MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #81
Tuko imaraNgozi nyeusi kwenye ubora wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko imaraNgozi nyeusi kwenye ubora wake
Za kale.Mpaka leo zinatengenezwa ujiji kwa kutumia mbao.Unasema meli zipi hizo? Kama tulikuwa tunatengeneza sasa tumekwama wapi?
Hizo vita huwa zinadizainiwa na masterminders wa dunia ma illuminati., Hizo mambo huratibiwa kuzimu, mashetani wanakunywa damu na kuchukua roho za watu. These things are spiritual rather than physical!Wasalaam wana JF
Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.
Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.
Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao
Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
Uko kiimani zaidiHizo vita huwa zinadizainiwa na masterminders wa dunia ma illuminati., Hizo mambo huratibiwa kuzimu, mashetani wanakunywa damu na kuchukua roho za watu. These things are spiritual rather than physical!
YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
Haaahaaa we jamaa🙌🙌African Education System has surprising outcomes. The smartest students pass with 1st Class & get admission to medical & Engineering schools. The 2nd Class Students get MBAS and LLBs to manage the First Class students. The 3rd Class Students enter politics, and rule both 1st and 2nd Class students. The failures join the Army and control politicians who, if they are not happy with, they kick or kill them..... Best of all those who did not attend any school, become prophets & witch doctors, and everybody follows them. ROBERT MUGABE
Mkuu, nikuhakikishie kuwa kila jambo unaliliona katika ulimwengu huu wa damu na nyama lina asili ya ulimwengu wa roho. Kila jambo huanzia kule!!!! Liwe zuri, liwe baya yote huanzia ulimwengu wa rohoni, eidha nuruni (upande wa Mungu) ama gizani (upande wa ibilisi aitwaye shetani)Uko kiimani zaidi
Wenzako waliokoka wakachoka sasa hivi wanakunywa konyagiMkuu, nikuhakikishie kuwa kila jambo unaliliona katika ulimwengu huu wa damu na nyama lina asili ya ulimwengu wa roho. Kila jambo huanzia kule!!!! Liwe zuri, liwe baya yote huanzia ulimwengu wa rohoni, eidha nuruni (upande wa Mungu) ama gizani (upande wa ibilisi aitwaye shetani)
Bwana Yesu ni Mwokozi
Wenzangu ni kina nani mkuuWenzako waliokoka wakachoka sasa hivi wanakunywa konyagi
Akiina mzee wa upakoWenzangu ni kina nani mkuu
Jesus is Savior
Wewe mwenye Iq kubwa umeachieve nini mpaka sasa hivi ,au umecontribute to human development and well being mpaka sasa ?Ajabu sana wanaokuoa waovu, kwa maana ya vita, ubaguzi, wizi, utapeli, uongo, uuwaji, kufuru na kila aina ya ujuha ndio wanaonekana wana akili kubwa, hiyo kuunda vitu sio kama ni hoja kubwa, mengi waliounda ingefika wakati tu yangegunduliwa, kwani wao waliishi mikarne mingapi wakiwa bila kugundua hivyo vitu. sio ya muhimu kivile, kipimo ni simple life style ya mababu na sisi leo nani aliishi kwa amani na furaha.
Wewe mwenye Iq kubwa umeachieve nini mpaka sasa hivi ,au umecontribute nini to human development and well being mpaka sasa.Wasalaam wana JF
Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.
Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.
Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao.
Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
Contribution yangu ni kukuelewesha wewe kwamba wazungu wana akili ndogo kama hukubali ina maana hujielewi.Wewe mwenye Iq kubwa umeachieve nini mpaka sasa hivi ,au umecontribute to human development and well being mpaka sasa ?
Wengi tunatumia simu za mchina na mkorea kuwapondea, hatutumii za wazungu[emoji12][emoji12]tengezeni ata simu zenu basi waafrica sio unatumia simu zao kuwapondea huo ni ushoga
IdiotWengi tunatumia simu za mchina na mkorea kuwapondea, hatutumii za wazungu[emoji12][emoji12]
Wewe syo bure, wazungu wanasugua makalio yakoWewe mwenye Iq kubwa umeachieve nini mpaka sasa hivi ,au umecontribute nini to human development and well being mpaka sasa.
Nyie wapuuz mnaojengewa mpaka vyoo ,good for nothing bunch of people
hao watu achana nao aisee kubali kutawaliwa tu na itakuwa hivyo milele yote yaani ulichokiandika ni upumbavu mtupu maana hata nguo ulizovaa leo umezitoa kwa mzungu japo mchina ndio kakuuzia.Wasalaam wana JF
Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.
Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.
Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao.
Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
hajui hata alichokuwa anakiandika.Wazungu huwajui vizuri nadhani!
Kwa jicho la karibu unaweza kuona hivyo Ila Kwa mbali utaelewa ni Kwa nini wameli-handle tukio linaloendelea huko Ulaya mashariki Kwa namna ile
Get this into your stinking ugly pussyWewe syo bure, wazungu wanasugua makalio yako