Wazoefu wa mambo ya familia nipeni ushauri

Wazoefu wa mambo ya familia nipeni ushauri

Mkuu, ukitaka kuishi kwa furaha ndani ya nyumba....
-Epuka sana mwanamke anaejichukulia maamuzi pasipo kukushirikisha.
-Epuka sana mwanamke ambae ukifoka ama mkitofautiana ananyenyua ama kupaza sauti yake juu sana.
-Epuka sana mwanamke anaejifanya kujua zaidi yako.
-Epuka sana mwanamke anaejifanya supa woman pawa sijui wanajiita wenyenyewe.
Epuka sana mwanamke anaejichukulia maamuzi pasipo kukushirikisha.
-Epuka sana mwanamke ambae ukifoka ama mkitofautiana ananyenyua ama kupaza sauti yake juu sana.
-Epuka sana mwanamke anaejifanya kujua zaidi yako.
-Epuka sana mwanamke anaejifanya supa woman pawa sijui wanajiita wenyenyewe. SIKUPINGI
 
Tafadhali nipe USHAURI wako. Hapo nifanyeje ili nipatie amani bila kuonekana Nina roho mbaya?
Mwamba simama kiume sasa! Si hujazaa Nate mpaka sasa hivi? Tafuta namna ya kuachana naye huyo siyo mke! Angekuwa mke si angekuhusisha kwamba anataka amlete mtoto wake hapo na wa ndugu zake! Ila wanawake nao visirani aisee!
 
Aisee hivi wanaume wezeru mnaotulia na masingle maza utamu wa mbususu zao unawachanganya mpaka mnashindwa kutumia akili zenu? Sii umtombeee tuu na kumuacha aendelee na bby daddy wake. Ugumu upo wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mwanamke tumekua kwenye mahusiano kwa zaidi ya mwaka. Katika kipindi hicho alikuwa anaishi kwao. Wakati tunaanza mahusiano alinieleza kuwa tayari ana mtoto wa kiume. Na kwasababu pia Mimi nilishapata Mtoto huko nyuma sikuona tatizo. Huyo mwanaye baba yake yupo na maisha yake mengine safi tu.

Baada ya kungoja sana mambo yake sawa, tukafikia kuamua kuishi pamoja angalau kwa kuwahusisha wazazi hasa upande wake. Binti ikabidi aje tuishinaye vkwangu. Hapo awali tulikubaliana kuwa huyo mwanaye atabaki kuishi kwa bibiyake na tutamuhudumia akiwa huko.Mimi mwanangu Yuko shuleni na akiwa likizo anakuja kusalimia na kurudi kwa mama, maana yeye ni wa kike.

Sasa baada ya miezi mitatu ya kuishi naye, huyu mwanamke alisubiri nikiwa safari akaenda kumleta huyo mwanaye aje aishi hapo. Pia hakuishia hapo akabeba na watoto wawili wa dada yake nao kaleta hapo na Sasa Kuna watoto watatu.

Nimesafiri tena na kurudi na bado nawakuta na hawana mpango wa kuondoka. Tayari anawaweja kwenye mipango na bajeti zetu kama wangu vile.

Binafsi napenda kuishi na Mtoto ambaye nakuwa huru naye. Yaani hata nikimuonya asichukulie kama namtesa. Kuna mambo yanafanyika nakaa kimya lakini nimegundua hiyo inanitesa Mimi.

Tafadhali nipe USHAURI wako. Hapo nifanyeje ili nipatie amani bila kuonekana Nina roho mbaya?
Kinyume na makubaliano, mwambie awarudishe au mpige chini... faqat!
 
Hawa singo maza wanaanza kufifisha malavidavi yangu kwao kwa mambo kama haya......haraka sana ajirekebisje😩😩
 
Huyo anatafuta namna ya kusaidia ndugu zake. Wewe kwake ni buzi vinginevyo angekuhusisha kwa kila jambo na kila. hatua. Naona mambo ya kimachame na kichaga, kirangi na hata kigogo. Ukioa mmoja wanakuja mia.
🤣🤣🤣Kwamba ukinunua moja unapewa nyongeza ya 10?
 
Kama hakuwahi kukushirikisha kuhusu hao watoto wengine mwambie awarudishe kwao
Kwanini ukae na kinyongo moyoni?
Fanya maamuzi sahihi mapema

Usipouanika utautwanga mbichi mtoa mada
 
chukua maamuzi kama mwanaume ukiwa mtu wa kuomba ushauri utakuja kuharibu mbeleni maana wew ndo uko na familia
 
Pole ndo maisha ya sasa iv.potezea ganga yajayo mzee
 
Sipendagi sikia Kuna wanaume dhaifu kama wewe.mpaka mke anaaamua maamuzi ya kuleta watoto bila kibali chako ujue ashakupanda kichwani..

Wanaume wengi mnaongozwa na wake zenu ..mmepoteza sifa ya uongoz aliowapa Mungu.
🪓🪓🪓
 
Sasa mke kutombwer nje na shamba boi nalo hilo lakumind kweli? Acha hizo mie pesonali mke wangu asipotombwer nje nambwaga...inamaanisha hamna mvuto kwa wanaume wengine.
Duuh!! [emoji33] [emoji33]
 
Nipe namba ya huyo single mama nimkanye au kama vipi nitamchukua mimi nikusaidie kulea na kusomesha hao watoto.
Inaonekana bado watoto wanavuruga bajeti yako ya dona.
Nitumie namba PM tafadhali.
 
Back
Top Bottom