Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Wachina,wajapan wanakula vyakula natural sana hayo ya kwenye makopo hawafagili labda wazunguAmini wako mbali sana tena wanakula fresh foods ndio maana life span Yao ni kubwa hasa Japan na US na China pia