Mweee ukiwa na pesa kuwa mpole wala sio ishu mke atatulia tuu sii anajua mkwanja upoWeeee anaweza akawa na pesa na akawa mpole
Wapo mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweee ukiwa na pesa kuwa mpole wala sio ishu mke atatulia tuu sii anajua mkwanja upoWeeee anaweza akawa na pesa na akawa mpole
Wapo mbona
Ww na ndoa ni km mpwayungu na walimuUmeoa mke wa mtu
Achana naye mapema
Unatujua wanawake vzr?Mweee ukiwa na pesa kuwa mpole wala sio ishu mke atatulia tuu sii anajua mkwanja upo
Sasa mke kutombwer nje na shamba boi nalo hilo lakumind kweli? Acha hizo mie pesonali mke wangu asipotombwer nje nambwaga...inamaanisha hamna mvuto kwa wanaume wengine.Unatujua wanawake vzr?
Mtu ana mume ana Hela anapewa Kila kitu na Bado anzingua
Tatizo ni bei ya mkaaFukuza roho ya ubinafsi hamuwezi punguka na kitu kwa kuishi wengi riziki yenu ipo pale pale tu.
Chukulia tu kama ni familia yako tu
Widows, not single mothers. Big difference! Usiwe mbishi Jombaa, kuna single mothers wangapi waliotokana na kubakwa?Waliobakwa je ,waliofiwa na waume zao je
Umri unaruhusu na hawataki kuziniWaliobakwa wametaka wenyewe. Hao wala siwezi kuwaonea huruma.
Waliofiwa na waume zao wanapaswa watulie hivyo hivyo hamna sababu ya kuolewa tena.
Hapana wakae bila kugegedwa. Wajiselfie tuu inatoshaUmri unaruhusu na hawataki kuzini
Na wewe huwezi kulipenda kama limeoza.Ni falsafa uchwara isiyo na maana. Je kama boga limeoza utaendelea kulipenda ili upate nini mwanangu?
Ule muwasho wataunalizajeHapana wakae bila kugegedwa. Wajiselfie tuu inatosha
Umeoa mke wa mtu
Achana naye mapema
🤣🤣Sasa mke kutombwer nje na shamba boi nalo hilo lakumind kweli? Acha hizo mie pesonali mke wangu asipotombwer nje nambwaga...inamaanisha hamna mvuto kwa wanaume wengine.
Sasa wewe mwanamke umeoa breki pumbuz unadhani cheti ndio kitambadilisha? Huko ni kuomba damu kwenye jiwe🤣🤣
Unaongea tu hapa
Ukishaoa ndo urudi hapaa kusema haya
....ushaumia,wahi haraka kutoka. Usikute hata watoto wengine ni wakeHuyu mwanamke tumekua kwenye mahusiano kwa zaidi ya mwaka. Katika kipindi hicho alikuwa anaishi kwao. Wakati tunaanza mahusiano alinieleza kuwa tayari ana mtoto wa kiume. Na kwasababu pia Mimi nilishapata Mtoto huko nyuma sikuona tatizo. Huyo mwanaye baba yake yupo na maisha yake mengine safi tu.
Baada ya kungoja sana mambo yake sawa, tukafikia kuamua kuishi pamoja angalau kwa kuwahusisha wazazi hasa upande wake. Binti ikabidi aje tuishinaye vkwangu. Hapo awali tulikubaliana kuwa huyo mwanaye atabaki kuishi kwa bibiyake na tutamuhudumia akiwa huko.Mimi mwanangu Yuko shuleni na akiwa likizo anakuja kusalimia na kurudi kwa mama, maana yeye ni wa kike.
Sasa baada ya miezi mitatu ya kuishi naye, huyu mwanamke alisubiri nikiwa safari akaenda kumleta huyo mwanaye aje aishi hapo. Pia hakuishia hapo akabeba na watoto wawili wa dada yake nao kaleta hapo na Sasa Kuna watoto watatu.
Nimesafiri tena na kurudi na bado nawakuta na hawana mpango wa kuondoka. Tayari anawaweja kwenye mipango na bajeti zetu kama wangu vile.
Binafsi napenda kuishi na Mtoto ambaye nakuwa huru naye. Yaani hata nikimuonya asichukulie kama namtesa. Kuna mambo yanafanyika nakaa kimya lakini nimegundua hiyo inanitesa Mimi.
Tafadhali nipe USHAURI wako. Hapo nifanyeje ili nipatie amani bila kuonekana Nina roho mbaya?
Ni falsafa uchwara isiyo na maana. Je kama boga limeoza utaendelea kulipenda ili upate nini mwanangu?
Kijana balehe inakusumbua... siku ukioaa rudi hapaSasa mke kutombwer nje na shamba boi nalo hilo lakumind kweli? Acha hizo mie pesonali mke wangu asipotombwer nje nambwaga...inamaanisha hamna mvuto kwa wanaume wengine.