Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

Inawezekana kweli
Kkubwa kabisa kinachopelekea watu wapate maendeleo ni nidhamu. Hata mtu binafsi akikosa nidhamu ya maisha nyumbani kwake hawezi kupata maendeleo, Watu watabaki wanasema tu "jamaa kichwani yuko safi sana, halafu hata hela kwake siyo tatizo lakini maendeleo hamna". Hapo ujue mhusika anyeongelewa kwa jinsi hiyo ni mtu ambaye hana nidhamu ya maisha, possibly kwenye maswala ya fedha na mengineyo yanayofana na hayo
Huwa nashangaa muno watu kung'ang'ania sana maandiko ya kwenye Katiba halafu eti hayo ndiyo yaje yatuletee maendeleo. Haoana, tunatakiwa kumsikiliza mbeba maono anasema nini halafu tufuate yale anayoyasema. Aliyepewa mamlaka ya kuwa na vision ya nchi inatakiwa kwenda wapi, ndiyo huyo anayebeba maendeleo yetu watanzania, hakuna mwingine.
 
Asante kwa ufafanuzi wako mkuu
 
Mkuu hiki ulichoandika unamaanisha au unatania ?
Sisi kama tulikuwa superior kwa nini hatukwenda kuwa colonise wao huko europe?
Katika kuukimbia ukweli , africans tunazidi kujichimbia chini, , matter of the fact ni kuwa jamaa walitutangulia .
Kitendo tu cha kutawaliwa kinaonesha wao ni superior....I think you are right about this, maana wametuzidi maarifa na ndo maana wakaweza kututawala.
 
Kwanza umekubali ya kuwa Uyahudi ni dini,ambayo hata wewe unaweza kuwa ?

Sahihi kabisa,unaweza kumjua Myahudi pasi na "definition" ukatolewa mfano wa imani zao au Historia yao ukawajua. Hoja yako ya msingi ni "Definition" kama kigezo cha kwanza cha kujua jambo,huku usahihi si hivyo.

Leo hii mimi naweza kumjua Mzungu ni yupi pasi na kujua hiyo "definitions" zaidi ya kuwajua watu hao,nikawa sijui "definitions" ya Mzungu ila nikakwambia huyu ni mzungu. Nilikutolea mfano wa maji,leo nikiyaona maji nakwambia haya ni maji pasi na kujua maana ya maji. Sijui nilicho kiandika na kukitolea mfano ulikeelewa au ?

Mimi leo hii ukinionyesha Mzungu nakwambia huyu Mzungu.
 
Hilo la Uyahudi kuwa dini nilishawahi kulisema hapa JF kabla ya leo, kwa hiyo si kitu ninachokubali leo, nishakisema hapa.

Na kuna uyahudi wa kinasaba wa Ashkenazi Jews, ambao hakuna mtu anaoweza kuupata kidini.

Hujajibu kama Steve Jobs, aliyewekwa kwenye list ya wazungu,mtu ambaye baba yake ni Muarabu wa Syria, ni Mzungu au si Mzungu?

Kwa kigezo gani?
 
Hata mimi naweza kuwa Myahudi kwa dini, bali pia kuna Ashkenazi Jews wanapimwa kwa DNA kujulikana kama ni Ashkenazi Jews, kitu ambacho mimi Msukuma siwezi kuwa nacho, unajua hilo?
Hili marejeo yake wapi ? Kwangu jipya hili.

Hakuna Myahudi wa Nasaba,nitakuuliza nasaba inarudi kwa nani ?
Mimi binafsi nikimuona Mzungu namjua bila hata ya hiyo maana.

Lakini mtoa mada si hoja ya kuwa yeye amepatia,na inaonyesha ya kuwa Hawajui Wazungu kwa kuona mtu mweupe.
 
Hilo la Uyahudi kuwa dini nilishawahi kulisema hapa JF kabla ya leo, kwa hiyo si kitu ninachokubali leo, nishakisema hapa.

Na kuna uyahudi wa kinasaba wa Ashkenazi Jews, ambao hakuna mtu anaoweza kuupata kidini.
Hakuna Uyahudi wa kinasaba. Ndiyo maana nimekuuliza marejeo ya hiyo nasaba kwa Wa kwanza wao ni nani ?

Niambie hao Ashkenazi wanarejea kwa nani katika uzao.

Maana ukisoma katika vitabu vya historia kuna maana nne za Uyahudi,na maana moja katika hizo nne ni ukopaji wa jina la Mtoto wa nabii Yakoub aliyeitwa Yuda (Yaghouth) kama wanavyomuita na si nasaba kwa maana ya uzao.

