Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Mshike mzungu mmoja aongee nawewe kidhungu kutujulisha anenda wapi na kwa nini!
 
Ziwafikie Sukumagang Masalia😂
 
Muda sio mrefu nitaanza safari ya kuelekea Moshi from Arusha naamini huko njiani nitakutana na cruizer, hiace mayai na coaster Kali zikiwa na wanegro wakutosha.
 
Usije kuta hao ni wakimbizi wa vita Ukraine
 
Wala hatuhitaji kuwapitishia watalii wetu kwenye viwanja vya ajabu ajabu kama Bole sijui nini.
Wetu wanamba moja kwa moja toka Ulaya ,Marekani na kwingine kule.
KQ,KLM, Silverstone, Lufthansa,British Airways,United etc
Halafu ni msimu wa nyumbu wetu kurejea toka utumwani hapo nchi ya kidikteta sijui Seringiti.,[emoji74][emoji74][emoji74]

Kalb hayawan ...!
 
Sawa tumejua kuwa nawe umepanda ndege.
 
Duh! Kwahio hujui ET inaenda karibu dunia nzima na hata ukitoka US/UK etc kwa kutumia ET lazima ushuke Addis ndio upande ndege ya kukupeleka Znz/Kia/Dsm/Nrb etc?
Hakuna utalii wa kuona sinema ikiisha unafunga safari kwenda kutalii ulikokuona, utalii hupangwa mwaka mmoja kabla, utalii wa ndani unakwenda Sabasaba unapanda basi mnapelekwa Mikumi jioni mnarudi. Hii habari ya kuona Royal Tour ndani ya ndege kisha mnamwambia rubani ageuze ndege mkaone haipo.
 
Wengine ndiyo wanaingia kuchukua nafasi ya masaai tuliowafukuza kutoka kwenye sehemu zao walizo kuwa wanaishi.
 
Hatupambani na Kenya bali tutawaacha kwa mbali saaaana.
Hamtakaa muwaweze Kenya maana tayari wapo juu sana kiuchumi.

Shilingi moja ya Kenya nyie mnaipata kwa sh 23 zenu za madafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…