Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

you always put your blames on white men, why?
kuna mzungu aliyewalazimisha mfanye/wafanye hivyo?
kila binadamu ana utashi.
so if you choose to imitate something usimlaumu mwingine.

Touche!

Halafu watu wanafiki sana.

Ushoga mbona upo siku zote tu huku Afrika...sasa iweje walaumiwe Wazungu?

Watu wengine bana.
 
unaweweseka tu wewe huna lolote! nimekupa mfano hai unaoendana na upumbafu wako.
 
Ukipenda chongo utaona kengeza

Hahahaa wewe ni lipumbavu kabisa na uko juha kama jiwe.

Wazungu na ushoga wanahusiana nini?

Kuna sehemu hapa duniani ambako ushoga haupo?

Na tukianza kukulaumu wewe humu kwa kutuwekea hayo mapicha yako ya kishoga utafurahi?

You are totally out of it. Way in over your head.
 
maajabu si kidogo! wazungu wanalaumiwa kwa swala la ushoga! ni sawa na walabya na wale waarabu wanapowalalamikia wazungu kwa kuwachonganisha wao kwa wao na kuzusha vita.
ina maana tumishikwa akili na wazungu?
hatuwezi kubaini lolote lile?
msiwalaumu wazungu kwa upumbavu wenu.
mashoga mnaishi nao humo vyumbani tangu wanakua leo hii lofa mmoja anawakurupukia wazungu.
how absurd!!!.

Hata kujamba atawasingizia wazungu huyo.

Hahahaaa....kosa vyote lakini si akili aisee.
 
Hahahaa wewe ni lipumbavu kabisa na uko juha kama jiwe.

Wazungu na ushoga wanahusiana nini?

Kuna sehemu hapa duniani ambako ushoga haupo?

Na tukianza kukulaumu wewe humu kwa kutuwekea hayo mapicha yako ya kishoga utafurahi?

You are totally out of it. Way in over your head.
Duu mbona reaction imekuwa kubwa kiasi hiki?
 
Hio ni Documentary ya huko Jamaica Vijana wadogo wakifanya kazi ya ushoga..Tena walionyeshwa mahali wanapokaa kwenye madaraja makubwa(culvert)..Inasikitisha sana..kuna baadhi ya jamii haiwakubali ndio maana wanakaa kwenye maculvert..Usiku wakienda kwenye biashara huwa wanaambulia visu na vipigo kutoka kwa baadhi ya wateja..
Wengine hawakupenda lakini ndio maisha yamewasukuma kufanya hiyo kazi na wako wa kutosha..
 
Duu mbona reaction imekuwa kubwa kiasi hiki?

Hakuna ukubwa wowote.

Ni maruerue yako tu na upumbavu wako ndo unaokusumbua.

Hao wazungu walikuja kukulazimisha uwe shoga? Ulishikiwa bunduki uwe shoga la sivyo utafumuliwa komwe?

Come on dude.
 
Hio ni Documentary ya huko Jamaica Vijana wadogo wakifanya kazi ya ushoga..Tena walionyeshwa mahali wanapokaa kwenye madaraja makubwa(culvert)..Inasikitisha sana..kuna baadhi ya jamii haiwakubali ndio maana wanakaa kwenye maculvert..Usiku wakienda kwenye biashara huwa wanaambulia visu na vipigo kutoka kwa baadhi ya wateja..
Wengine hawakupenda lakini ndio maisha yamewasukuma kufanya hiyo kazi na wako wa kutosha..

Sasa kama ni hivyo, wazungu wanahusikaje hapo?
 
Hakuna ukubwa wowote.

Ni maruerue yako tu na upumbavu wako ndo unaokusumbua.

Hao wazungu walikuja kukulazimisha uwe shoga? Ulishikiwa bunduki uwe shoga la sivyo utafumuliwa komwe?

Come on dude.
Mmh mbona unajaribu kuua mbu kwa rungu?
 
Hata kujamba atawasingizia wazungu huyo.

Hahahaaa....kosa vyote lakini si akili aisee.
Eti kuna kale kausemi ka siku nyingi sana "Ukijambaa mbele ya mzungu atakupa hela"
Kumbe ni kukosa akili ya kufikiri..
 
who am i? Do you really need to know? After failling to discuss issues you are now hoping from one topic to another? You want me to follow you to the new topic? Even there you will just be thwarted. Enjoy a sound sleep and pass a message to those dirty stinking skunks that they are hanging on a very thin thread.

Wewe umempenda unaempenda bila kuchaguliwa na kuonewA , kwa nini wewe unataka umchagulie mwenzako wa kumpenda. Acha hizo jomba. Ishi maisha yako acha kuingilia wenzako
 
Eti kuna kale kausemi ka siku nyingi sana "Ukijambaa mbele ya mzungu atakupa hela"
Kumbe ni kukosa akili ya kufikiri..

Hahahaa...kaazi kweli kweli.

I mean, watu wanafanya ushoga kwa hiari yao halafu wa kulaumiwa wanakuwa wazungu.

Halafu, mtu kama kaamua kwa hiari yake kuwa shoga....kwa nini wengine wahemuke?

Wanawaonea wivu hao mashoga au? Wanatamani wao ndo wangekuwa wanaliwa tigo?

Sioni kwa nini nijishughulishe na mapenzi ya mwingine kuliwa tigo.

Tigo ni yake, maisha ni yake, uamuzi ni wake.

Tatizo liko wapi?
 
Haki ya kupenda na kupendwa ni haki ya msingi kwa kila binaadamu na hauwezi kumuamulia mtu kupenda unayetaka wewe.
Wewe umeamua kumpenda mke wako au mume wako sawa kabisa na Hilo mwingine halimhusu na mwingine naye akiamua kumpenda mwenzake wa jinsia moja wewe inakihusu nini? Au unapungukiwa na kitu? Waache wapendane. Na hata hao wazungu unaosema wameharibu vijana kuna mtu kalazimishwa kupenda jinsia yake ? Kuna mafunzo wanatoa au zawadi wanatoa ili kutusurutisha kupenda jinsia moja?? Hapana. Kila mtu kaamua kumpenda na kupendana na anayeona inamfaa.
Sawa ni haki ya mtu kupenda, sasa je mtu akipenda akupumulie wewe? Utakubali maana ukikataa tayari utakuwa umemnyima haki mwenzako
 
Najaribu kukuonyesha tu ulivyo mpumbavu.

Nothing more, nothing less.
Haya kama umemaliza Chapa lapa manake umekuja na spidi 180 mahali pasipohitaji hata spidi 20
Hizi kejeli ni mambo ya kawaida sana kwenye nyuzi kama hizi...ni sawa na kumwambia mtu akalie chuma cha moto bila taarifa always reaction huwa kama yako! Atakuita majina yote mabaya na kukukejeli kadiri awezavyo ila kwakuwa unakuwa tayari ushajua ni kwanini inabaki tu kuenjoy the trending
 
Back
Top Bottom