WCB Wasafi wamebaki wakiwa..Tatizo ni nini?

WCB Wasafi wamebaki wakiwa..Tatizo ni nini?

Wewe unayesema interviews zote za Guru zipo online kama ulikuwa naye maisha yake yote, utaijua hoja ni ipi na kiroja ni kipi?

Utaanzia wapi kujua tofauti ya hoja na kiroja?


Hivi "hoja" na "kiroja" ndio tulichokua tunabishania?


Interviews zote zipo online.Sio interviews tu,ni movie cameos,studio sessions,entire released discography,live shows,etc.

Mengine hujui,pretender tu wewe!

Muongo mkubwa.

Hoja hujajibu,umebaki kuharisha harisha tu!
 
Hivi "hoja" na "kiroja" ndio tulichokua tunabishania?


Interviews zote zipo online.Sio interviews tu,ni movie cameos,studio sessions,entire released discography,live shows,etc.

Mengine hujui,pretender tu wewe!

Muongo mkubwa.

Hoja hujajibu,umebaki kuharisha harisha tu!
Unapoandika interviews zote zipo online, zilizofanyika ni ngapi, kuanzia mwaka gani na zilizopo online ni ngapi?

Tulinganishe zilizofanyika na zilizopo online tuone kama namba zinafanana.

Wewe hata jina la 50 Cent tu ulikuwa hujui kuliandika mpaka nilipokufundisha leo, shukurani yako ndiyo kuniambia sijui kitu?
 
S
Kwa wasiofatilia mambo wanaweza shangaa naposema WCB wamebaki wakiwa. Yes, sababu awajawai toka kwenye public na kukiri haya mambo nayoenda kuyasema hapa.


Ni wazi kama utafanya tafiti yako ya uongo na kweli utagundua media zote kubwa za bongo zimesusa kupiga nyimbo za WCB iwe Tv na Radio.

Mwanzoni WCB walikuwa na mgogoro na EATV lakini kwa sasa unazidi kuenea si Clouds media wala EFm kote awachezi nyimbo za Wcb.

Ata supporters wao wakubwa na wenye ushawishi kwenye mitandao especially tweeter na Instagram wamewapotezea.

Inawezekana yote haya yanatokea sababu watu wanaona kijicho na mafanikio ya Wasafi lakini pia haya yanaweza kutokea sababu mapungufu yaliyopo WCB.

Kwa sasa WCB ni kama ukoo kambale kila mtu ana ndevu.

Nimemskia juzi Tale anatamka hadharani kuwa awatanyenyekea media yoyote itayotaka kuwakwamisha akarudia hiyo kauli mara nne..ilo ni tatizo tayari, awajafika uko wanapodhani wamefika. Wanakuja na Tv yao lakini bado awajafika pale wanapodhani.

Mara nimesikia dansa wa Diamond kawatishia uhai watangazaji wa shilawadu mpaka kuwaumiza. Mpaka sasa uongozi wa wcb awajasema lolote kuonyesha kutounga mkono kitendo hicho.

Nimeona mpiga picha wao anamshambulia mkongwe wa muziki Ray C akimuita marehemu wa muziki.

Na mengine mengi, yote haya yanaonyesha kiburi cha mafanikio kimejaa pale WCB si viongozi mpaka wafagiaji wote nyota zinawaka mpaka wamejisahau wamevimba vichwa wameota mapembe.

Wamesahau msingi mkubwa wa mafanikio ya Diamond mpaka anafika hapo na kuifikisha hapo Wasafi ni UNYENYEKEVU.

Inawezekana kuna mambo wanakumbana nayo yanawalazimu kufikia hatua hii ila lazima waelewe biashara ya Entertainment ni biashara ya kibepari.

Naomba hii timu ijitafakari wakati wanauanza mwaka, kuna kitu hakipo sawa.

Mwl Nyerere alitunga kitabu kinaitwa Tujisahihishe, mkipata nafasi kitafuteni mkisome mtajifunza kitu kuhusu kujisahihisha... Kujisahihisha sio kujishusha.

Mtaenda Hyatt mtaenda Mwembeyanga but you still need media houses & media people.

