Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

Waafrica tuna akili kuliko wazungu huo ndo ukweli.sema wazungu wanatumia Hira kibao kutumaliza ,na kutuoandikizia vitu ambavyo vinaharibu nature ya ubongo wetu,kwa kiasi kikubwa wazungu wanatuogopa waafrica kwa ,kwa ukali wa akili zetu,vipaji,na mali tulizonazo.they fear one day we shall make them to be slaves of ours.huo ndio ukweli.kila siku wanawaza namna ya kutuharibu.
Akili tuliyonayo tumevumbua nini kaka? Au tuna akili za mdomoni tu
 
Unataka niwataje wakati umepewa au uvivu wa kusoma? Nimekupa chanzo kama ushahidi kama kweli unataka kujiendeleza na kufanya utafiti tunduizi na jadidi kwa faida yako na wenye mawazo kama yako ya kujidhalilisha na kuwadhalilisha waafrika tokana na kutojua.
Nipe link basi nikasome mwenyewe
 
Ipo article kwamba wazungu ni uzao wa binadamu na shetani uzao wa majitu yaani wanefliki baada ya gharika malaika walipowaingilia wanawake waliokuwa wakioga mtoni wakazaliwa majitu thus Wana akili na maarifa.
 
Ipo article kwamba wazungu ni uzao wa binadamu na shetani uzao wa majitu yaani wanefliki baada ya gharika malaika walipowaingilia wanawake waliokuwa wakioga mtoni wakazaliwa majitu thus Wana akili na maarifa.
Unamaanisha nephilims Genesis 6: 1-6 or wanefilo?
 
Hoja yako haina tofauti sana kimantiki na kauli wanayoitumia watu wa gender equality , 'Mwanamke akiwezeshwa ,anaweza' in a nutshell kauli hii ni alama ya ushujaa kwa mwanamke , lakini kiundani zaidi , ni kauli inayojieleza kuwa ili mwanamke aweze kumbe , inabidi mwanaume awajibike kumuwezesha kwanza, ni kauli ambayo inamtanabaisha bila kificho kuwa mwanaume ndo shujaa wa kwanza kabla ya mwanamke.

Kwamba wazungu wamefanikiwa kupiga bomu kwenye mind na self identity ya mwafrika , kwan nini sisi hatukuwa wa kwanza kufanya hivyo kwao ili tuwatawale na kuwafanya watumwa wetu?, , ili nao wajione sio kitu kuliko sisi?
Huoni kuwa hoja yako inazidi kumfanya mzungu kuwa alikuwa smart kabla yetu?
Well ,I like your thinking
 
Hili liko wazi,
Ndio maana wazungu huwa wako macho sana na kuwa wakali (ikibidi kuua) mwafrika yoyote mwenye mawazo ya kimapinduzi. Mf. Martin Luther king jr. Malcom X, Bob Marley, Muhmur Gaddafi, Magu? na wengineo.
Mkuu uko serious kweli? Jiwe naye ni mtu mwenye akili kweli[emoji848]
 
Mkuu uko serious kweli? Jiwe naye ni mtu mwenye akili kweli[emoji848]
Hayo ni maoni yangu sio lazima tufanane kimtizamo.
Btw, kila mtu anayeishi ana mazuri yake na mabaya pia. Kumtathimini mtu inategemea uko upande upi wa anachokifanya.
 
Shida hapo ni nani sasa? Najua utasema ni system,kama ni system inaongoza na nani? Kwanini huko uzunguni hakuna changamoto za kiboya kama hizi?
Shida ni system ambayo imesababishwa na katiba mbovu
Hatupati watu mahiri wa kuongoza wizara za elimu na kila anayeongiza anajaribu kuendana na mdundo wa aliyemteua
Dunia ya sasa ni fursa za technology , elimu yetu bado inakumbatia idea ya kusoma ili uajiriwe , no wonder wametamgaza nafasi za kazi 9000 , waombaii ni zaidi ya wasomi 120,000
 
Back
Top Bottom