Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]kula kwanza [emoji109]mkuu nimedaka iyo pointi. Huenda hii ikawa kweli kabisa. Cha kushangaza hata sheria za dunia katunga mzungu na ukitunga zako zinaonekana za kimila na hazifai[emoji16][emoji16]

Kwenye gunduzi hata mm nashangaa unagunduaje ziwa lililoumbwa na Mungu? Kabla ya ugunduzi huo halikuepo?. Ni muda sasa umefika wa kubadilisha majina ya ya vilivyogunduliwa na wazungu vipewe majina ya asili ya eneo hilo
Ndio Ukweli huko ulaya na USA mtu Mweusi ilikuwa ni Kosa la jinaj kujua kusoma. So ilikuwa kama wajua kusoma ni unajificha kuwa wewe ni Kilaza hujui Kusom sababu hawakutaka mtu mweusi aliyeelimika. Na ndio maana ikabidi ili mkono uende kinywani wakimbilie kwenye kazi za nguvu/michezo na miziki na ndio maana Wako vzri Sana upande huo. Lakini sio Kwamba hawana akili.... Ni mfumo wa kitumwa ndio uliwaathiri
 
Mkuu hiki ulichoandika unamaanisha au unatania ?
Sisi kama tulikuwa superior kwa nini hatukwenda kuwa colonise wao huko europe?
Katika kuukimbia ukweli , africans tunazidi kujichimbia chini, , matter of the fact ni kuwa jamaa walitutangulia .
Muwe mnasoma hata historia basi,hispania kwani si ipo ulaya,mbona ilitawaliwa na na nchi kutoka africa,

Kwani wana wa israel si walikua utumwan misri,na misri si walikua weusi tiii.....au wewe unasoma ya kina kinjekitile
 
emoji16.png
 
Wakati Mungu anagawa viwapa kwa wanadamu, waafrica tulikuwa tumeenda kwenye kachoma yaani pombe ya kienyeji - tuliporudi tukakuta Mungu kamaliza mgawo ilawa imebakia ngoma tu iliyokuwa inapigia la mgambo - ikabidi tupewe hiyo hiyo kwa adhabu yetu ya kuchelewa !!

Sifa ya ngozi nyeusi ni Ubinafsi, kufanya kazi bila maarifa, uvivu, kuridhika mapema, kupenda starehe, kuoneana wivu !!
 
Sifa ya ngozi nyeusi ni Ubinafsi, kufanya kazi bila maarifa, uvivu, kuridhika mapema, kupenda starehe, kuoneana wivu !!
👏👏👏Watu hawataki ukweli wanabisha tu. Nimewatolea mfano tu hapo South Afrika angalia jinsi ilivyo sababu kuna ngozi nyeupe.

Angalia Nigeria japo inaongoza kiuchumi lakini ni kama jalala,hakuna usawa, ukabila, ubinafsi na chuki tu😁
 
Muwe mnasoma hata historia basi,hispania kwani si ipo ulaya,mbona ilitawaliwa na na nchi kutoka africa,

Kwani wana wa israel si walikua utumwan misri,na misri si walikua weusi tiii.....au wewe unasoma ya kina kinjekitile
Doh
 
Uwe unauliza maswali ya maana. Kuna maswali unauliza unadhihirisha uwezo wako mdogo wa kung'amua mambo.

Usinipangie cha kuuliza.

Swali unaweza kuliona si la maana kwa sababu wewe una uwezo mdogo wa kufikiri, au unapenda assumptions bila uhakiki.

Katika majadiliano ya watu wanaoelewa mjadala, definitions ni kitu cha awali kabisa.

Bila ya definitions, kuna watu watakubaliana kuhusu mambo wanayopingana na kupingana kuhusu mambo wanayokubaliana, bila kujua.

Hapo kwenye list ya wazungu kawekwa Albert Einstein.

Albert Einstein ni Myahudi. Wayahudi walibaguliwa na Wajerumani kwamba si Wazungu.

Wakauawa mamilioni katika Holocaust ya Nazi.

Huyo Albert Einstein kakimbia Ujerumani akaenda kuishi Princeton, New Jersey, Marekani.

Kwa sababu alionekana si mzungu kwa Wajerumani.Wa Nazi to be specific.

Ndiyo maana nikauliza.

Mzungu ni nani na unahakikishaje ni mzungu?

