Wazungu waanza kuambiana ukweli

Wazungu waanza kuambiana ukweli

Wangekuwa na msimamo wangesema mapema wakati wanaomba ku host kwamba pombe na hayo mambo mengine hayataruhusiwa, hiki wanachofanya sasa ni janja janja kama ile ya matajiri wadhulumaji wa nyumba na viwanja ambapo wana mset mwenye mali kwa madeni ya kijanja mpaka anashindwa kulipa kisha wanabeba nyumba.
Kwani hujui sheria za Qatar? Kwamba wabadili sheria zao kwa kitu cha mwezi mmoja hapa bongo miaka 60 tangu uhuru bado katika ni ile ile 😂😂😂.
 
Sasa hicho ndio kitabu au maneno ya mtu?
Sisi dini yetu tunaichukua kutoka kwenye kitabu na sunna za mtume muhammadi (swalallah alayh wa sallam) sio maneno ya kusadikika mzee ndio maana huwez kukuta kuna agano jipya wala la kale so katafute hoja nyingn sio kuniletea mashehe wa mchongo
Nyie ubishi ndo Hadi yenu, hapo shekhe amesema" mtaje swahaba yoyote wa mtume aliyekuwa mcheza mpira," ina maana hajasoma maandiko?
Mpira wa miguu ni moja ya tamaduni kutoka ulaya, Wala si utamaduni wa mwarabu.
 
Kwahy wataka kuniambia hao FIFA waliokubali hawajui sheria ya mikataba unajua wewe uliokuwa huko sambulachore mwisho wa upepo sio?
Naona uneshindwa kujibizana nami kwa kutumia mantiki.

Unashindwa kuunganisha hoja.

Kwanza kabisa, hapa umefanya kosa la kimantiki linaitwa "Argument From Authority".

Yani umewafanya FIFA kama hawawezi kukosea.

Pili, hujaelewa kwamba mimi pia naweza kukuambia habari ambazo zimeelezwa na hao hao FIFA.

Kama unajua kusoma Kiingereza soma.



 
#MICHEZO Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Gianni Infantino amezungumza na waandishi wa habari huko Qatar kuhusiana na malalamiko ya kutokuwepo kwa pombe viwanjani kwenye michuano ya Kombe la Dunia.

Infantino amesema kuwa,“Kama pombe ndilo suala kubwa tulilonalo kwa Kombe la Dunia basi nitajiuzulu mara moja na kwenda ufukweni kupumzika."

"Usipokunywa bia kwa masaa mawili matatu, bado unaweza kuishi, kwa sababu utaratibu huu pia upo hata kwenye nchi za Ulaya, ukienda Ufaransa, Ureno hata Uswisi sheria hizi zipo.Hapa imekuwa jambo kubwa sijui ni kwanini au ni kwa kuwa sababu ni nchi ya Kiislamu."

#WorldCupQatar #

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mbona umekalimani tofauti na mada au ndo madhara ya kukopi na kupaste
 
Hapo ni kwa watu unajua madhara yake? wako kweny ardhi yako kuruhusu ustaarabu mwingine ni kuhalalisha kusambaa kwa ustaarabu wao ni rahisi sana ndani ya mwezi mmoja .

Kuwa makini katika kutunza tamaduni zako watu wanakuja na kuondoka ila athari zinabaki milele..

Kitu ni simple tu fuata taratibu then utaondoka ..
Huyo mjuaji wa JF hawezi kukuelewa,hua anajikoki kubishana badala ya kueleweshana,akili yake hua inamuongopea kua yeye anajua kila kitu hapa JF na kingereza chake kama cha wafanya mazingaombwe wa zamani.
 
Nyie ubishi ndo Hadi yenu, hapo shekhe amesema" mtaje swahaba yoyote wa mtume aliyekuwa mcheza mpira," ina maana hajasoma maandiko?
Mpira wa miguu ni moja ya tamaduni kutoka ulaya, Wala si utamaduni wa mwarabu.
Kuna dini halafu kuna utamaduni hvyo ni vitu viwil tofaut ukisema utamadun bc hata kuvaa surual ni utamaduni wa wazungu na utamaduni wa waarabu ni kuvaa kanzu,
swali: sisi tusiovaa kanzu tunavaa surual sio waislam?
 
