Unaweza kutoka kituoni polisi Bure?Yanifundishe kuwa na marafiki wanajeshi watakuja kunitoa lockup ya polisi?
Dogo anawekeza uchawa kwa watu wasioweza kumsaidia badala atafute elimu juu ya haki zake aweze kujisimamiaNdo anavyowaza hivyo
Bado una safari ndefu sana kujua rangi halisi ya mambo kwakua stori za vijiweni zimekuweka kwenye giza totoroUnaweza kutoka kituoni polisi Bure?
Ok najua hujawahi hata kufika, ndugu yako yoyote alishawahi?
Hakuna haki kituo cha polisi.
Ndio maana nakuambia wewe bado sana.
Kutoka polisi ni pesa lakini kuna Sheria hiyo kwamba kutoka polisi ni pesa?
Acha ujinga ndugu, polisi ni uwe na pesa au utumie mtu mwenye nguvu zaidi yako.
Polisi anasema embu mshuhurikieni huyu na wale watukutu wa mule ndani wanampga mpaka anavimba macho.
Acha ujinga. Hakuna haki polisi huo ni ukweli
Nikikuambia huna hoja unalalama mtoto wa mama!Bado una safari ndefu sana kujua rangi halisi ya mambo kwakua stori za vijiweni zimekuweka kwenye giza totoro
Sahihi kabisaPicha inaanza huyo polisi unaemletea shida mwenyewe hana mamlaka ya kumtoa mtuhumiwa akiwa detained
Alafu wewe ndo ukamletee fujo eti amuachie kisa umeenda kibabe ili yeye aje ahojiwe na kushtakiwa? Zile silaha wanazobeba nje ya kituo ndo kazi zake hizo kwaajili ya watu wanaotaka watuhumiwa waachiwe kibabe
Ukilifikiria hilo tu utajua ni jinsi gani umeleta chai isiyo na mbele wa nyuma
Cha muhimu ni kujua sheria na haki zako basi. Urafiki na Mwanajeshi au Polisi sio ngao wakati wote.
Kuna muda utahitaji msaada wao na wao hawatoweza kukusaidia. Kuna mahali Wanajeshi hawaingii na kuna mahali polisi hawaingii. Kila mamlaka inayo mamlaka kuu zaidi.
IJUE SHERIA, IJUE HAKI YAKO! Hawa ndo wakombozi wako.
Kwanza don't fool us, hiyo hadithi ya kahawa , I refused to buy that stuff, it's 21 century, sio bronze age, separation of power, transparent, rule of law,kapigane huko alafu uone kama cello utakaa na Mahakamani utapelekwaKwanini unapenda kukurupuka ndugu?
Rudi kasome au waambie watu wakusaidie nilichoandika.
Wapi nimesema nimefanya makosa?
Hivi bongo tuna shida gani?
Huyu nae mwendawazimu anarudia yale yale😂😂
Wewe hata kusoma hujui.Kwanza don't fool us, hiyo hadithi ya kahawa , I refused to buy that stuff, it's 21 century, sio bronze age, separation of power, transparent, rule of law,kapigane huko alafu uone kama cello utakaa na Mahakamani utapelekwa
Cha muhimu ni kujua sheria na haki zako basi. Urafiki na Mwanajeshi au Polisi sio ngao wakati wote.
Kuna muda utahitaji msaada wao na wao hawatoweza kukusaidia. Kuna mahali Wanajeshi hawaingii na kuna mahali polisi hawaingii. Kila mamlaka inayo mamlaka kuu zaidi.
IJUE SHERIA, IJUE HAKI YAKO! Hawa ndo wakombozi wako.
Urafiki na Polisi, Mwanajeshi au Mwanasiasa,hakimu sio Ngao na Wala isikupe upofu or don't take things for granted # Rule of Law, mada ya kijinga tufuate sheria na haki basi chai sana watu kama nyie kwenye jamiiWewe hata kusoma hujui.
Nimekuacha, ukielewa Rudi hapa zuchu.
Analeta stories za kahawaBado una safari ndefu sana kujua rangi halisi ya mambo kwakua stori za vijiweni zimekuweka kwenye giza totoro
Umeshindwa kuelewa lugha ya kiswahili na nini nilichoandika.H
Urafiki na Polisi, Mwanajeshi au Mwanasiasa,hakimu sio Ngao na Wala isikupe upofu or don't take things for granted # Rule of Law, mada ya kijinga tufuate sheria na haki basi chai sana watu kama nyie kwenye jamii
Sasa mimi nakushauri,weka urafiki na usalama wa taifa hutajutia hata siku moja,na utakuja nishukuru, wale jamaa wanakulinda masaa 24 bila wwe hata kujijuwa,ukipata matatizo na vyombo vya dola kama ni haki yako.wao tayari wameshaingia.kazini kukupambania bila wwe kujijuwa!!Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?
KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.
Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.
Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.
Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.
Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,
Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.
Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.
Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.
Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.
Share kisa chako na bakabaka.
Aseee mkuu siku moja katika harakati zangu.Mkifika kwa wale wenye urafiki na askari Magereza mje niwaambie jinsi wanavyopiga vizinga na vile hawatamani watu wawajue
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app