Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Hebu tuwe critical kidogo, bila ushabiki na jazba.

kuwa Porn inaleta Ushoga. Na njia ya kudhibiti ni kudhibiti mitandao hiyo ya ngono. Mimi nasema ni uono mfupi, na ni kukata matawi badala ya mizizi wakati unajua matawi yatachipuka.

Ushoga kwa kiasi kikubwa hausababishwi na na ponografia, bali ni malezi mabovu ya watoto. Ukisikiliza testmonies za mashoga wengi, chimbuko ni kuharibiwa wakiwa watoto na wala haihusiani kabisa na utazamaji wa porn. Kisayansi, mtoto anayeanza kuchezewa kabla hajabaleghe, huyo ana chance kubwa ya kuja kuwa shoga.
Nachomaanisha mimi ni ile kuona napo Kuna athari kubwa sana ni kama unawapa ubao na wale wasioona kuona na kujifunza! Sasa hii inaendeleza au inaua..?
Mule Kuna video nyingi mtu anabeba tu Kuna kujifunza kujichua n.k

Mkuu kaa ukijua porn sio kitu kizuri kwa afya ya akili tutabishana bure tu hapa..
 
Kwa nini umchagulie mtu cha kufanya.
Yani wewe mlokole unilazimishe unayoyaamini. Zama hizo tulishatoka ndio masna kuna malaya kola kona, kazi yangu ni kuamua niwanunue au nisiwaanunue.
Mimi nikimnunua malaya wewe hupungikiwi wala hauzidishiwi chochote.
Nikibaka nikosa la jinai ila tunakubaliana wawili wewe inazuia kwa interest zako.
Mkuu angalia tu uwape na wanao na ndugu zako waangalie hazina kitu we angalia tu ikibidi bandika hata picha za utupu kwenye nyumba yako kila kona..

Lakini shika hili moja "hiyohiyo faragha yako ndio ama itajenga utu wako au kuuharibu".

NB; Mi sio mlokole.
 
Mkuu angalia tu uwape na wanao na ndugu zako waangalie hazina kitu we angalia tu ikibidi bandika hata picha za utupu kwenye nyumba yako kila kona..

Lakini shika hili moja "hiyohiyo faragha yako ndio ama itajenga utu wako au kuuharibu".

NB; Mi sio mlokole.
Mpumbavu tu, unajiongelesha hapa usiku unaenda kupigana miti.
Sasa hivi tutakuwa tunae nda bar kuwamgalia live, kisha tunawafunua chupi tunawapiga miti, tunawapa mimba mnazaliwa walokole kama nyie.
 
Mpumbavu tu, unajiongelesha hapa usiku unaenda kupigana miti.
Sasa hivi tutakuwa tunae nda bar kuwamgalia live, kisha tunawafunua chupi tunawapiga miti, tunawapa mimba mnazaliwa walokole kama nyie.
😂 Sawa mkuu.
 
Acha kuharibu nyuzi za watu Kwa kujifanya motivation speaker wa huyo Mungu wako Kila mtu humu ana akili zake za kujua jema na baya Kila mtu atapima matendo yake mwenyewe na huyo Mungu wake wewe nani uanze kumshirikisha ndugu?
Naona umekomalia sana huu Uzi kama umetumwa na huyo Mungu vile uje humu kumbe kiherehere chako tu,
Mnaboa sana nyie watu halafu huwezi nibadilisha unavyotaka wewe naishi na namuabudu huyo Mungu Kwa style yangu Kama walivyomwabudu mababu zangu kabla ya hizo dini za kuletewa na Merikebu na wamisionari!
kakaangu mimi sizungumzii na wala siko hapa kuzungumzia dini.

Mimi siko hapa kuwakilisha ukirsto wala siko hapa kuueneza uislamu achilia mbali ubudha.

Niko hapa kukumbusha tu, Mungu yupo.. na miungu ipo... Tubu na urejee kwa Mungu wako achana na miungu kaka, acha kiburi, acha wizi, acha ulevi, acha unafiki, acha uchawi na ulozi, acha dharau kakaangu, Mungu haletewi kibesi chako kaka.. acha kabisa tena TUBU leo leo kakaangu kesho ni majaaliwa ya Muumbaji tu, mimi Namuomba Mungu akufanyie wepesi utubu kaka.

