Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hatumkumbuki kwa chochote zaidi ya damu zilizomwagika za kina sananeKila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli...
Dah basi Tu
Magufuli Hai
Hai x3
Mungu akulaze mahala pema peponi
Ni sawa na kupambana na upepo.Namshukuru sana Rais Samia kupuuza kumbukumbu ya huyu katili.
Waache Sukuma Gang wenzake wanao fanana nae kwenye ukatili wamkumbuke.
Namshukuru sana Rais Samia kupuuza kumbukumbu ya huyu katili.
Waache Sukuma Gang wenzake wanao fanana nae kwenye ukatili wamkumbuke.
Mwamba mwenyeweMwaka Huu Hawataki Kufanya Kumbukizi Yake Wahuni Ni Watu Wabaya Sana Hata Serikalini Wapo Hawajawahi Kwisha
Tuwabaini Walipo Na Kuwakataa
By Pole Pole View attachment 2554639
Mzalendo wa kweli kwa bara lake!Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli...
Ungekuwa we ungecheka na magaidi wale wa kibiti na wasaliti kama kina mbowe ambao baada ya kupewa asali wanademuka tu kwa samia? Watu kama hao wa kazi duniani?Shujaa kwenye maisha ya nani?
Sema alikua shujaa kwako
Au shujaa wa kupiga watu risasi?
Ungekuwa we ungecheka na magaidi wale wa kibiti na wasaliti kama kina mbowe ambao baada ya kupewa asali wanademuka tu kwa samia? Watu kama hao wa kazi duniani?
Kwa lipi?Mashujaa wengine kama Mkwawa ,Sokoine n.k nimewajua vitabuni tu lakini kwa shujaa Magufuli acha tuseme ukweli anastahili kukumbukwa
Wewe ni msukuma wa bariadi au gamboshi?Huwezi kutenga siku ya kumbukumbu kwa kila Rais hivyo ilipaswa iwepo moja tu
Rubbish! Acha life lihukumiwe kwa kuwaua watu wasio na hatia. Jitu katiliKila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli...