivyo, hii haizuii kuleta matatizo Afrika kwa makusudi na yakaleta madhara makubwa tu ili baadae waje na suruhisho. Hili lipo na lazima tulielewe hivyo

Toka enzi za mapinduzi ya viwanda ya kwanza karne ya 18 huko, malengo ya nchi za magharibi kwa Afrika yamebaki kuwa ni yale yale hadi leo:-

1. Afrika kubaki mzalishaji wa mali ghafi wanazohitaji wao kwenye viwanda vyao (Source of raw materials)

2. Afrika kuendelea kubaki eneo lao la uwekezaji lakini lisifaidike na uwekezaji huo (Area to invest theie surplus capital)

3. Afrika kuendelea kubaki soko la bidhaa kutoka kwenye viwanda vyao (Source of market for their manufactured goods)

Haya malengo hayajawahi kubadilika ila kinachobadilika ni namna (means) ya kuyafikia hayo malengo yao

Wakati wa ukoloni walitaka kufikia malengo hayo kwa nguvu na utawala wa wazi, lakini kadiri ya mabadiliko ya dunia na uelewa wa waafrika hupelekea nao kubadili mbinu na kuzifanya kuwa za kisasa zaidi.

Kwa mfano, wewe unasema ARV zinaokoa maisha ya wengi, ni sahihi kabisa na kwao katika hili wamefanikiwa kwasababu ili wakupe hizo ARV lazima ukubali kuunda nao "urafiki" utakaopelekea wao kutekeleza malengo yao niliyoandika hapo juu

Asilimia kubwa ya dawa za hospitali, chanjo, vifaa tiba na miradi ya utafiti katika sekta ya afya vinakuja kama msaada kwa "kivuli" cha kusaidia afya za waafrika lakini kimsingi wanatoa misaada hiyo wakishajihakikishia kupata fursa ya kutekeleza malengo yao

Hawawezi kuwaacha waafrika wateketee kwa HIV, cancer, kisukari, TB, na magonjwa mengine kwasababu watapoteza soko lao la ARV, madawa ya cancer, chanjo mbalimbali, nk. Watamuuzia nani? Uwekezaji wao katika tafiti za madawa, nk watamfanyia nani sasa?

Lazima kuwepo na wagonjwa ili soko la dawa liwepo.
Lazima kuwepo na magonjwa ili soko la chanjo liwepo
Lazima kuwepo na magonjwa mapya ili miradi ya tafiti za kisayansi ziendelee na watu wapate pesa

Ni lazima haya mambo tuyaangalie kwa mlengo huu, tuepuke kushabikia kila kinachokuja tukidhani kinakuja bila malengo mahususi
Point taken.

Muktadha unazingatiwa.

Niongeze tu another viewpoint.

ARV's zinahusiana moja kwa moja na afya ya Umma na Ustawi wa Jamii. ARV's ni muhimu katika kudhibiti VVU na kuboresha ubora wa maisha wa wahanga./waathirika

Misosi hii tuanayoletewa vs Afya: Mchele ,na hizo soy beans na mafuta ya kupikiwa Vimechakatawa, ikiwa na maana vimeongezwa hivo virutubisho(fortified), but they don't immediately treat life threatening conditions kamavile ARV's zinavyofanya.
Masuala ya afya ya mtu yanachukua uzito, kabla ya lishe.

Watoa misaada wanapaswa kutambua hilo, wananchi nao watambue hilo. it is not an Either or situation, hatahivyo nyanja zote ni muhimu.

Utu vs Uhuru, Nchi zinazotoa misaada ni lazima wazingatie utu, pamoja na kwamba wanatoa kwa uhuru na utu wao, ni lazima wakaheshimu utu na uhuru wetu-Aliyoyasema Mh. Bashe yalilenga Kuheshimu Utu na Uhuru wetu.

Ni lazima wajali utu wetu, kwani kila taifa bila ya kujali hali yake ya kiuchumi, linastahili heshima na uhuru. Umasikini wetu haumaanishi tupuuze heshima yetu au uhuru wetu, kinyume na hilo ni kupuuzia utu wetu na haki zetu-hatuwezi kuendelea hivyo.
it is just not sustainable,.

Ni muhimu vilevile kuwa misaada hiyo haipuuzi haki ya nchi kufanya maamuzi sahihi kuhusu misaada.

