Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

.
 

Attachments

  • VID-20230310-WA0061.mp4
    3.1 MB
Sio huko mbeleni mkuu hata sasa watoto wa kiume wako hatarini sana.

Kuna miharamia imehalalisha mapenzi kinyume na maumbile na hao ndio wanaoharibu watoto kwa kiasi kikubwa ukiachana pia na uraibu wa utumiaji wa mitandao ya kijamii.
Kuna baadhi wanatafuta justification za kila aina kuhalalisha huu uvundo
 
Naomba mjue kuwa hakuna wa kukulelea wanao. Nawaasa tena vijana acheni kutia mimba mabinti na kuwabtelekeza watoto wanao wazaa wanakosa malezi ya baba wanakua mapunga tu, maana mama mwenyewe pengine mdangaji tu. Tuache kulialia na kumtwisha Mungu mizigo asiyostahili, kazi ya kusimamia uhai wetu ni kubwa sana, na ss tutimize wajibu wa malezi ya watoto. Mtoto wako akiwa punga, tutakuatak tu kwamba ulishindwa kutimiza majukumu yako over. Ww unajua kabisa kwenye kila filamu yabkigilipono kuna mtu ana dalili za ushoga, la bado unakaa na wanao mnaangalia halafu unamwambia Mungu akusaidie? Go to hell.
 
Hakuna viumbe ninaowachukia kama mashoga walaaaniwe
Sio sahihi kuchukia viumbe walioumbwa na Mungu kama na ww ulivyoumbwa na Mungu huyo huyo, ILA narudia tena ILA chukia kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote matendo yao maovu yaliyokithiri.
 
 
ni hatari
 
Huyu mwais jinsi alivyokuw nilhis hayupo saw kbs kumbe nae sio rzk

Maish haya mwisho wa vzaz vyetu cjui itakuwaje

Manii huathiri kama vimelea vya kichaa cha mbwa
 
Kuna baadhi wanatafuta justification za kila aina kuhalalisha huu uvundoView attachment 2546300
Hao ni wapumbavu na wazushi kabisa kwenye uislamu ukimuingilia mnyama tu unauwawa, sembuse mwanamke kinyume au mwanaume mwenzio na habari za watu wa luti zimetangaa kwenye quran, iweje kupatikane mgongano kama huo.
 
Hao ni wapumbavu na wazushi kabisa kwenye uislamu ukimuingilia mnyama tu unauwawa sembuse, mwanamke kinyume au mwanamke na habari za watu wa luti zimetangaa kwenye quran, iweje kupatikane mgongano kama huo.
Kizazi kimeoza na kuharibika kabisa hiki
 
Mkuu kuzaa na wanawake bila ndoa ndio matokeo yake haya, watoto wanapata malezi ya single parent tena mama, anajipodoa mbele yake hana ugumu anaouona yeye anashuhudia tu urembo urembo matokeo ni ushoga.
Na ndio maana mimi ni mpinzani number moja wa kampeni za kataa ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…