Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ama kama ni ng'ombe unaenda buchani na kuwaambia wakukatie ya MbavuDah raha ya supu ulikimbize jogoo mpaka utoe kajasho🤗
Kisha unaenda kuitengeneza Kwa kuweka pilipili kichaa hata nne mwenyewe 🤗