Tanzania ni taifa huru, na tuna haki ya kuamua kuhusu sera zetu wenyewe, ikiwa pamoja na kukataa msaada, bahati mbaya wengi wanao dai haki hizi huwa wanamalizwa mapema, hususani wa bara letu la Afrika, itoshe sisi tuna haki ya kukubali au kukataa msaada huo, saa nyingine kusema "No thank you" ni haki inayostahili kuzingatiwa na kuheshimiwa especially inapotoka kwa mtu/nchi unayetaka kumsaidia. Heko tena Mh. Bashe...

Kupokea misaada inayoendana na mahitaji ya ndani na vipaumbele ni muhimu zaidi kuliko kupokea misaada ambayo inaweza kuwa haifai.

Msaada huu wa Mchele ulio na virutubisho, hauendani na mahitaji, sio kipaumbele na haufai kwa mabinti wetu/watoto zetu.

Tuache ushabiki wa kukuza ukuu wa "Wazungu" kwa hoja hafifu kama "mbona hatukatai ARV's" ama mbona tunatumia kila kitu kutoka kwao.

Kweli ni hizo ni kebehi. Napinga msaada huu.
 
We bado mtoto.

Ukikua utaelewa
am very sorry for you.
Mwaka 1983-84 nikiwa kazini tulikula maindi ya Yanga kutoka Marekani, wengi tuliokula ndio mama zenu, mimi nlikuwa Machame girls form two, kabla ya kukutana na baba yako SUA.
Sasa sijui huo uzazi wanao haribu ni zaid ya nyie mnavyokulana nyuma?
 
am very sorry for you.
Mwaka 1983-84 nikiwa kazini tulikula maindi ya Yanga kutoka Marekani, wengi tuliokula ndio mama zenu, mimi nlikuwa Machame girls form two, kabla ya kukutana na baba yako SUA.
Sasa sijui huo uzazi wanao haribu ni zaid ya nyie mnavyokulana nyuma?
Ni kweli inawezekana umekomaa mashavu na una matiti makubwa na makalio makubwa, lakini akili yako bado changa.
 
Huenda uko sahihi kwa kusema kuwa "wangetaka kutuua wangesha tumaliza kwa HIV/UKIMWI". Hata hivyo, unatakiwa uelewe kwamba lengo la hayo magonjwa kuenea si kuua maskini wa Afrika! Hapa ndo watu wengi wanashindwa kuelewa. Hawana mpango wa kuwaua waafrika na hawatakuwa nao hata siku moja kwasababu wananufaika kwa uwepo wao.

Hata hivyo, hii haizuii kuleta matatizo Afrika kwa makusudi na yakaleta madhara makubwa tu ili baadae waje na suruhisho. Hili lipo na lazima tulielewe hivyo

Toka enzi za mapinduzi ya viwanda ya kwanza karne ya 18 huko, malengo ya nchi za magharibi kwa Afrika yamebaki kuwa ni yale yale hadi leo:-

1. Afrika kubaki mzalishaji wa mali ghafi wanazohitaji wao kwenye viwanda vyao (Source of raw materials)

2. Afrika kuendelea kubaki eneo lao la uwekezaji lakini lisifaidike na uwekezaji huo (Area to invest theie surplus capital)

3. Afrika kuendelea kubaki soko la bidhaa kutoka kwenye viwanda vyao (Source of market for their manufactured goods)

Haya malengo hayajawahi kubadilika ila kinachobadilika ni namna (means) ya kuyafikia hayo malengo yao

Wakati wa ukoloni walitaka kufikia malengo hayo kwa nguvu na utawala wa wazi, lakini kadiri ya mabadiliko ya dunia na uelewa wa waafrika hupelekea nao kubadili mbinu na kuzifanya kuwa za kisasa zaidi.

Kwa mfano, wewe unasema ARV zinaokoa maisha ya wengi, ni sahihi kabisa na kwao katika hili wamefanikiwa kwasababu ili wakupe hizo ARV lazima ukubali kuunda nao "urafiki" utakaopelekea wao kutekeleza malengo yao niliyoandika hapo juu

Asilimia kubwa ya dawa za hospitali, chanjo, vifaa tiba na miradi ya utafiti katika sekta ya afya vinakuja kama msaada kwa "kivuli" cha kusaidia afya za waafrika lakini kimsingi wanatoa misaada hiyo wakishajihakikishia kupata fursa ya kutekeleza malengo yao

Hawawezi kuwaacha waafrika wateketee kwa HIV, cancer, kisukari, TB, na magonjwa mengine kwasababu watapoteza soko lao la ARV, madawa ya cancer, chanjo mbalimbali, nk. Watamuuzia nani? Uwekezaji wao katika tafiti za madawa, nk watamfanyia nani sasa?