Maana wengine wanaweza kumuhesabu Einstein Mzungu.

Wengine wakasema huyo si mzungu, ni Myahudi.

Sasa kama huja define Mzungu ni nani na unahakikishaje huyo ni Mzungu, mjadala mzima unakosa maana.

Mmeweka Myahudi katika list ya wazungu.

Mwingine ataweka Muhindi, mwingine ataweka MMorocco.

Kuna Bibi yangu mmoja nilimtembelea na rafiki zangu Wamarekani weusi, akasema hawa ni Wazungu, mwingine atamuweka Obama Mjaluo katika Wazungu.

Hamja define Mzungu ni nani, mnajadili kitu ambacho hakieleweki ni kipi.
 
Usinipangie cha kuuliza
Hujapangiwa cha kuuliza,bali uliza vya maana. Maana yake unapo uliza upuuzi maana yale ni kosa utake kujibiwa.

Kwahiyo tumia akili kuuliza vya maana na vyenye tija.

Ukirudia tena kuuliza upuuzi nitakukanya kwa njia nyingine kali zaidi kuzidi hii ya wewe kudai unapangiwa cha kuuliza.
Swali unaweza kuliona si la maana kwa sababu wewe una uwezo mdogo wa kufikiri, au unapenda assumptions bila uhakiki.
Hapa nimecheka kidogo. Huwezi ukawa muhakiki kisha ukauliza swali kama ulilo uliza wewe.

Hapa nakupa kazi uonyeshe kuwa na maana kwa swali ulilo uliza kisha uonyeshe uwezo wangu mdogo wa kufikiri. Ukishindwa kazi hiyo naifanya kwako,na kwangu ni nyepesi sana.

Naendelea ....
 
Hujapangiwa cha kuuliza,bali uliza vya maana. Maana yake unapo uliza upuuzi maana yale ni kosa utake kujibiwa.

Kwahiyo tumia akili kuuliza vya maana na vyenye tija.

Ukirudia tena kuuliza upuuzi nitakukanya kwa njia nyingine kali zaidi kuzidi hii ya wewe kudai unapangiwa cha kuuliza.

Hapa nimecheka kidogo. Huwezi ukawa muhakiki kisha ukauliza swali kama ulilo uliza wewe.

Hapa nakupa kazi uonyeshe kuwa na maana kwa swali ulilo uliza kisha uonyeshe uwezo wangu mdogo wa kufikiri. Ukishindwa kazi hiyo naifanya kwako,na kwangu ni nyepesi sana.

Naendelea ....
Nimekupa mfano hai.

Kwenye list ya wazungu kawekwa Albert Einstein.

Einstein ni Myahudi. Hili ulilijua kabla ya huu mjadala?

Myahudi ni mzungu au si mzungu? Kwa sababu gani? Mbona Wazungu wa Ujerumani waliwabagua Wayahudi na kuwaua kwa kuwa Wayahudi si Wazungu?

Hujajibu swali.

Bila ku define Mzungu ni nani na unahakikishaje huyo ni Mzungu, hata Mjaluo Obama mnaweza kumuhesabu Mzungu.
 
Hawa ni moja ya watu waliotumia akili na maarifa kugundua vitu:

1. Isaack Newton
2. Albert Einstein
3. Stive Jobs
4. Eric Yuan
5. Sergey Brin na Larry Page

Hawa ni moja ya waafrika (black) waliovunja rekodi za dunia kwa vipaji vyao.

1. Edison Arantes do Nascimento[Pele] kwenye (mchawi wa soka)
2. Michael Jackson (mfalme wa pop) (music)
3. Michael Jordan (kikapu)
4. Muhammed Ali (ngumi)
5.......

Kwenye suala la vipaji kuvunja rekodi basi Waafrika tuna vipaji vya kuzaliwa na nguvu sana.

Ulishawahi kufanya uchunguzi kwenye vitu hivi?
tunafail tu kwenye uongozi, tukishachaguliwa wengine wote tunawaona wajinga
 
Usinipangie cha kuuliza
Hujapangiwa cha kuuliza,bali uliza vya maana. Maana yake unapo uliza upuuzi maana yale ni kosa utake kujibiwa.

Kwahiyo tumia akili kuuliza vya maana na vyenye tija.

