Wazoefu naomba mnisaidie, nataka kuoa mwanamke wa kingoni, nini sifa zao kuanzia chumbani Hadi sebuleni?

Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
OA WAWILI MNGONI NA kabila jingine, ili mngoni awe wa kuazia tu maisha.
 
Mwanamme unataka kuoa unakuja kuuliza wanaume wenzako wakusaidie?

Nakushauri olewa wewe.
Maneno makali!!!.. MUNGU hapendi matusi kama haya.....mwanaume anaolewaje..!!!???..
Nilikuamini sana,hapa umeniangusha...!
 
Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
We kaoe Mzee. Mengine utakutana nayo huko huko.

Tokea nimeingia jf, hakuna kabila ambalo halijawahi kusemwa vibaya. Humu watu watakupa historia za ma-ex zao badala ya kabila husika.....sasa ukisikiliza maneno ya wenye hasira za matukio ya ma-ex zao, hutooa.
 
wana heshima na ukiwa unajimudu japo kidogo ni waaminifu...yaan just kula na nguo hutamsikia akihangaika na mwanaume mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…