Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Inashangaza mtu mweus kudharau maarifa anayopewa kuhusiana na historia yake badala ya kuyapokea yy anaanza matusi na kejeri, watu kama hawa ndio waliwauza wazee wetu kwa kujiokoa wao, ama waliwasariti ndugu zao weusi sabbu ya tamaa, ukiona mtu anakupinga sana kuhusiana na ukwel wa afrika ya kale bas jua uy mtu si muafrika Original mybe katokea uzao wa wazungu, ama kashikiliwa akili na utumwa wa fikra kupitia dini,elimu uchwara, utandawazi na kiroho pia kafungwa,,,ukwel mchungu , haiwezekan na haitokuja kuwezekana kuitaja Sayans,technology yoyote ile bila kuhusisha afrika ya kale,, unapolisema hili watu wanajua Afrika ilkuwepo misri tu ama kemet, kumbe kulkuwa zaid ya hapo, palkuwepo na kushi empire from ethiopia, nubi empire from sudan, central empire ama the early real israel, na empire zingine za south afrika, kwaiyo tecnolojia zote kongwe zilianzia huku kama vile sayanz ya anga na unajimu,, maana kwamba waliogundua sayar 9 ni waafrika kipind icho mzungu hata kuva pampasi hajui,,sayans ya tiba upasuji,sayansi ya anga yaan usafir wa anga,,ndwge zilikuwako tangu kale, sayansi ya uhandisi wa majengo makubwa,,umeme mkubwa ambao kwa karne za leo haupo na hautowai kuwako,,ugunduz wa karenda,mahesabu yote unayoyajua chanzo chake ni uku afrika,,kwaiyo awo mabwana zenu wakolon baada ya kuwatalawa wakaanza kujimilikisha mambo yetu na kuwapa vibaraka wao waliosoma elimu yetu na kuwaita wagunduz....ni mchawi tuu atakae puuza mambo ya afrika kama nae muafrika,,,wapo wazungu wanakili kukubali kuwa walihujumu afrika lakn chaajabu baaz ya miafrika bado mibishii,,ukifuatilia ndyo hiyo hiyo inayokesha kuibariki israel ya leo yaan fake jews, kisa wamekalilishwa na wachungaj[emoji849][emoji849][emoji849]