Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
- Thread starter
- #41
Wamekudanganya, vyakula vyote huko vinauzwa supermarket. Junk foods vyakula vya mtaani ndio vinapigiwa kelele na vinaliwa karibia na kila mtu.Inategemeana mkuu kwa Amerika wananiambia ukitaka kula kitu fresh kama nyama ya ngombe au ya kuku unatakiwa uwe na pesa asilimia kubwa vya kula vingi ni vya supar market xa makopo lakini uhalisia unachokula sio