Ukirudia tena kuuliza upuuzi nitakukanya kwa njia nyingine kali zaidi kuzidi hii ya wewe kudai unapangiwa cha kuuliza.
Swali unaweza kuliona si la maana kwa sababu wewe una uwezo mdogo wa kufikiri, au unapenda assumptions bila uhakiki.
Hapa nimecheka kidogo. Huwezi ukawa muhakiki kisha ukauliza swali kama ulilo uliza wewe.

Hapa nakupa kazi uonyeshe kuwa na maana kwa swali ulilo uliza kisha uonyeshe uwezo wangu mdogo wa kufikiri. Ukishindwa kazi hiyo naifanya kwako,na kwangu ni nyepesi sana.

Naendelea ....
Katika majadiliano ya watu wanaoelewa mjadala, definitions ni kitu cha awali kabisa
Kadhalika taarifu ina mipaka yake na ina namna ya uulizaji. Lakini mara nyingine taarifu huegemea zaidi kwa yule anae toa hiyo maana.

Maana yake wajibu huo unakuwa wa pande mbili. Rejea kitabu kiitwacho "Juhd al Kariha fii tajrid an Nasiha" cha Imaam Suyuti ikiwa ni ufupisho wa kitabu "Nasihat ahlul imaan fii raddi al Mantiq al Yunaan" cha Ibn Taymiyyah.
Bila ya definitions, kuna watu watakubaliana kuhusu mambo wanayopingana na kupingana kuhusu mambo wanayokubaliana, bila kujua.
Hii siyo lazima,sababu mambo mengi sana yanaelezeka pasi na "definitions" yaani kuna mambo hayahitaji "Definitions" ili kuyajengea hoja au kujibu hoja,mathalani maji,jua,kifo na mfano wa haya.
Hapo kwenye list ya wazungu kawekwa Albert Einstein.

Albert Einstein ni Myahudi. Wayahudi walibaguliwa na Wajerumani kwamba si Wazungu.

Wakauawa mamilioni katika Holocaust ya Nazi.
Sasa kubaguliwa kwao na Wajeruamani kuliwafanya wao wasiwe Wayhudi. Hapa kunadhihirisha ujinga wa watu hao,sababu Uyahudi ni Dini na si nasaba wala uzao. Ndiyo maana unaweza kumkuta mtu mweusi Myahudi, au Muhindi Myahudi. Kwahiy Wajerumani hawawezi kuwa hoja sababu waisimamia katika Uongo.
Huyo Albert Einstein kakimbia Ujerumani akaenda kuishi Princeton, New Jersey, Marekani.

Kwa sababu alionekana si mzungu kwa Wajerumani.Wa Nazi to be specific.

Ndiyo maana nikauliza.

Mzungu ni nani na unahakikishaje ni mzungu?

Maana wengine wanaweza kumuhesabu Einstein Mzungu.
Sasa hapa unaonyesha kutokuwa makiji kwako. Ulipaswa kwanza ujue Myahudi ni nani kisha uje kwa mzungu. Ndiyo maana nikasema kuna mambo huwa hayahitaji "definitions" kwa sababu nyingi,kwanza kwa kujulikana kwake mfano leo hii labda uwe wewe ya kuwa hujui kama Uyahudi ni Dini,ila tulio wengi hatuhitaji tena kuambiwa maana ya Uyahudi,sababbu tunajua Uyahudi ni dini. Mfano huu ni sawa tunapo jadili maji,ukauliza swali hivi maji ni nini ?
Mmeweka Myahudi katika list ya wazungu.

Mwingine ataweka Muhindi, mwingine ataweka MMorocco.

Kuna Bibi yangu mmoja nilimtembelea na rafiki zangu Wamarekani weusi, akasema hawa ni Wazungu, mwingine atamuweka Obama Mjaluo katika Wazungu.

Hamja define Mzungu ni nani, mnajadili kitu ambacho hakieleweki ni kipi.
Uyahidi ni dini,unalijua hilo ?

Uhindi ni nasaba fulani,ambayo inajulikana kwa watu. Ndiyo maana hujaona amewekwa Muhindi. Sasa sijui una hakiki vipi mambo,au kuna Muhindi aliye wekwa hapo mpaka muda huu ? Sasa usiwe unatumia dhana katika uhalisia.
Hamja define Mzungu ni nani, mnajadili kitu ambacho hakieleweki ni kipi.
Kwetu hiki kinaeleweka wazi.
 
