Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Uli Uzi wa picha za warembo umepungukiwa vyanzo vya malighafi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nnai anazihitaji. Wacha zifungiwe hata hao wanaozionyesha wangefungwa tu ili kuondoa ugonjwa wa ulimbukeni na matusi
 
Sharia law🤣🤣...kumbe Taliban wapo hata huku kwetu.

In all seriousness,kwa akili za serikali wanaona wakiongeza bei za bando huku wamezuia sites hizi watu hawatalalamika sana ndio maana mabadiliko ya August 16 yamesitishwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…