Sasa hao wanao kinasibisha na Uyahudi wa kinasaba,inabidi watuambie wanarejea kwa nani
Hujajibu kama Steve Jobs, aliyewekwa kwenye list ya wazungu,mtu ambaye baba yake ni Muarabu wa Syria, ni Mzungu au si Mzungu?
Hili nimejibu.
 
Umenikumbusha Malcom X!
 
Unasema hakuna Uyahudi wa kinasaba. Kuna Uzungu wa kinasaba? Na unatenganishaje huyu Mzungu na huyu si mzungu?

Hujajibu swali hili.

La Steve Jobs umejibu wapi?

Post namba ngapi?

Steve Jobs Baba yake Muarabu wa Syria, yeye ni Mzungu au si Mzungu? Kwa minajili gani?
 
Kama tulikua wajanja hvyo..y sisi tusiwawai wao yaan sisi ndo tukawafanya wao wawe kama sisi..
 
Soma post #146 na 148.

Kwanini maswali yangu hujibu mzee ? Naona unayapita tu kama huyaoni.
 
Soma post #146 na 148.

Kwanini maswali yangu hujibu mzee ? Naona unayapita tu kama huyaoni.
Hujajibu swali langu.

Umesema ukimuona Mzungu unamjua.

Unamjuaje?

Kuna Waarabu ukiwaona unaweza kusema ni wazungu, lakini ni Waarabu.

Steve Jobs baba yake ni Muarabu wa Syria.

Steve Jobs kawekwa kwenye list ya Wazungu hapa.

Steve Jobs ni Mzungu?
 
Nashangaa unaposema swali lako sijajibu.

Nimekwambia kuna mambo hayahitaji kujua maana ili uyajue nilikupa mfano wa maji,ukiniuliza maana ya maji siijui,ila nikiyaona au kuya test nakwambia haya maji na kweli maji, ndivyo hivyo ilivyo kwa mzungu,ukiniambia mzungu ni nani sina maana ya mzungu ila nikimuona nakwambia huyu mzungu.

Kadhia ya huyo jobs ukimuangalia kwa mtu anaye wajua wazungu kuna kitu atasema tu.

Hivi inakuwaje unadai wenzako hawajajibu maswali na huku wewe jujibu maswali ? Kuna maswali nimekuuliza nasubiri majibu.
 
Kama tulikua wajanja hvyo..y sisi tusiwawai wao yaan sisi ndo tukawafanya wao wawe kama sisi..
Wanasingizia eti nyenzo,sa waulize hizo nyenzo wao wamezitoa wap? Kwann sisi hatukubuni zetu,kwann wao walibuni zao wakatiwahi sisi?
 
Maji hujui ni nini? Huna jinsi ya kujua maji ambayo itakupa definition ya maji ni nini na kisicho maji ni nini?

Hujanieleza utajuaje Steve Jobs ni Mzungu, wakati Baba yake ni Muarabu wa Syria.

Waarabu wa Syria ni wazungu?
 
Maji hujui ni nini? Huna jinsi ya kujua maji ambayo itakupa definition ya maji ni nini na kisicho maji ni nini?

Hujanieleza utajuaje Steve Jobs ni Mzungu, wakati Baba yake ni Muarabu wa Syria.

Waarabu wa Syria ni wazungu?
Ongeza umakini katika nilichokiandika,hakuna sehemu niliyo sema ya kuwa Jobs ni mzungu.

Pili,nimekuonyesha ya kuwa si lazima ujue maana ya kitu ili ukielezee au ukipnge au ukijengee hoja. Nikakutolea mfano wa maji. Nimekwambia mimi sijui maji ni nini,ila nikiyaona nakwambia haya ni maji,hii ni kutokana na kujulukana kwake mpaka ikafikia hatua ya kutokuwa na haja ya mtu kujua au kutaka kujua maana ya maji.

Swali lako nimekujibu,na hapa nasubiri majibu ya maswali yangu. Udikimbie maswali.
 
Hili liko wazi,
Ndio maana wazungu huwa wako macho sana na kuwa wakali (ikibidi kuua) mwafrika yoyote mwenye mawazo ya kimapinduzi. Mf. Martin Luther king jr. Malcom X, Bob Marley, Muhmur Gaddafi, Magu? na wengineo.
Umeisha haribu kumtaja nyambisi huyo Magu wako ,kafanya nini la ajabu?


Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…