ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sitetei ushoga na siupendi lkn hayo unayosema umeyatoa wapi ilihari washirikina pia wana ibaada ya ibilisi?Ushoga siyo dhambi ya kawaida, ni chukizo kuu....ni kukengeuka kifikra na kimtazamo kumwelekea ibilisi, yaani unafanya ibada kwa ibilisi live....
Ushirikina unapingwa, lakini wazungu wameshikamana kutetea ushoga na mashoga hadi wanafanya matamasha mchana kweupe, wanaita 'gay pride parade' kwa sasa wanataka hayo matamasha yafanyike kwa muda mrefu zaidi hadi miezi 6, yaani mishoga inapita inajishebedua mitaani daily...Sitetei ushoga na siupendi lkn hayo unayosema umeyatoa wapi ilihari washirikina pia wana ibaada ya ibilisi?
Wahubiri wengi wazungu ni CIA, wanakusanya data, sijui security system ya kwetu wanajua hilo, wajivisha ngozi ya uchungaji kumbe jasusi hatari sana, kwa vile wanamikakati ya kupunguza waafrica watafanikiwa vizuri tu, kwa sababu ya Shida na njaa zetu.Na wamezagaa kweli kweli, Mbeya niliwaona, Kigoma pia niliwaona, Dom pia niliwaona hawa jamaa na ni ndani ya muda mfupi tu.
Ndio wameingiza hizo kilo 87kgs ambazo zimekamatwa kwenye land criser Dar leo.Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.
Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.
Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?
Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.
Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Umesahau Morogoro mkuu! Huko kwao kuna uovu wa kutisha iweje waje huku kutuokoa sisi??Na wamezagaa kweli kweli, Mbeya niliwaona, Kigoma pia niliwaona, Dom pia niliwaona hawa jamaa na ni ndani ya muda mfupi tu.
Kuna jambo lao wanalo itakuwa.Umesahau Morogoro mkuu! Huko kwao kuna uovu wa kutisha iweje waje huku kutuokoa sisi??
Everyday is Saturday............................... 😎
Mmoja nilimbamba sehemu anaongea accent kimarekani kingereza akapigiwa call ingine, akaongea Belarussian pure.Wahubiri wengi wazungu ni CIA, wanakusanya data, sijui security system ya kwetu wanajua hilo, wajivisha ngozi ya uchungaji kumbe jasusi hatari sana, kwa vile wanamikakati ya kupunguza waafrica watafanikiwa vizuri tu, kwa sababu ya Shida na njaa zetu.
Kweli kabisa kabisa 💯Wameshindwa kuwahubiria wenzao ambao hawajui hata kanisa lipo wapi, Bali wanawaza kumbi za starehe zifunliwe, wamekuja kupiga mishe huku
Kweli kabisa kabisaWameshindwa kuwahubiria wenzao ambao hawajui hata kanisa lipo wapi, Bali wanawaza kumbi za starehe zifunliwe, wamekuja kupiga mishe huku
Uku Africa, uovu upo kidogo kulinganisha na uko kwao Europe na America, lakini Cha ajabu wanakuja kuhubiri uku Africa ambako pako vizuri kwa nini wasihubiri uko kwao na China, India na Japan.Ushirikina unapingwa, lakini wazungu wameshikamana kutetea ushoga na mashoga hadi wanafanya matamasha mchana kweupe, wanaita 'gay pride parade' kwa sasa wanataka hayo matamasha yafanyike kwa muda mrefu zaidi hadi miezi 6, yaani mishoga inapita inajishebedua mitaani daily...
Sijui security apparatus za Bongo ziko serious kiasi ganiMmoja nilimbamba sehemu anaongea accent kimarekani kingereza akapigiwa call ingine, akaongea Belarussian pure.
Nikasema Bwana apewe sifa!
Everyday is Saturday................................😎
Wewe ndio shoga. PumbavuMbona umechachamaa sana, wewe ni shoga? nimesema hao wazungu wangejikita kuwahubiria wazungu wenzao ambao wameungana kumtumikia ibilisi kupitia chukizo la ushoga....hapo vipi?
Sawa mama...Wewe ndio shoga. Pumbavu
Mtu kama Olesabaya si bora shoga haumizi watuUshirikina unapingwa, lakini wazungu wameshikamana kutetea ushoga na mashoga hadi wanafanya matamasha mchana kweupe, wanaita 'gay pride parade' kwa sasa wanataka hayo matamasha yafanyike kwa muda mrefu zaidi hadi miezi 6, yaani mishoga inapita inajishebedua mitaani daily...
Mi nashangaa wanaacha kwenda kuhubiri katika nchi zao ulaya,madhambi yametamalaki mpaka wanaume kwa wanaume wanaoana. Wanakuja huku dailyNa wamezagaa kweli kweli, Mbeya niliwaona, Kigoma pia niliwaona, Dom pia niliwaona hawa jamaa na ni ndani ya muda mfupi tu.