Unapangia vipi watu mambo ya miili yao? Wapige marufuku na pombe na pombe kama kigezo ni kudhuru akili.Usidharau mkuu porn si nzuri hasa kisaikolojia ni ulevi mbaya sana unaowafanya watu wajifunze hata michezo michafu! Binafsi naona wapo sahihi kabisa.
Acha kufuru.Kama huna link ya porno nipe link ya kuniongoza kwenye toba
Hahahaha naona kaka Jambazi anaanza kukumaind vitu vidogo,kiufupi tusipangiane style ya maisha au sio?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Acha kiburi.
Sote tumetenda dhambi Tutubu na Kurejea Kwa Mungu... Nakukumbusha tu..
Amekufa Cleopatra, sembuse mama amina? Tubu dadaangu nakupenda, ila MUNGU ANAKUPENDA SANA.
Wewe Bata kafanye unavyotaka huo mwili wako usichoshe hadhira na mwili ni wako.Unapangia vipi watu mambo ya miili yao? Wapige marufuku na pombe na pombe kama kigezo ni kudhuru akili.
🙏🏾 Hakuna mkamilifu[emoji706]
Tubu kaka, unaharibu maelfu na maelfu ya watuwww.worldsex.com.....ipo PW nimetoka kucheki muvi za watoto wa kitaliano
Na wewe MTUMAINI MUNGU unadhambi tena? Ulimkosea nini AllahAcha kufuru.
Tubu, Mungu anataka turejee kwake, mimi na wewe sote wadhambi Tutubu na Kurejea Kwa.. tubu wacha kiburi ndugu yangu.
Wajikite kwenye kudhibiti ushoga sasa hapo ndio nitajua wako serious kiasi gani
Kila mtu ana Uhuru wake, haulazimishwi kufungua .wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.
Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.
Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu
Na nashauri mitandao yote inayotangaza biashara za umalaya, ukahaba na ushoga kama insta, telegram na pamoko ipigwe life ban na ifutwe yote haifai
Ibaki mitandao yenye maana kama twitter
PIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.
TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
Sote tumetenda dhambi Tutubu na Kurejea Kwa Mungu.Na wewe MTUMAINI MUNGU unadhambi tena? Ulimkosea nini Allah
Nyie vijana mliozaliwa baada ya Soko huria kuanza mna matatizo sana. Mkishindwa kujibu jambo, mnaishia kutukana.Wewe Bata kafanye unavyotaka huo mwili wako usichoshe hadhira na mwili ni wako.
Uliangalia pono au licheza?Sote tumetenda dhambi Tutubu na Kurejea Kwa Mungu.
Hayupo msafi mbele ya Mungu