Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Omba Mungu akuongoze katika njia sahihi na ukubali 🙏✍️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Em thibitishaaa.Mmh huyo si ni upinde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii.Nani kakudanganya. Analea sasa
Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
Hahahahahahaah aiSee wee jmaaaNGONI MIGRATION
kuwa makini sana, wanapenda kuhama hama hao
Umenikumbusha Sara namugari wanguSwali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
Acha ujuwaji bwna mdg amefanya la amaana San kuhoji hulka za wanawake wa kingoni ili apate mawili matatuMwanaume anayehangaika kuulizia sifa za potential wife mitandaoni ni bwege mtozeni
Hakuna muoaji hapo
I fee very very sorry for the lady, she doesn’t know her lover is an idiot
She must be very naive….
Generally wangoni ni loyal and nice people
Dada wa watu kala hasara
Mm alitaka tuzae nae Kisha ile mimba ambambike mume wake [emoji23](Wanawake)Wanapenda sana kudinyana.
Siyo wote ila asilimia kubwa.
Nime mla mke wa mtu mngoni mtamu sanaaa ila nilikuja jua baadaye kama ni mke wa mtu.
Kila la KHERI.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kaka muoaji usifate huu ushauri
Hivi mbna karibia wote wanatabia hzo na kukupa mtoto Wala hajiuulizi Mara mbili hata Kama Ana ndoaSio wachoyo kwa maX wao Bora umuue X hatamwacha. Ninao watatu wameolewa hata Leo Nikita napewa.
NjooEm thibitishaaa.
Kbsaa kbsaa uko sahihpunguza jazba kosea njia ila sio kuoa.
punguza saut mzee wangMwanaume anayehangaika kuulizia sifa za potential wife mitandaoni ni bwege mtozeni
Hakuna muoaji hapo
I fee very very sorry for the lady, she doesn’t know her lover is an idiot
She must be very naive….
Generally wangoni ni loyal and nice people
Dada wa watu kala hasara
Mara napotosha mara kila kabila hayo ni vipaumbele vyake! Ulitaka kusema nini hapo?Acha kupotosha, taja kabila ambalo hayo uliyoandika siyo kipaumbele chao.
Hivi Ni kwanin mnk mm nimemkimbia saraa Walai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa mwamposaa huko vipiii? Asemee nimpee shost angu, afu mie sio wa Namtumbo, mie Mngoni halisi kutoka Songea 1.
Kikubwa awe tayari kwa mzagamuo muda wotee, tunapenda mnyanduano kuliko kulaaa.