Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh 2016 nilikuwa F1 nilikuwa sijui chochote kuhusu hivi vitu daaah [emoji19]Hii ni mada ya 2016 na hali ilikuwa hivyo!
Sijaelewa hiyo ni wapo live?
Kuna baadhi wanatafuta justification za kila aina kuhalalisha huu uvundoSio huko mbeleni mkuu hata sasa watoto wa kiume wako hatarini sana.
Kuna miharamia imehalalisha mapenzi kinyume na maumbile na hao ndio wanaoharibu watoto kwa kiasi kikubwa ukiachana pia na uraibu wa utumiaji wa mitandao ya kijamii.
Je, Arabuni ndio kipimo cha chukizo hilo na adhabu yake?Arabuni wananyongwa tu hao
Sio sahihi kuchukia viumbe walioumbwa na Mungu kama na ww ulivyoumbwa na Mungu huyo huyo, ILA narudia tena ILA chukia kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote matendo yao maovu yaliyokithiri.Hakuna viumbe ninaowachukia kama mashoga walaaaniwe
Naomba mjue kuwa hakuna wa kukulelea wanao. Nawaasa tena vijana acheni kutia mimba mabinti na kuwabtelekeza watoto wanao wazaa wanakosa malezi ya baba wanakua mapunga tu, maana mama mwenyewe pengine mdangaji tu. Tuache kulialia na kumtwisha Mungu mizigo asiyostahili, kazi ya kusimamia uhai wetu ni kubwa sana, na ss tutimize wajibu wa malezi ya watoto. Mtoto wako akiwa punga, tutakuatak tu kwamba ulishindwa kutimiza majukumu yako over. Ww unajua kabisa kwenye kila filamu yabkigilipono kuna mtu ana dalili za ushoga, la bado unakaa na wanao mnaangalia halafu unamwambia Mungu akusaidie? Go to hell.
ni hatarinaweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie.![]()
Huyu ndugu siku yake iliharibika kabisa na akaona kama ni mkosi na nuksi kubwa kabisa kuombwa na mwanaume mwenzake amuingilie.
Wazungu ni washenzi sana hii kitu waliipenyeza kidogo kidogo tukapinga na kuikataa kwa nguvu zote lakini taratibu tunaishiwa na pumzi na kuanza kuona kama ni kitu cha kawaida vile.
Kuna vitu vyenye kuacha maswali mengi siku hizi lakini hatuvikemei tenan. Vijana wa kiume kubusiana hadharani. Vijana wa kiume kusuka nywele tena Mitindo![]()
Vijana wa kiume kuvaa nguo za kike. Vijana wa kiume kutoga masikio na kujikwatua kama wanawake huku wakitumia kwa sehemu kubwa vipodozi vya kike. Vijana wa kiume kuvaa mapambo ya kike nk nk
Hakuna dalili njema hapa wazungu wameharibu wa kwao sasa wamekuja kuharibu na wa kwetu...kuna baadhi ya nchi za ulaya sasa hivi kuna uhaba wa watoto wadogo au wanawake wajawazito...nani atawapa mimba?wakati fashion siku hizi ni ndoa za jinsia moja.
Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana![]()
Huyu mwais jinsi alivyokuw nilhis hayupo saw kbs kumbe nae sio rzk
Maish haya mwisho wa vzaz vyetu cjui itakuwaje
Hao ni wapumbavu na wazushi kabisa kwenye uislamu ukimuingilia mnyama tu unauwawa, sembuse mwanamke kinyume au mwanaume mwenzio na habari za watu wa luti zimetangaa kwenye quran, iweje kupatikane mgongano kama huo.Kuna baadhi wanatafuta justification za kila aina kuhalalisha huu uvundoView attachment 2546300
Kizazi kimeoza na kuharibika kabisa hikiHao ni wapumbavu na wazushi kabisa kwenye uislamu ukimuingilia mnyama tu unauwawa sembuse, mwanamke kinyume au mwanamke na habari za watu wa luti zimetangaa kwenye quran, iweje kupatikane mgongano kama huo.
Mkuu kuzaa na wanawake bila ndoa ndio matokeo yake haya, watoto wanapata malezi ya single parent tena mama, anajipodoa mbele yake hana ugumu anaouona yeye anashuhudia tu urembo urembo matokeo ni ushoga.Kizazi kimeoza na kuharibika kabisa hiki
Na ndio maana mimi ni mpinzani number moja wa kampeni za kataa ndoaMkuu kuzaa na wanawake bila ndoa ndio matokeo yake haya, watoto wanapata malezi ya single parent tena mama, anajipodoa mbele yake hana ugumu anaouona yeye anashuhudia tu urembo urembo matokeo ni ushoga.
Hiyo picha ya tatu na vuzi la kwapa, ni majanga