Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Jambo la kupongeza sana. Uraibu wa porn sio mzuri kabisa na madhara yake ni makubwa kwa watu binafsi na taifa.

Hizo sites ambazo bado zipo hewani zitapigwa pini moja baada ya nyingine mpaka ziishe zote, ni suala la muda tu.
Huwezi block explicit content zote, na kama wakifanya hivyo basi mitandao ya kijamii nayo yote itafungwa.
 
Bora nitagegedwa sasa
Bure ama? Maana xxx natumia bundle la buku mbili tu nashusha mzigo wa gb 5, endapo matumizi yako hayazidi 2000 za kitanzania basi fresh ila kama unazidi basi jua ya kwamba kuna kitu kinaitwa twitter na kuna page ya emperor of booty.
 
Nasikia wapiga kunyeto wamekaa kikao cha dharura tangu asubuhi hadi muda huu na hawajafikia mwafaka.

Mwenyekiti wao amepanga kwenda kuweka zuio mahakamani
usipotoshe jamii mkuu..PUNYETO...punyeto.....haina ubia na pono movie kabisaaa......na ni ya kuheshimiwa sana.....tengua kauli please....
 
usipotoshe jamii mkuu..PUNYETO...punyeto.....haina ubia na pono movie kabisaaa......na ni ya kuheshimiwa sana.....tengua kauli please....
Basi inategemea... Mara ya kwanza kuangalia hii makitu ndio siku dudu yangu ilikuwa ya moto sana hadi nikahisi kama kuna vitu vinataka kutoka
 
IMG_1858.png

Wamefungia wapi wakati huduma zipo zinapatikana ??
 
Jambo la kupongeza sana. Uraibu wa porn sio mzuri kabisa na madhara yake ni makubwa kwa watu binafsi na taifa.

Hizo sites ambazo bado zipo hewani zitapigwa pini moja baada ya nyingine mpaka ziishe zote, ni suala la muda tu.
We mzee una roho mbaya na chafu kama ibilisi
 
Bongo mtu kukupa mchongo wa kutengeneza pesa ni nadra ila kukupa malink kama haya ni rahisi
Screenshot_2021-08-20-10-02-35-04_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Tumia opera kwenye private tab kuna vpn automatic so haina haja ya kudownload vpn
 
Back
Top Bottom