Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kkwa kusema hivi sitetei upande wowote kama unajua waafrika wameanzia wapi usingeleta uzi huu kwa kuwalaumu wazungu shida si wazungu ni hawa malimbukeni kuigaiga vitu visivyo na tija kwani hakuna waafrika walioingiliana wao kwa wao hapo kale tumieni akili kujilinda na visingizio ujinga utawaua waafrika kwa kuandika hivi siko upande wa wazungunaweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie![]()
Huyu ndugu siku yake iliharibika kabisa na akaona kama ni mkosi na nuksi kubwa kabisa kuombwa na mwanaume mwenzake amuingilie
Wazungu ni washenzi sana hii kitu waliipenyeza kidogo kidogo tukapinga na kuikataa kwa nguvu zote lakini taratibu tunaishiwa na pumzi na kuanza kuona kama ni kitu cha kawaida vile![]()
Kuna vitu vyenye kuacha maswali mengi siku hizi lakini hatuvikemei tenan
Vijana wa kiume kubusiana hadharani
Vijana wa kiume kusuka nywele tena Mitindo
Vijana wa kiume kuvaa nguo za kike
Vijana wa kiume kutoga masikio na kujikwatua kama wanawake huku wakitumia kwa sehemu kubwa vipodozi vya kike
Vijana wa kiume kuvaa mapambo ya kike nk nk
Hakuna dalili njema hapa wazungu wameharibu wa kwao sasa wamekuja kuharibu na wa kwetu...kuna baadhi ya nchi za ulaya sasa hivi kuna uhaba wa watoto wadogo au wanawake wajawazito...nani atawapa mimba?wakati fashion siku hizi ni ndoa za jinsia moja![]()
Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana
una matatizo wewe.....mtakufa kwa presha kufwatilia mambo ya watu... by the way sipendi mwanaume kujipamba kama mwanamke. but i have no problem with homosexuallity.
Mnafiki mama nyani muuza kangara.Touche!
Halafu watu wanafiki sana.
Ushoga mbona upo siku zote tu huku Afrika...sasa iweje walaumiwe Wazungu?
Watu wengine bana.
Unacheka ka umekalia cucumber!Hahahaa wewe ni lipumbavu kabisa na uko juha kama jiwe.
Wazungu na ushoga wanahusiana nini?
Kuna sehemu hapa duniani ambako ushoga haupo?
Na tukianza kukulaumu wewe humu kwa kutuwekea hayo mapicha yako ya kishoga utafurahi?
You are totally out of it. Way in over your head.
Mnafiki mama nyani muuza kangara.
We mwenyewe Mboga.
Wanamme wanakutafuna kila siku halafu unataka kusema nini?
Unacheka ka umekalia cucumber!
Teh teh teh teh.
Unakashifu ushoga wake wewe mmoja wao!
We nyapi kweli kweli
Unaonyesha Nyama km zako za nyuma au sio.
Wakati huu ni mgumu kuliko maelezo maana wengi wanashangilia uovu na kuupa kipaumbele kuliko matendo mema,hivi nguvu inayotumika kuunga mkono ushenzi huu ingetumika ktk kuleta maendeleo si nchi ingelikuwa mbali sana!!.inatisha kuona mtu anatetea uchafu huu kwa nguvu zote
Cjui niseme nini ila unabahati hakunaga.Nashukuru sana mkuu mshana jr kwa kuweka uzi humu jamvini hakika mwanaume yeyote ambae amezaliwa kwenye maadili angepata nafasi mwanaume mwenzako akiomba umgegede nafikiri siku ingeharibika sana..kiukweli kesho yake nilikosa raha kila nikiwaza jamaa alivyokomalia akitaka nimgegede..uzuri mshana jr alitumia busara kunifata PM nikamtumia na picha za mshikaji akinionyesha mali ya nyuma na mikao yote..wenye tabia hizo badilikeni aisee
Wewe huko ulikwenda kufata nini![]()
Laana kubwa hii!!!