Wazungu/West wako mbali sana, wamefikia hadi kwenye supu ya box/kopo!

Wazungu/West wako mbali sana, wamefikia hadi kwenye supu ya box/kopo!

Chajabu sie ndo tunazeeka nakufa haraka acheni ujuaji
Wakifa haraka ni wa kwenu ndio muache ujuaji wa kuiga kila upuuzi kisa umetoka kwa mzungu.

Mimi babu na bibi yangu mzaa baba amekufa akiwa na miaka 100 na kitu (babu) na bibi akiwa na 90 huko. B8bi mzaa mama amefariki akiwa na 80 huko. Babu mzaa mama aliondoka mapema akiwa na 60s kwa magonjwa.

Baba na mama wameondoka kwa nyakati tofauti wakiwa zaidi ya miaka 84.

Kwahiyo kama ni kufa mapema ni huko huko kwenu.
 
Kula vyakula vyenye kemikali ndo kuwa mbali? Wazungu wanasumbuliwa mno na obesity.
Obesity haisababishwi na kemikali bali zaidi wanga uliochakatwa na sukari kupitiliza bila mazoezi au kazi ngumu ndio maana wala Chips mayai, chapati, vitumbua, sembe na soda wengi mjini wana obesity.
 
Hapo Rwanda na Burundi tu mbona wana ugali wa kopo supermarket ! Yaani unakutana na ugali wako wa bariiidi. Mamaeeee! 😂🤣
 
Mkuu, processed food hiyo. Zimejaa chemicals na preservatives. Ndiyo maana wazungu wanaugua sana cancers.
Unaweza ku-backup maoni yako na data? Ndiyo yale yale ya kusema wazungu hawana nguvu kwa sababu hawali ugali. Kwa taarifa yako cases za cancer Afrika ni nyingi sana ila kutokana na diagnosis kuwa hafifu au kutopatikana kabisa tunakuwa hatuna takwimu. Back to the topic. Processed foods kwa sehemu kama Bongo ambako tuna karibu kila kitu fresh kutoka shamba na manpower ya kuandaa kila mahali siyo jambo zuri.
 
We unajua leo ? Mboma 90's vilikuwepo madukani. Samaki wa kufungashwa ktk kopo waliuzwa madukani baadae vikapotea au mzazi alifulia na kuacha kununua, na nyie mnaona vipya. Muwe mnauliza kwanza wahenga.
Ila ladha yake huwezi kula kama hujavizoea. Waachie wazungu wewe nenda buchani au mgahawani upate sup fresh.
Kwa nini kila cha wazungu mnakiona cha maana wakati kuna wazungu wanatamani waje Africa.
Tanzania kuna vyakula kutoka shamba kwa wingi na watu wa kuvitayarisha ni wengi na gharama ni nafuu. Nadhani kwa sasa vyakula vya viwandani vitumike pale tu inapolazimu.
 
Tanzania kuna vyakula kutoka shamba kwa wingi na watu wa kuvitayarisha ni wengi na gharama ni nafuu. Nadhani kwa sasa vyakula vya viwandani vitumike pale tu inapolazimu.
Azam, Mo, Asas na Jambo wanatajirika kila siku kwa kutuuzia juice, mikate, maandazi na maziwa ya viwandani.
 
supu ya box ainogiiiii
20241009_101844.jpg
 
Wakifa haraka ni wa kwenu ndio muache ujuaji wa kuiga kila upuuzi kisa umetoka kwa mzungu.

Mimi babu na bibi yangu mzaa baba amekufa akiwa na miaka 100 na kitu (babu) na bibi akiwa na 90 huko. B8bi mzaa mama amefariki akiwa na 80 huko. Babu mzaa mama aliondoka mapema akiwa na 60s kwa magonjwa.

Baba na mama wameondoka kwa nyakati tofauti wakiwa zaidi ya miaka 84.

Kwahiyo kama ni kufa mapema ni huko huko kwenu.
Acha kutuletea mambo yakusadikika hapa angalia watu maarufu, kwanzia kwenye siasa, michezo, mziki ndo ujue wanakufa na age ipi au soma misalaba huko kwenu kwenye makaburi ndo ujue umri ambao wabongo hufa kwawingi
 
sio nyama ipi tu , na dawa gani , mara watu wanageuka mashoga
Hakika, maana unaweza kula hayo manyama ya kopo baadaye unajikuta Mwanaume mzima unaota matiti

Wazungu wakiamua lao hawashindwi kitu
 
Tanzania kuna vyakula kutoka shamba kwa wingi na watu wa kuvitayarisha ni wengi na gharama ni nafuu. Nadhani kwa sasa vyakula vya viwandani vitumike pale tu inapolazimu.
Ni mabaya mkuu. Nilionjaga zamani vibaya wala havina ladha kuwaiga hao wazu gu. Shida tunadhani kila wanachofanya wazungu ni kizuri. Kuna mambo ya hovyo mengi wala si ya kuiga. Mfano kula bloiler
 
Back
Top Bottom