Wazungu wanatumia tishu tu kujiswafi wakiwa maliwatoni; Sasa mbona wanaongoza kulambana?!!!!

Kwako uma na kijiko ndio ustaarabu au usafi? Rudi shule ujifunze ustaarabu ulianzia wapi duniani
 
pata elimu kidogo ili ujue faida ya kula kwa mkono tofauti na uma na kisu
 

Attachments

  • Screenshot_20241031-123722_Chrome.jpg
    86.4 KB · Views: 1
Hizo taaakwimu zako ukute aliyezifanya hachambi. Kama unabisha sema huyo siyo kondoo.
 
Sasa inakuhusu nini mkuu? Wewe ni mzungu? Usiangalie sana filamu chafu.
 
Hawatumii maji chooni , wanajipangusa na tishu. Mwaka 2015 wakati naelekea Cairo kwa Ndege ya Ethiopia airline tulipumzika Addis Ababa.
Nilivyoingia toilet pale uwanja wa Ndege ndani nikakuta hizo toilet paper. Maji hakuna!.
Lakini ukitoka chooni nje ya choo Kuna sinki la kunawia mikono na mtambo mdogo wa kukaushia mikono kwa sababu kwa miezi ile ya december kwa Ethiopia na Misri nadhani na majirani zao huwa ni msimu wa baridi Kali. Kwahiyo utamadunu wa kujisafisha sehemu za siri kwa kutumia maji baada ya kujisaidia huku kwetu umeletwa na waarabu waliopotea mafunzo ya dini ya kiislamu lakini wazungu na wafuasi wao hawana utamadunu wa kuosha sehemu za siri kwa kutumia maji baada ya kujisaidia.
 
Bidet iligunduliwa Ulaya karne ya 17
 
Ila hata wakijaga africa, wanajifuta futa tu, hata kwenye chakula hawana ustaarabu kama wa waafrica au watu wa pwani
Wazungu hutumia umma na visu katika kula tofauti na Waafrika wengi waliozoea kula mikono mitupu, pia hiyo wanayojifuta futa ni sanitizers ambayo ni muhimu kuliko kunawa mikono kwa maji tu bila sabuni.
 
Ndio waliogundua vile vibomba vya kushika badala ya kopo ukiwa chooni
Wazungu hata ukiangalia mpangilio wa miji Yao wale wako mbali sana nashangaa Faiza kuamini ye ni msafi kuliko hao miamba
Wamegundua Bidet pia,
 
Wakikojoa wanajifuta na tishu, lakini mbususu inalambwa mpaka basi.
Vinyeo vyao navyo hufutwa na tishu tu baada ya kujisaidia kubwa lakini vinalambwa mpaka basi.

WAPOJE HAWA KWANI?!!!!!!

Sijalala Leo natafakari hili tu.
Kwa nini hakuna kipindupindu Ulaya na Marekani kama ilivyo Africa na Asia??
 
Wakikojoa wanajifuta na tishu, lakini mbususu inalambwa mpaka basi.
Vinyeo vyao navyo hufutwa na tishu tu baada ya kujisaidia kubwa lakini vinalambwa mpaka basi.

WAPOJE HAWA KWANI?!!!!!!

Sijalala Leo natafakari hili tu.
Hahaaaa unakera ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…