OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Hello mamaTumtume Kigogo2014
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello mamaTumtume Kigogo2014
[emoji3][emoji3][emoji3] mmetisha huko kwenye ulegend sijafikiaMkuu unazingua,,zipo nying tu mbona
Malegend ndo tunazijua tunawazoom tu[emoji23]
TCRA na wao si Wana check piaso waje kuwafungia na hawa akili zao zisiwaze hayo mambo eeehh
Kwa hili naipongeza serikali chaputa inaenda kufa kibudu
Sikujua mkuu.Yapo sana tuuu
Kwa hili naipongeza serikali chaputa inaenda kufa kibudu
Mitandao mingi hasa ile iliyozoeleka na watu kama Xvideos,pornhub na mingine imepigwa ban
wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.
Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.
Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu
Na nashauri mitandao yote inayotangaza biashara za umalaya, ukahaba na ushoga kama insta, telegram na pamoko ipigwe life ban na ifutwe yote haifai
Ibaki mitandao yenye maana kama twitter
PIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.
TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
Mtoto wako kama ni boga boga tu hata bila hayo mapicha ya X ataharibika tu,pumbavu weweJinga kabisa yaan ruhusu mapicha ya sex yanayotuharibia watoto wetu et kisa mapato? Serious MTU mzima na Akil zako et Serikal iangalie upya iachie mambo ya kijinga haya yaendelee?
Yaap ukiwa na VPN ni burudani tu,na pia kuna mitandao mikubwa zaidi hii haijapigwa ban mtu unaweza kuaccessVipi kwenye VPN? . mZIGO UNASHUKA?
Ukitaka ujue umuhim ya makahaba zuia hio biashara uone ndan ya mwezi kesi za ubakaji, mimba kwa wanafunzu, taraka, depression, uone vitakavyo ongezeka gaflaPIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.
TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
Vipi na ustawi wa watu wake. Tufanye ivi wanao uwanunue cd za porno za akina Mia Alfa Mana ni faragha za watu.Nimekaa nikawaza,najua asilimia kubwa ya watu hapa Tz wanatumia nusu au robo tatu ya data zao za internet kutoka mitandao mbalimbali kuangalia video za Ngono online
Hapa mitandao ya simu ilikuwa inapiga sana hela kupitia mauzo ya MB na serikali ilikuwa inapata Kodi kupitia mauzo hayo ya MB
sasa kitendo cha serikali kupiga BAN mitandao hii naona kama imejipunguza kiasi cha Kodi manake mtu ukiwa na MB utakaaa nayo hadi muda wake wa kuisha,ila kama unatumia hizo MB kuperuzi video za Ngono yani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya masaa kadhaa hivyo inakubidi ununue kifurushi kingine ,hapo serikali inakua imejiongezea mapato zaidi.
Serikali iangalia upya suala hili manake limeingilia faragha ya watu.
Mama hataki pesa haramu