Wazoefu wa mambo ya familia nipeni ushauri

Sanaa
Yaani napenda mwanaume anizidi Kila kitu Ili ani control kwenye Kila eneo!
Maana wanawake sisi bila hivyo tutakupand kichwani
Kumbeee akuzidi kila kitu au sio...wee sema akuzidi pesa tuu.
 
Fanya maamzi sasa hivi ili uwe na
amani baadae wewe ndo baba wa familia amua kama baba amua kama mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…