Wazoefu wa mambo ya familia nipeni ushauri

Wazoefu wa mambo ya familia nipeni ushauri

Muoe kwanza halafu ndio ulete uzi...

Otherwise kitendo cha kukaa kinyumba na mwanamke hakiwezi kuzidi makosa au kasoro hizo unazotaka zirekebishwe
 
we ndo unashida jitathimini pale ulipokosea, unaonekana we nidhaifu mbele ya huyo mke wako hivyo anakuendesha vile anavyotaka yeye kiufupi ashakuweka makwapani
 
Waliobakwa je ,waliofiwa na waume zao je
Widows, not single mothers. Big difference! Usiwe mbishi Jombaa, kuna single mothers wangapi waliotokana na kubakwa?

Usijaribu ku-sanitize sbb za mwanamke kuwa single mother zaidi ya 99.99% ni vichomi. Mwanaume anayewaoa huwa namuonaga hajielewi.

Mwanaume aliyezaa nae kamshindwa wewe unafikiri una u-special gani? Hata single mothers huwa wanawazuia watoto wao wa kiume endapo watataka kuoa wanawake wenye watoto tayari.
 
Huyu mwanamke tumekua kwenye mahusiano kwa zaidi ya mwaka. Katika kipindi hicho alikuwa anaishi kwao. Wakati tunaanza mahusiano alinieleza kuwa tayari ana mtoto wa kiume. Na kwasababu pia Mimi nilishapata Mtoto huko nyuma sikuona tatizo. Huyo mwanaye baba yake yupo na maisha yake mengine safi tu.

Baada ya kungoja sana mambo yake sawa, tukafikia kuamua kuishi pamoja angalau kwa kuwahusisha wazazi hasa upande wake. Binti ikabidi aje tuishinaye vkwangu. Hapo awali tulikubaliana kuwa huyo mwanaye atabaki kuishi kwa bibiyake na tutamuhudumia akiwa huko.Mimi mwanangu Yuko shuleni na akiwa likizo anakuja kusalimia na kurudi kwa mama, maana yeye ni wa kike.

Sasa baada ya miezi mitatu ya kuishi naye, huyu mwanamke alisubiri nikiwa safari akaenda kumleta huyo mwanaye aje aishi hapo. Pia hakuishia hapo akabeba na watoto wawili wa dada yake nao kaleta hapo na Sasa Kuna watoto watatu.

Nimesafiri tena na kurudi na bado nawakuta na hawana mpango wa kuondoka. Tayari anawaweja kwenye mipango na bajeti zetu kama wangu vile.

Binafsi napenda kuishi na Mtoto ambaye nakuwa huru naye. Yaani hata nikimuonya asichukulie kama namtesa. Kuna mambo yanafanyika nakaa kimya lakini nimegundua hiyo inanitesa Mimi.

Tafadhali nipe USHAURI wako. Hapo nifanyeje ili nipatie amani bila kuonekana Nina roho mbaya?
....ushaumia,wahi haraka kutoka. Usikute hata watoto wengine ni wake
 
Single maza ni special kua mchepuko Wala sio hata nyumba ndogo. Yaani siku umekaukiwa kabisa ndio unatafuta, mpe bia mbili, chukua gesti (nakazia gesti sio kwake au kwako)
Ukishapona shida yako, Rudi kwa mkeo.
Sasa wewe unaweka ndani kabisa? Matatizo unayaingiza ndani mpaka chumbani, mbaya zaidi baba wa mtoto Yuko hai? Aisee you are not serious.
 
Kaka ukikaa kizembe utakufaa kwa stress za kulisha watoto wasiokuwa wakoo nasemaa WANA BABA ZAOOOO.. akitaka mwanamke abaki yeye watoto wasepe kwa baba zao au bora abaki huyo mmoja wa kwake vinginevyo WASEPE YEYE NA WATOTO. USIMUMUNYE MANENOOOO SEMA HAYA KWA UKALIII.
 
Back
Top Bottom