Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaingia mjini leo huyo.msameheWe unajua leo ? Mboma 90's vilikuwepo madukani. Samaki wa kufungashwa ktk kopo waliuzwa madukani baadae vikapotea au mzazi alifulia na kuacha kununua, na nyie mnaona vipya. Muwe mnauliza kwanza wahenga.
Ila ladha yake huwezi kula kama hujavizoea. Waachie wazungu wewe nenda buchani au mgahawani upate sup fresh.
Kwa nini kila cha wazungu mnakiona cha maana wakati kuna wazungu wanatamani waje Africa.
Waulize ccmhospitali zenyewe za kupima cancer Africa ziko wapi??
Kwani wazungu wote wanaugua cancer?. sisi mbona tunakufa kwa kipindupindu? halafu sisi tunaokula vya asili mbona tunawahi kufa kuliko wao??Wote tuna utapiamlo?
Vipi kuhusu cancer, sisi na wao nani ameathirika zaidi?
Ukija kijijini takuchinjia jogooSanaa 😊 halafu awe wa kienyeji 🙌
😀😅 Sawaa, na muda wa kwenda migombani ushakaribia hivyoUkija kijijini takuchinjia jogoo
Kipindupindu sababu yake ni uchafu wala sio lishe mbovu.Kwani wazungu wote wanaugua cancer?. sisi mbona tunakufa kwa kipindupindu? halafu sisi tunaokula vya asili mbona tunawahi kufa kuliko wao??
Enhe kufa mapema??Kipindupindu sababu yake ni uchafu wala sio lishe mbovu.
Usikose tukatafune ndafu.😀😅 Sawaa, na muda wa kwenda migombani ushakaribia hivyo
Kufa mapema kuna sababu nyingi sio chakula tu, mfumo mzima wa maisha ya mtu kama kimawazo, kihisia na mazingira kwa ujumla.Enhe kufa mapema??
Vipi kuhusu usalama wako? Vipi kuhusu msongo wa mawazo au depression?Chakula na matibabu ndio jambo muhimu zaidi katika kuamua mustakabali wako wa muda wa kuishi hapa duniani.
Uongo!Wewe acha porojo zako, hata bongo kuna raia wengi sana wenye obesity kwa kushindia kula wali, sembe, soda, vitumbua na chips mayai.
Havina umuhimu kama lishe na matibabu.Vipi kuhusu usalama wako? Vipi kuhusu msongo wa mawazo au depression?
Kama ni magonjwa kila mahali yapo na hutegemea na mazingira, sisi tumebarikiwa vyakula vya asili na tiba za asili, wao waendelee kula mikate na coca.Havina umuhimu kama lishe na matibabu.
Usalama mbovu bila huduma nzuri za afya ni majanga zaidi. Hakuna ushahidi wa maana kwamba Msongo wa mawazo na depression vinachangia kiasi kikubw kupunguza umri wa kuishi wa binadamu.
Hayo mambo ya sisi au wale wamebarikiwa ni porojo tu, binadamu makini anayatengeneza mazingira yake kulingana na uhitaji wake na fursa zilizo mbele yake.Kama ni magonjwa kila mahali yapo na hutegemea na mazingira, sisi tumebarikiwa vyakula vya asili na tiba za asili, wao waendelee kula mikate na coca.
☝🏿Yani kula mavyakula ya kwenye kopo ndyo kuendelea?