Duniani hapa palikua na miamba, duniani hapa palikua na wanaume, duniani hapa palikua na majabali, hapa duniani palikua na manguli, kuna watu walikuwa magwiji hapa duniani kaka lakini leo wako wapi?

Musa alikua mwanaume anaepiga story na Mungu moja kwa moja, sembuse mimi na wewe ambao hata shetani hawezi kukaa meza moja na sisi kwa sababu hatumfikii kwa uwezo wa kuutawala ulimwengu? Jinyenyekeze chini ya mkono wa MUNGU, tubu leo ndugu.

Mimi sio msafi, wewe sio mtakatifu... Sote tumetenda dhambi, ila mimi nakukumbusha tu (Kujisahau kupo) TUTUBU TUNGALI WAZIMA NA NGUVU ZETU HIZI TULIZO NAZO.

Mungu yupo hapo ulipo, yupo msikitini, yupo kwenye sinagogi yupo kila mahali.... NI JUKUMU LAKO KUMTAFUTA, NAYE ATAONEKANA KWAKO.

Narudia, acha kiburi TUBU.
 
Nasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Kabla ya kuuliza si ungejaribu kuangalia?
 
Mpumbavu tu, unajiongelesha hapa usiku unaenda kupigana miti.
Sasa hivi tutakuwa tunae nda bar kuwamgalia live, kisha tunawafunua chupi tunawapiga miti, tunawapa mimba mnazaliwa walokole kama nyie.
Je UKIFANYWA TASA/HANISI MUDA HUU UTAJISIKIAJE?

TUBU mrudie Mungu wako, Kama unataka OA ukae na cha halal ndani.

Acha zinaa tubu kakaangu
 
kakaangu mimi sizungumzii na wala siko hapa kuzungumzia dini.

Mimi siko hapa kuwakilisha ukirsto wala siko hapa kuueneza uislamu achilia mbali ubudha.

Niko hapa kukumbusha tu, Mungu yupo.. na miungu ipo... Tubu na urejee kwa Mungu wako achana na miungu kaka, acha kiburi, acha wizi, acha ulevi, acha unafiki, acha uchawi na ulozi, acha dharau kakaangu, Mungu haletewi kibesi chako kaka.. acha kabisa tena TUBU leo leo kakaangu kesho ni majaaliwa ya Muumbaji tu, mimi Namuomba Mungu akufanyie wepesi utubu kaka.

Duniani hapa palikua na miamba, duniani hapa palikua na wanaume, duniani hapa palikua na majabali, hapa duniani palikua na manguli, kuna watu walikuwa magwiji hapa duniani kaka lakini leo wako wapi?

Musa alikua mwanaume anaepiga story na Mungu moja kwa moja, sembuse mimi na wewe ambao hata shetani hawezi kukaa meza moja na sisi kwa sababu hatumfikii kwa uwezo wa kuutawala ulimwengu? Jinyenyekeze chini ya mkono wa MUNGU, tubu leo ndugu.

Mimi sio msafi, wewe sio mtakatifu... Sote tumetenda dhambi, ila mimi nakukumbusha tu (Kujisahau kupo) TUTUBU TUNGALI WAZIMA NA NGUVU ZETU HIZI TULIZO NAZO.

Mungu yupo hapo ulipo, yupo msikitini, yupo kwenye sinagogi yupo kila mahali.... NI JUKUMU LAKO KUMTAFUTA, NAYE ATAONEKANA KWAKO.

Narudia, acha kiburi TUBU.


Cha ajabu utakuta huyu jamaa anaangalia porn vizuri tu. 😂😂😂😂
 
Nachomaanisha mimi ni ile kuona napo Kuna athari kubwa sana ni kama unawapa ubao na wale wasioona kuona na kujifunza! Sasa hii inaendeleza au inaua..?
Mule Kuna video nyingi mtu anabeba tu Kuna kujifunza kujichua n.k

Mkuu kaa ukijua porn sio kitu kizuri kwa afya ya akili tutabishana bure tu hapa..
Mnatazama mara kwa mara hadi mnaona jambo la kawaida.

Mnazijadili kwa hoja na maneno ya kupingana lakini inafikia hatua mnataka kujaribu.
Mnajaribu hatimaye mnanogewa inakuwa kawaida kwenu na kisha kuanza kutafuta wafuasi ili kuficha hatia zenu kwa kigezo kwamba mbona wengi tu wanafanya.
 
Back
Top Bottom