Nimekupa mfano hai.

Kwenye list ya wazungu kawekwa Albert Einstein.

Einstein ni Myahudi. Hili ulilijua kabla ya huu mjadala?

Myahudi ni mzungu au si mzungu? Kwa sababu gani? Mbona Wazungu wa Ujerumani waliwabagua Wayahudi na kuwaua kwa kuwa Wayahudi si Wazungu?

Hujajibu swali.

Bila ku define Mzungu ni nani na unahakikishaje huyo ni Mzungu, hata Mjaluo Obama mnaweza kumuhesabu Mzungu.
Hakuna race inayoitwa "Yahudi" kama uzao bali ni dini,ambayo hata wewe unaweza kuwa Myahudi.
 
Hujapangiwa cha kuuliza,bali uliza vya maana. Maana yake unapo uliza upuuzi maana yale ni kosa utake kujibiwa.

Kwahiyo tumia akili kuuliza vya maana na vyenye tija.

Ukirudia tena kuuliza upuuzi nitakukanya kwa njia nyingine kali zaidi kuzidi hii ya wewe kudai unapangiwa cha kuuliza.

Hapa nimecheka kidogo. Huwezi ukawa muhakiki kisha ukauliza swali kama ulilo uliza wewe.

Hapa nakupa kazi uonyeshe kuwa na maana kwa swali ulilo uliza kisha uonyeshe uwezo wangu mdogo wa kufikiri. Ukishindwa kazi hiyo naifanya kwako,na kwangu ni nyepesi sana.

Naendelea ....

Kadhalika taarifu ina mipaka yake na ina namna ya uulizaji. Lakini mara nyingine taarifu huegemea zaidi kwa yule anae toa hiyo maana.

Maana yake wajibu huo unakuwa wa pande mbili. Rejea kitabu kiitwacho "Juhd al Kariha fii tajrid an Nasiha" cha Imaam Suyuti ikiwa ni ufupisho wa kitabu "Nasihat ahlul imaan fii raddi al Mantiq al Yunaan" cha Ibn Taymiyyah.

Hii siyo lazima,sababu mambo mengi sana yanaelezeka pasi na "definitions" yaani kuna mambo hayahitaji "Definitions" ili kuyajengea hoja au kujibu hoja,mathalani maji,jua,kifo na mfano wa haya.

Sasa kubaguliwa kwao na Wajeruamani kuliwafanya wao wasiwe Wayhudi. Hapa kunadhihirisha ujinga wa watu hao,sababu Uyahudi ni Dini na si nasaba wala uzao. Ndiyo maana unaweza kumkuta mtu mweusi Myahudi, au Muhindi Myahudi. Kwahiy Wajerumani hawawezi kuwa hoja sababu waisimamia katika Uongo.

Sasa hapa unaonyesha kutokuwa makiji kwako. Ulipaswa kwanza ujue Myahudi ni nani kisha uje kwa mzungu. Ndiyo maana nikasema kuna mambo huwa hayahitaji "definitions" kwa sababu nyingi,kwanza kwa kujulikana kwake mfano leo hii labda uwe wewe ya kuwa hujui kama Uyahudi ni Dini,ila tulio wengi hatuhitaji tena kuambiwa maana ya Uyahudi,sababbu tunajua Uyahudi ni dini. Mfano huu ni sawa tunapo jadili maji,ukauliza swali hivi maji ni nini ?

Uyahidi ni dini,unalijua hilo ?

Uhindi ni nasaba fulani,ambayo inajulikana kwa watu. Ndiyo maana hujaona amewekwa Muhindi. Sasa sijui una hakiki vipi mambo,au kuna Muhindi aliye wekwa hapo mpaka muda huu ? Sasa usiwe unatumia dhana katika uhalisia.

Kwetu hiki kinaeleweka wazi.
Unasema inabidi nijue Myahudi ni nani, halafu ndiyo nije kwa Mzungu.

Na ndiyo maana mambo mengine hayahitaji definition.

Sasa nitajuaje Myahudi ni nani bila definition?

Ukipewa mtu, huyu hapa, tambie ni Mzungu au si Mzungu, utajuaje kama ni Mzungu au si Mzungu?

Utatumia kipimo gani?

Utahakikisha vipi ni Mzungu au si Mzungu?

Kwenye list kawekwa Steve Jobs.