Mwarabu anaona ushoga na pombe ni jambo haram mno lakin mwarab ndiye top kwa kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile tena mwanamke wa kiarabu yupo tayari aitunze bikra yake ya mbususu ila akupe ANAL.

ila ili jambo limefunikwa na halizungumziwi, wanawake wengi wa kiarabu hawana marinda totali
 
Tatizo pombe na ufirauni unavyouchukulia wewe si kila mtu anachukulia hivyo.

Kwa sababu haya ni mambo ya tamaduni tofauti kuchukulia mambo tofauti.

Inawezekana utamaduni mmoja ukaona pombe ni kitu haram, wakati utamaduni mwingine ukaona kabla ya shughuli yoyote muhimu ni lazima lifanyike tambiko la pombe.

Sasa, katika jambo linalokutanisha tamaduni nyingi za dunia, kujua jinsi ya kwenda hapo ni changamoto.

Pia, huo unaouita ufirauni, kwa wengine ni haki ya kibinadamu tu, ni sawa na wewe unavyoona una haki ya kwenda uwanjani na familia yako halafu mtu akukataze akuambie huo ni ufirauni. Ni masuala ya tamaduni tofauti.
Unapoenda kwenye nchi ya mwenzako jaribu kuheshimu taratibu za nchi husika huo ulevi na kufumuana mitaro subiri ukirudi kwenu
 
nyie si mnasema mpira ni dhambi? tatizo mmejawa na unafiki
Hii utakua umeitunga ww , Sasa ingekua ni dhambi Qatar wangeruhusu Mpira uchezwe kwao , kwanza ndio nalisikia kwako , yaani unashabikia kabisa kufumuliwa marinda aisee
 
Unapoenda kwenye nchi ya mwenzako jaribu kuheshimu taratibu za nchi husika huo ulevi na kufumuana mitaro subiri ukirudi kwenu
Kwanza kabisa umeandika kama mtu ambaye hawezi kufanya fikra dhahania.

Yani huwezi kuongelea hoja mpaka uniweke mimi kama mtu binafsi.

Hii ni ishara kubwa ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

You have a problem with abstract thinking.

You want to personalize everything.
 
Kwanza kabisa umeandika kama mtu ambaye hawezi kufanya fikra dhahania.

Yani huwezi kuongelea hoja mpaka uniweke mimi kama mtu binafsi.

Hii ni ishara kubwa ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

You have a problem with abstract thinking.

You want to personalize everything.
Wewe umefanya huo ufikiri yakinifu kabla ya kutetea upuuzi
 
Hii utakua umeitunga ww , Sasa ingekua ni dhambi Qatar wangeruhusu Mpira uchezwe kwao , kwanza ndio nalisikia kwako , yaani unashabikia kabisa kufumuliwa marinda aisee
unaona akili zenu
hamjawahi kuwa na hoja zaidi ya hiyo marinda, inaonekana unapenda sana kukagua watu marinda, baadae tupo mrejesho kama babako bado anayo au lah
 
Kwanza kabisa umeandika kama mtu ambaye hawezi kufanya fikra dhahania.

Yani huwezi kuongelea hoja mpaka uniweke mimi kama mtu binafsi.

Hii ni ishara kubwa ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

You have a problem with abstract thinking.

You want to personalize everything.
hawa hawajawahi kuwa na hoja zaidi ya hiyo ya marinda
Mbona hawasemi wafanyakazi wangapi wa ndani wanaofumuliwa marinda nchi za kiarabu kama oman na wanatoa ushuuda hadharani
 
Wazungu nafkiri hili kombe la dunia kwenda qatar imewauma sana sijajua kwanini maana propaganda dhidi ya qatar zimekua nyingi sana kutoka nchi za ulaya. Sioni nchi zingine zikilalamika. Mara waruhusu mashoga mara waruhusu bia uwanjani.
 
Back
Top Bottom