Wazungu wana IQ ndogo sana

Wazungu wana IQ ndogo sana

Hao jamaa wana IQ ndogo na bado tunatumia vitu vyao hata kuwasiliana...shabash...computer na simu tunazotumia kupost mada humu za watu wa IQ ndogo
Computer is a work of all races alisikika mrusi mmoja.
Kwenye kampuni zinazounda hivyo vitu research zinafanywa na watu wa mataifa tofauti walioajiliwa pale.
Mfano mwingine ni kwamba Manhatan project ilihusisha races tofauti waliounda team.
Teknolojia nyingi ni ushirika wa dunia, bila ushirikiano na kutumia watu wenye akili wa mataifa tofauti teknolojia za ulaya zisingefika hapo.
Mfano mwingine, space technology nguli wa hio teknolijia ni mchina ambae alifanya jazi NASA baadae akarudi jwa china na kuisaidia China kuweza kuinua hio teknolojia.
Wewe jana unaamini kika teknolojia wameikuza wazungu peke yao basi ni wewe kama wewe oka ikweli haupo hivyo, jitahidi kusoma ili ujue.
Mwanayansi mmoja anaitwa Michio kaku aliwahi sema" the weapon of USA is brain drain and scholarship"
Alisema siku Amerika ikiacha brain drain ndio utakuwa mwisho wake.
Nchi nyingi za ulaya mbinu yao ni kutoa scholarship kwa third world countries ili wavune akili zao, vile vile wanatoa ursia kwa watu potential.
Kama wana akili sana kwa nini watumie watu wa ulimwengu wa tatu?
 
Wasalaam wana JF

Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.

Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.

Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao

Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
Watu wangekuwa wanafikiri hovyo hivi basi wastani wa IQ duniani na hasa Africa ungekuwa mdogo sana.
 
Unaambiwa maisha ni mchezo! Hawa watu wana akili sana ndio maana wamekudanganya mwafrika na dini zao na ukakubali bila kuhoji. Angalia Archimedes alivyotoka speed tena uchi na kusema "eureka" yaani nimevumbua. Meli zimeundwa na zinaelea kwa uvumbuzi wake. IQ ya wazungu ipo juu sana!!!
 
Wasalaam wana JF

Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.

Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.

Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao

Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
kabla ya yote kabla hatujaendelea jua yafuatayo Warusi,Waukraine na Wamerekani sio wanzungu haya sasa tuendelee na mada
 
Computer is a work of all races alisikika mrusi mmoja.
Kwenye kampuni zinazounda hivyo vitu research zinafanywa na watu wa mataifa tofauti walioajiliwa pale.
Mfano mwingine ni kwamba Manhatan project ilihusisha races tofauti waliounda team.
Teknolojia nyingi ni ushirika wa dunia, bila ushirikiano na kutumia watu wenye akili wa mataifa tofauti teknolojia za ulaya zisingefika hapo.
Mfano mwingine, space technology nguli wa hio teknolijia ni mchina ambae alifanya jazi NASA baadae akarudi jwa china na kuisaidia China kuweza kuinua hio teknolojia.
Wewe jana unaamini kika teknolojia wameikuza wazungu peke yao basi ni wewe kama wewe oka ikweli haupo hivyo, jitahidi kusoma ili ujue.
Mwanayansi mmoja anaitwa Michio kaku aliwahi sema" the weapon of USA is brain drain and scholarship"
Alisema siku Amerika ikiacha brain drain ndio utakuwa mwisho wake.
Nchi nyingi za ulaya mbinu yao ni kutoa scholarship kwa third world countries ili wavune akili zao, vile vile wanatoa ursia kwa watu potential.
Kama wana akili sana kwa nini watumie watu wa ulimwengu wa tatu?
umeongea point.Hata Marekani watu hawajui siri yake wengi wao au tuseme wenyeji wa pale ni Red Indians hawa wengine wote ni watu wa kuja.Obama Mkenya,Trump mjerumani,Bush Ireland,Madeline Albraight aliyekufa juzi Czechoslovakia,Zuckeberg mwenye facebook Israel nk Marekani hawana uchoyo wa ku naturalise wageni kama mataifa mengine ndio maana anapata akili kubwa urusi hapa ndo wamebuma.
 
