Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakubaliDah raha ya supu ulikimbize jogoo mpaka utoe kajasho🤗
Mkuu hata sisi haswa Tanzania tungeamua kula vizuri ni rahisi tu hata zaidi kwa sababu tanzania kuna vyakula vya kutosha🤔🤔Kwenye suala la lishe wazungu wako mbali sana
Achana na hao, wajapan wanakifungashio cha noodles, unanunua noodles zilizoshapikwa, unavuta sehemu inatokea chemical reaction kwenye kifungashio noodles zinaanza kupata moto kama vile ndo zimepikwa.Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
View attachment 3158974
View attachment 3158975
View attachment 3158976
Hiyo supu ya kopo ndo mnaita lishe?Kwenye suala la lishe wazungu wako mbali sana
nadhan hiyo si muhimu sana,Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
View attachment 3158974
View attachment 3158975
View attachment 3158976
Wapo mbali kwenye kula sumu na vyakula vya Makopo?Kwenye suala la lishe wazungu wako mbali sana
Nani kakuambia vyakula vya kopo vina sumu?? Mbona huko wanakoishi kwa hivyo vyakula vya makopo ndio wana life expectancy kubwa zaidi? Kama ni sumu kwa nini wastani wao wa maisha ni mkubwa sana kutuzidi sisi??Wapo mbali kwenye kula sumu na vyakula vya Makopo?
Mtazamo wako unashangaa kwakweli
Sjui kwann ilikufa,wakat walikuwa wanajitahid kusambaza mpaka mikoani huko,mim nakumbuka nikiwa mdogo nilikula hvyo vitu nikiwa shinyanga meatuKwa nini biashara ya nyama za kopo ilikufa bongo?
Maharage ya kopo yangeokoa muda sana.
Amini wako mbali sana tena wanakula fresh foods ndio maana life span Yao ni kubwa hasa Japan na US na China piaWapo mbali kwenye kula sumu na vyakula vya Makopo?
Mtazamo wako unashangaa kwakweli
Vyakula vya Makopo vina sumu na huko wanakula maskini, vyakula vya asili wanakula wenye uwezo....Nani kakuambia vyakula vya kopo vina sumu?? Mbona huko wanakoishi kwa hivyo vyakula vya makopo ndio wana life expectancy kubwa zaidi? Kama ni sumu kwa nini wastani wao wa maisha ni mkubwa sana kutuzidi sisi??