Lazima kuwepo na wagonjwa ili soko la dawa liwepo.
Lazima kuwepo na magonjwa ili soko la chanjo liwepo
Lazima kuwepo na magonjwa mapya ili miradi ya tafiti za kisayansi ziendelee na watu wapate pesa

Ni lazima haya mambo tuyaangalie kwa mlengo huu, tuepuke kushabikia kila kinachokuja tukidhani kinakuja bila malengo mahususi
Afrika hakuna soko lolote la dawa acha uongo dawa nyingi ni copy kutoka india ambazo ni substandard na nyingi pia ni za misaada

Africa ni maskini wa kutupa nenda marekani uone bei genuine ya dawa ni hatari
 
What's that gotto do with Misaada?


Wacha Ulimbukeni, Hebu soma vizuri, ujiridhie.
Military tactics wamejifunza huku Afrika, Fact. Hatahivyo unachofanya ni deflection tu ya hoja iliyo mbele. Wewe ndio wale wanaosema "Wazungu" ndio waliovumbua mount Kilimanjaro. Aisee. C'mon



Wamejaribu na hawajafanikiwa, itoshe ni kitu kisichowezekana kabisa. Watakufa wao.

Sio kweli, hatahivyo, kukataa misaada ni sehemu ya kujikomboa.
Unakataa msaada unamipango ipi ya kujitegemea
Umekaa nyuma ya keyboard alafu unasema tujitegemee unadhani ni rahisi hivyo
Kujitegemea ni mipango na sio blah blah
 
Marekani siyo perfect kihivyo ya kupigiwa mfano katika kila kitu! Healthcare ya Marekani ni scam, ni racket ya watu kupiga pesa na ndiyo maana hizo dawa ni ghali. Hiyo bei siyo genuine, ipo inflated to maximize profit. Ni wizi mtupu.
Hakuna sehemu nimesema ni perfect ana mazuri na mabaya kama walivyowanadamu wote
Dawa moja inatumia zaidi ya billionaire moja na zaid ya miaka kumi ili ipitishwe na hapo ina asilimia 90 ya kufail

Watu watumie fedha kwenye research alafu wewe uje upewe bure wasifanye biashara
Uwezo wa muafrika ni mdogo sana mdo maana ni maskini wa kutupa
 
Kama umejua Ukimwi umetokana na nyani. Kwanini wewe usitengeneze dawa ya kuponya UKIMWI?
Mpaka sasa tunahangaika na umeme wa mgao, baadhi ya vijiji maji ni shida
Dawa za kienyeji zipo kama Ngetwa mbona ilitumika na watu walipona
 
Una angalia na kujua vitu juu juu sana….! Hata US pia madawa yanatoka India, uchina na nchi nyingine za Ulaya.
Bei ya madawa US ipo juu si kwasababu ya ubora, pamoja na mengine ni kwasababu ya fu@ked up healthcare system na advertising. Pharmaceutical companies zinatumia billions kwenye matangazo ya dawa zao “blockbusters,” wanasababisha demand halafu gharama za matangazo wanazisukumia kwa consumers. Hii ni sababu kubwa ya bei za madawa kuwa kubwa na si ubora.
Acha uongo research yote inafanyikia marekani au western countries
India ni uzalishaji kwa ajili ya nchi maskini
Katika makampuni makubwa ya dawa matano hakuna hata moja ni ya india
makampuni yote ni ya western countries

Ni kama iphone resarch na design zinafanyikia marekan ila uzalishaji manufacturing unafanyikia china

Unavyosema ubora wao ni mdogo kwa kutumia kipimo kipi
Wewe mwafrika kuna dawa yeyote ulishawahi zalisha achana na mitishamba
 
Kuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.

Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.

Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.

Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe wote hamnazo.
UWEZO WAKO WA AKILI NI MDOGO SANA ...MAANA UMESHINDWA KUJUA KUWA VVU PIA NI PROJECT YA MABEBERU TENA INA FAIDA KUBWA SANA KWENYE CHUMI ZAO KUMBUKA KUWA UKIMWI AUJAWAI KUMUUA MTU YOYOTE BALI UNACHOCHEA NA KUWEZESHA MAGONJWA MENGINE KUUA MTU NA HAYO MAGONJWA MENGINE KUWA NA NGUVU SANA NA KUSABABISHA MADAWA YA NCHI ZA MABEBERU NA VIFAA TIBA KUWA BIASHARA YENYE FEDHA NYINGI
 
Back
Top Bottom