Aise, vipi wale wa mto Mara wasomi kutoa ripoti kuwa kinyesi cha mifugo kama ng'ombe kusababisha uchafuzi wa mto Mara ulio kaskazini magharibi mwa Tanzania na kusababisha samaki ndani ya mto huo kufa na kuleta mashaka ya usalama wa watu wanaotumia maji ya Mto huo kwa matumizi mbalimbali ya kila siku.

Mzungu akikupa hiyo research yake ya vita, itakuonesha mpaka result.

Can't disqualify even compare IQ ya mzungu na ya mbongo
Mleta uzi anaangalia mkate wake wa siku wakati Wazungu wamepiga mahesabu ya miaka hadi 20 ijayo.

Hapa mzungu anajua fika madhara ya dunia lkn lengo lake limetimia kuwa ameuharibu uchumi wa adui yake mkubwa...ameondoa tishio lililomkabili na kumtesa..


Hii sawa na nyoka ameingia ndani ya nyuma na ukwasha tairi la gari kumlewesha atoke umpige.

Ni kweli utateseka na moshi na itakubidi usubirie zaidi ya nusu siku moshi utoke ndani ndipo uingie lkn adui nyoka kafa...hata kutesa tena.

Russia ameumizwa vibaya...hatatamani kujiingiza vitani wazi wazi na kichwa kichwa kwani ameonja sumu.
 
Wasalaam wana JF

Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.

Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.

Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao

Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
Duuh kwa fact gan, ebu prove ulichokisema mzee babaaa
N.B maendeleo yote tuliyo nayo T&P kutoka kwao.
 
Tungekuwa Na akili kuwazidi ...hiyo vita Na Korona visingetuathiri..

Labda nikuulize...vita vya Rwanda Na mlipuko wa Ebola Africa uliathirije uchumi wa Ulaya?
 
Liberia, rwanda, somalia, sudan, afrika ya kati, cameroon, mali, nigeria, mozambique, congo,
Tuanze na hapa maana ni migogoro ya muda mrefu bado imetushinda. Usije sema wazungu ndio wanaichochea maana itakuwa ina maanisha kuwa wametushinda akili kiasi kwamba wanatumanipulate na hatuna la kufanya.
Umemaliza
 
Wasalaam wana JF

Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.

Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.

Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao

Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
Tano hazikutoshi nafikiri kula kumi kabisa kabla hata sijasoma hongera sana
 
Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.


Leo Tolstoy : Keep an Open Mind

Count Lev Nikolayevich Tolstoy, usually referred to in English as Leo Tolstoy, was a Russian writer who is regarded as one of the greatest authors of all time. He received nominations for the Nobel Prize in Literature every year from 1902 to 1906 and for the Nobel Peace Prize in 1901, 1902, and 1909.
https://projects.iq.harvard.edu › war...
WAR AND PEACE by Leo Tolstoy | READING THROUGH A PANDEMIC


“I read Leo Tolstoy's War and Peace for my freshman seminar during the fall semester. The book was really meaningful to me because of the conversations I got to ...
One area in which Tolstoy excelled was the ability and willingness to change his mind based on new experiences. It was a skill he began nurturing in the 1850s when he was an army officer. Tolstoy fought in the bloody siege of Sebastopol during the Crimean War, a horrific experience that turned him from a regular soldier into a pacifist.


A decisive event took place in 1857, when he witnessed a public execution by guillotine in Paris. He never forgot the severed head thumping into the box below. It convinced him of the belief that the state and its laws were not only brutal, but served to protect the interests of the rich and powerful. He wrote to a friend, "The truth is that the State is a conspiracy designed not only to exploit, but above all to corrupt its citizens...Henceforth, I shall never serve any government anywhere." Tolstoy was on his way to becoming an anarchist.

His criticisms of the tsarist regime in Russia became so vociferous that only his literary fame saved him from imprisonment. Tolstoy would be the first to encourage us to question the fundamental beliefs and dogmas we have been brought up with.

1649289412556.png

Photo : Leo Tolstoy

1649289701780.png
 
Hao jamaa wana IQ ndogo na bado tunatumia vitu vyao hata kuwasiliana...shabash...computer na simu tunazotumia kupost mada humu za watu wa IQ ndogo

Mleta mada nahisi amelewa, hawa jamaa kila kitu tunachotumia ni chao halafu analeta hoja dhaifu kuwa eti ni vilaza.
 
Back
Top Bottom