Wazungu/West wako mbali sana, wamefikia hadi kwenye supu ya box/kopo!

Wazungu/West wako mbali sana, wamefikia hadi kwenye supu ya box/kopo!

No preservatives??? Mhhh wanatumia mbinu gani isiharibike?
 
Azam, Mo, Asas na Jambo wanatajirika kila siku kwa kutuuzia juice, mikate, maandazi na maziwa ya viwandani.
Cha ajabu ni pale graduate anapobeba dell la barafu za ukwaju za mtu. Zamani dell la barafu walibeba drs 7.
Graduate kakosa akili ya kununua dell na kugandisha ukwaju !
Wamevishwa mikofia wanajiona wameajiriwa kumbe wanamuuzia ukwaju kwa cheap salary.
Graduate tengenezeni barafu zenu hamna cha maana kwenye barafu cha kukushinda kugandisha barafu
Vile vifungashio ni nailoni tu. Yaani waafrika hatuna akili hadi aibu. Muhindi akuuzishe barafu kweli !!!???
 
Cha ajabu ni pale graduate anapobeba dell la barafu za ukwaju za mtu. Zamani dell la barafu walibeba drs 7.
Graduate kakosa akili ya kununua dell na kugandisha ukwaju !
Wamevishwa mikofia wanajiona wameajiriwa kumbe wanamuuzia ukwaju kwa cheap salary.
Graduate tengenezeni barafu zenu hamna cha maana kwenye barafu cha kukushinda kugandisha barafu
Vile vifungashio ni nailoni tu. Yaani waafrika hatuna akili hadi aibu. Muhindi akuuzishe barafu kweli !!!???
Kwa nini wewe usitumie hiyo fursa kuwauzisha hizo barafu?
 
Kwa nini wewe usitumie hiyo fursa kuwauzisha hizo barafu?
Watetezi wa utumwa huwa hamkosekani hata mkiamshwa mnatamani muendelee kulala. Endeleeni kubeba madel.
Kwa hio unataka mimi niendeleze utumwa wa muhindi, BulCheka wewe.
 
Azam, Mo, Asas na Jambo wanatajirika kila siku kwa kutuuzia juice, mikate, maandazi na maziwa ya viwandani.
Ndiyo hapo sasa. Na taifa letu lina nguvu kazi kubwa ambayo haitumiki. Unakuta mpaka nazi watu wanadhani zile za paketi ndiyo nzuri na wanaachana na za kuta wenyewe.
 
Hakika, maana unaweza kula hayo manyama ya kopo baadaye unajikuta Mwanaume mzima unaota matiti

Wazungu wakiamua lao hawashindwi kitu
Mbona siku hizi wanawake wazima wengi wana vitambi, flat tummy za kutafuta na tochi, hilo sio tatizo??
 
Mbona siku hizi wanawake wazima wengi wana vitambi, flat tummy za kutafuta na tochi, hilo sio tatizo??
Hilo tatizo lipo sana kwenye jamii zetu

Nahisi ni hayo machipsi yai pamoja na ma-savannah wanayobugia Kila Siku
 
Back
Top Bottom