Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wanaume nao wamekuwa viumbe adimu sana kupotea jamani hii si hatari kubwa sana???? Mungu turehemu mweeeehhh
 
Nimejikuta sina la kusema maana inaumiza sana kuona mwanaume kabadilika na kuwa mwanamke
 

Mbona sasa kila kitu wazungu wanasingiziwa. Ina maana kabla ya ujio wa wazungu ushoga haukuwepo afrika??? Na wale vijijini ambao ni mashoga nao wazungu?? au watoto wanaozaliwa na wanakua wakipenda jinsia Yao?? Wazungu wapo mstari wa mbele kutetea haki za binaadamu na kutetea haki za wanao nyanyaswa Kama watoto, walemavu, wanawake, na mapenzi ya jinsia moja.
Kila binaadamu anayo haki ya kupenda anayetaka. Hii ni haki ya msingi kwa kila binaadamu.
 
Ndio walianza kuhalalisha ndoa za jinsia moja na kuliweka hili kwenye katiba zao BTW unaongelea vijiji vipi vya mwaka gani? Hii kitu afadhali kidogo huku mijini inavumilika lakini sio vijijini never
Ishu za kutetea haki za makundi mengine haziwezi kuhalalisha kutetea ushoga ambao unapigiwa chapuo kubwa kweli kuliko hata hayo makundi mengine
 
Malezi pia huchangia sana watoto kuwa ivyo.
Tujitoe 100% kulea watoto at every stage ya maisha yao with close follow up
 
Hii mambo imenikuta hapa jf,roho yangu ilikufa ganzi,jamaa amenitumia pic nyingi na anasema anakaa mbezi aaah uchafu mtupu,eeh mungu wasamehe zambi zao.
 

Haki ya kupenda na kupendwa ni haki ya msingi kwa kila binaadamu na hauwezi kumuamulia mtu kupenda unayetaka wewe.
Wewe umeamua kumpenda mke wako au mume wako sawa kabisa na Hilo mwingine halimhusu na mwingine naye akiamua kumpenda mwenzake wa jinsia moja wewe inakihusu nini? Au unapungukiwa na kitu? Waache wapendane. Na hata hao wazungu unaosema wameharibu vijana kuna mtu kalazimishwa kupenda jinsia yake ? Kuna mafunzo wanatoa au zawadi wanatoa ili kutusurutisha kupenda jinsia moja?? Hapana. Kila mtu kaamua kumpenda na kupendana na anayeona inamfaa.
 
Yes, wazungu washaharibikiwa vibaya na sasa mkakati umewekwa wa muda mrefu kuiharibu Africa kabisaaa. It is true that, in the western world, the population of the old people is bigger than the young ones. They are staring at extinction right before them. It is only in Africa where the young population is balooning every day. The fear of the whites is that, the continued african population growth is a threat to their self imposed white supremacy. Since the majority rules,They fear being ruled by Africans one day. As such, they force down our throats such dirty things like family planning, Homosexuality, Lesbianism, women rights, children rights etc to confuse and disorganize Africans so that there is no harmony between couples, parents and their children, members of society etc. The main aim of this is only one, to nip in the bud the African population growth.
 
Idiotic comment.
 
Maslahi yako ni yapi kwenye hili? Hii ni ID nyingine? Unaukubali ushoga? Una watoto? Je kati yao yupo wa kiume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…