Wazungu/West wako mbali sana, wamefikia hadi kwenye supu ya box/kopo!

Wazungu/West wako mbali sana, wamefikia hadi kwenye supu ya box/kopo!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
20241122_191830.jpg

20241122_191152.jpg

20241122_191228.jpg
 
Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
View attachment 3158974
View attachment 3158975
View attachment 3158976
Achana na hao, wajapan wanakifungashio cha noodles, unanunua noodles zilizoshapikwa, unavuta sehemu inatokea chemical reaction kwenye kifungashio noodles zinaanza kupata moto kama vile ndo zimepikwa.
 
Wapo mbali kwenye kula sumu na vyakula vya Makopo?

Mtazamo wako unashangaa kwakweli
Nani kakuambia vyakula vya kopo vina sumu?? Mbona huko wanakoishi kwa hivyo vyakula vya makopo ndio wana life expectancy kubwa zaidi? Kama ni sumu kwa nini wastani wao wa maisha ni mkubwa sana kutuzidi sisi??
 
Back
Top Bottom