Ni mtazamo tu, kiroho safi!
Shigongo alijaribu akashindwa juzi kareport tukio la Hyatt kauza magazeti kama hana akili kapiga kopi mara mbilimbili WCB ni kama maji tu utayasusia kisa yamesomba mazao yako shambani,wakati huo huo unayahitaji uyanywe na kusafishia mwili wako.....by the way Clouds wanapiga ngoma za wcb kama kawaida tu na wanamtangazia Diamond Karanga kila siku....Don talk myth speak the fact....japokuwa hii hoja yako ningependa ichukuliwe kama ushauri na sio going on act....!!
 
Mimi.wapige.wasipige.zitapigwa.hata bet.mtv
Base.trace na stv.music
 
Wewe unajuaje mtu hajafanya interview kuongelea kitu fulani?

Ulikuwa naye muda wote wa maisha yake yote?

Mimi nitapata nini kudanganya kafanya interview wakati hajafanya?

Hoja ni ipi hapo unavyoona wewe? Unawezaje kusema mtu hajafanya interview kama ulikuwa naye maishabyake yote ukasema hiyo ni hoja?
Weka hiyo link ya interview hapa tuione
 
Weka hiyo link ya interview hapa tuione
Soma thread, usikurupuke. Video sijaiona mwaka jana au juzi. Inawezekana kabisa haipo tena online.

Si kila video inayowekwa online inabaki milele.

Hizi videos ni ma files tu kwenye web servers na watu wengine wakiona habari ni ya zamani wanaziondoa.
 
Nyie mbona mnakua hamna Adabu na thread za watu yaan ndani ya thread ya mwenzenu mmeanzisha mada yenu isiyo na kichwa wala miguu nyambafuuuuu
 
Nyie mbona mnakua hamna Adabu na thread za watu yaan ndani ya thread ya mwenzenu mmeanzisha mada yenu isiyo na kichwa wala miguu nyambafuuuuu
Muulize huyo aliyeanza kuniita mimi muongo bila ushahidi wala sababu.

Akirudishiwa mikuki asione mkuki mtamu kwa nguruwe.

Wahenga walisema akuanzaye mmalize.

In the strets they say don't start nothing, there won't be nothing.
 
Muulize huyo aliyeanza kuniita mimi muongo bila ushahidi wala sababu.

Akirudishiwa mikuki asione mkuki mtamu kwa nguruwe.

Wahenga walisema akuanzaye mmalize.

In the strets they say don't start nothing, there won't be nothing.


Acha kulia kutafuta huruma!

Umesema uongo wa wazi kabisa,hivyo ni sawia kabisa kuitwa MUONGO.Onyesha huo ukweli basi sio unalialia!

Looser!
 
Miaka michache nyuma kuna siku nilikuwa namsikiliza Guru, rapper wa Gangstarr alikuwa anahojiwa.

Mtangazaji baada ya kumuhoji akamuuliza. Nimesikia una beef na Fifty Cent, tueleze kuhusu hiyo beef.

Guru akawa kama kashangaa, akasema beef gani? Mimi na Fifty tuko poa tu, hatuna beef. Namuheshimu sana Fifty, anafanya kazi nzuri etc.

Guru anavyokandya kwenye nyimbo zake nilikuwa nafikiri angemtukana Fifty.

Na angemtukana ingezia bonge la beef.

Lakini alijionesha kwamba yeye ni OG anayejua "Code of The Street".

Kwanza si kila beef lazima itangazwe na ikuzwe. Kuna vibeef vingine wadau wanakaa chini na kuvimaliza mtaani tu.

Pili hata kama wewe ni OG kiasi gani au matawi kivipi, inakubidi kujua kuishi na watu strategically ili usijiharibie kazi.

Tangu siku hiyo nikamuangalia Guru kuwa si OG tu, bali nibsavvy businesman pia.

Tatizo kibongobongo mtu akishafika level fulani anaona kashamaliza kila kitu.
R. I. P Guru this brotha made classics!
Jazzmattaz volumes being my favorite.
 
R. I. P Guru this brotha made classics!
Jazzmattaz volumes being my favorite.
Kuna mtu kaharibu mtiririko mzima wa thread kwa kusema nimedanganya hiyo video haipo, anazijua video zote za interviews zote za Guru.
 
Back
Top Bottom