bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Huwezi mtenganisha mwanamke na mtoto wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndo hapoSasa hamjaoana kitu gani kigumu hapo?
Kila mmoja ashike hamsini zake maisha yaendelee.
Mkioana rasmi mtawezana ?
Kama anajitambua kuliko asiye single mama unasemaawe
Chanzo Cha usingle mama havifananiWapo wanawake wengi ambao sio single maza na wanajitambua....tafuta hao lakini sio single mama
💯🤝Tulipokuambia usije ukaoa single maza ulifikiri tulikua tumelewa
Sio wote...Huwezi mtenganisha mwanamke na mtoto wake
JF unatakiwa uwe makini sana kuchuja ushauri unaopewaYani uzae nae tena mtu mwenye akili hio si kutafta majanga 🤣
Yaani wanaume bwanaToa Ultimatum hutaki kuona simbilisi yeyote mjengoni 😀
Hazifanani kivipi? Chanzo sii kile kile kugegedwa na kuachwa ama?Chanzo Cha usingle mama havifanani
SanaaKumbe unapenda sauti ndani ya nyumba eeh
Kumbeee akuzidi kila kitu au sio...wee sema akuzidi pesa tuu.Sanaa
Yaani napenda mwanaume anizidi Kila kitu Ili ani control kwenye Kila eneo!
Maana wanawake sisi bila hivyo tutakupand kichwani
Waliobakwa je ,waliofiwa na waume zao jeHazifanani kivipi? Chanzo sii kile kile kugegedwa na kuachwa ama?
Fanya maamzi sasa hivi ili uwe naHuyu mwanamke tumekua kwenye mahusiano kwa zaidi ya mwaka. Katika kipindi hicho alikuwa anaishi kwao. Wakati tunaanza mahusiano alinieleza kuwa tayari ana mtoto wa kiume. Na kwasababu pia Mimi nilishapata Mtoto huko nyuma sikuona tatizo. Huyo mwanaye baba yake yupo na maisha yake mengine safi tu.
Baada ya kungoja sana mambo yake sawa, tukafikia kuamua kuishi pamoja angalau kwa kuwahusisha wazazi hasa upande wake. Binti ikabidi aje tuishinaye vkwangu. Hapo awali tulikubaliana kuwa huyo mwanaye atabaki kuishi kwa bibiyake na tutamuhudumia akiwa huko.Mimi mwanangu Yuko shuleni na akiwa likizo anakuja kusalimia na kurudi kwa mama, maana yeye ni wa kike.
Sasa baada ya miezi mitatu ya kuishi naye, huyu mwanamke alisubiri nikiwa safari akaenda kumleta huyo mwanaye aje aishi hapo. Pia hakuishia hapo akabeba na watoto wawili wa dada yake nao kaleta hapo na Sasa Kuna watoto watatu.
Nimesafiri tena na kurudi na bado nawakuta na hawana mpango wa kuondoka. Tayari anawaweja kwenye mipango na bajeti zetu kama wangu vile.
Binafsi napenda kuishi na Mtoto ambaye nakuwa huru naye. Yaani hata nikimuonya asichukulie kama namtesa. Kuna mambo yanafanyika nakaa kimya lakini nimegundua hiyo inanitesa Mimi.
Tafadhali nipe USHAURI wako. Hapo nifanyeje ili nipatie amani bila kuonekana Nina roho mbaya?
Weeee anaweza akawa na pesa na akawa mpoleKumbeee akuzidi kila kitu au sio...wee sema akuzidi pesa tuu.
Waliobakwa wametaka wenyewe. Hao wala siwezi kuwaonea huruma.Waliobakwa je ,waliofiwa na waume zao je