Steve Jobs asili yake Syria. Baba yake Steve Jobs ni Abdulfattah "John" Jandali mtu wa Syria.

Syria ni nchi ya wazungu?

Steve Jobs ni Mzungu? Kwa kigezo gani?
 
Kaka, kwa kiingereza huitwa, psychological torture. Namaanisha Vita tulipigana zamani sana walituteka na kutuaminisha sisi ni inferior, ungejua historia halisi ya Mwafrika nadhani ungeona umekosea sana hii post.

Waliobuni maandishi, madawa kusoma ni sisi ila kuna uzi tumefumbwa kuhusu sisi hasa ni nani kwa historia zilizofichwa gizani.
tukipata watu 100 kama wewe tutakuwa mbali sana
 
Hakuna race inayoitwa "Yahudi" kama uzao bali ni dini,ambayo hata wewe unaweza kuwa Myahudi.
Hata mimi naweza kuwa Myahudi kwa dini, bali pia kuna Ashkenazi Jews wanapimwa kwa DNA kujulikana kama ni Ashkenazi Jews, kitu ambacho mimi Msukuma siwezi kuwa nacho, unajua hilo?

Pia, tukitoka kwa Jews, Steve Jobs kawekwa kwenye list.

Steve Jobs baba yake mtu wa Syria, anaitwa Abdulfattah 'John' al-Jandali (Arabic: عبد الفتاح الجندلي‎), huyu baba yake Steve Jobs amekulia Homs Syria na kazaliwa katika familia ya Waarabu Waislamu wa Syria.

Steve Jobs ni Mzungu?

Unamjuaje huyu Mzungu au huyu si Mzungu?

Maana tusije kumuangalia Steve Jobs tukamuona mweupe tukasema Mzungu, kumbe ni Muarabu wa Syria.

Hapo ndipo umuhimu wa definition ya Mzungu ni nani unakuja.

Mzungu ni nani? Ukimuona mtu mweupe kama Steve Jobs unahakikishaje ni Mzungu na si Muarabu wa Syria au Morocco aliye mweupe?
 
Hawa ni moja ya watu waliotumia akili na maarifa kugundua vitu:

1. Isaack Newton
2. Albert Einstein
3. Stive Jobs
4. Eric Yuan
5. Sergey Brin na Larry Page

Hawa ni moja ya waafrika (black) waliovunja rekodi za dunia kwa vipaji vyao.

1. Edison Arantes do Nascimento[Pele] kwenye (mchawi wa soka)
2. Michael Jackson (mfalme wa pop) (music)
3. Michael Jordan (kikapu)
4. Muhammed Ali (ngumi)
5.......

Kwenye suala la vipaji kuvunja rekodi basi Waafrika tuna vipaji vya kuzaliwa na nguvu sana.

Ulishawahi kufanya uchunguzi kwenye vitu hivi?
Hapana.
Hivyo vyote ulivyovitaja binadamu wote wamejaliwa katika kiwango ambacho kinaweza kuwa ni sawa kabisa na pasipo kujali race yao. Tofauti kubwa na ya pekee kabisa kati yetu na wazungu ni kwamba wazungu tayari walishajenga discipline ya maisha kipindi kirefu nyuma wakati sisi ndiyo bado tunatafuta kujenga discipline kwa maana kuwa hata kule kuanza tu kuijenga discipline bado hatujaanza isipokuwa ndiyo tunatafuta kuijenga
Hao wote uliowataja hapo waliishi na kufanya kazi kwenye mazingira ya jamii ambayo ilikuwa tayari imeshajenga disciplie. Kipindi kirefu nyuma kabla ya hapo, nao pia waliishi na kufanya kazi na kufikiri kama tunavyoishi sisi muda huu
 
Hapana.
Hivyo vyote ulivyovitaja binadamu wote wamejaliwa katika kiwango ambacho kinaweza kuwa ni sawa kabisa na pasipo kujali race yao. Tofauti kubwa na ya pekee kabisa kati yetu na wazungu ni kwamba wazungu tayari walishajenga discipline ya maisha kipindi kirefu nyuma wakati sisi ndiyo bado tunatafuta kujenga discipline kwa maana kuwa hata kule kuanza tu kuijenga discipline bado hatujaanza isipokuwa ndiyo tunatafuta kuijenga
Inawezekana kweli
 
Back
Top Bottom