Weka utabiri wako hapa wa mechi ya marudiano wiki chache zijazo kati Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania

Weka utabiri wako hapa wa mechi ya marudiano wiki chache zijazo kati Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania

Karibuni wadau wote wa michezo kutabiri matokeo ya huu mchezo wa marudiano kati ya hizi timu mbili kubwa kabisa Barani Afrika; Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania.

Ikumbukwe timu zote mbili tayari zimeshafuzu hatua inayofuata ya robo fainali, Kombe la Klabu Bingwa Afrika. Na katika mechi zao za mwisho kucheza, Simba akiwa nyumbani, aliifunga Horoya goli 7-0! Huku Raja Casablanca akiwa ugenini Uganda, alipata sare ya 1-1 na wenyeji Vipers.

Kwa nini nimechukua nafasi hii nyeti kabisa kuwakaribisha wadau wenzangu wa michezo, kubashiri huu mchezo? Ni kutokana na kiwango bora kabisa walichokionesha Raja Casablanca tangu mwanzo kwenye hii hatua ya makundi, kiasi cha kutopoteza mchezo wao hata mmoja mpaka sasa. (Na ndiyo wamebiwa na hii mechi ya mwisho dhidi ya Simba)

Lakini sababu ya pili imetokana na kiwango walichokionesha Simba siku za hivi karibuni dhidi ya wapinzani wake kwenye haya mashindano! Mfano Simba ilimfunga Vipers nyumbani na ugenini, halafu ikamfunga tena Horoya goli 7-0 pale kwa Mkapa! Imgine Tripple C alipiga hat trick! Putin akapiga 2! Baleke naye akapiga 2!! What a performance!

Nisiwapotezee muda! Binafsi utabiri wangu unaenda kwa simba! Naamini kwenye hiyo mechi yao ya marudio kule Morocco, watampiga Mwarabu goli 3-0 katika uwanja wake wa nyumbani. Yaani kama walifanya Yanga vile kwa ile Club Africains ya Tunisia. Na wafungaji wa hayo magoli kama kawaida; watakuwa ni Chama, Baleke na Kibu D.

Vipi na wewe kuhusu utabiri wako? Na ifahamike pia unapobashiri, kuna kupatia! Lakini pia kuna kuchanika kwa mkeka. Hivyo asitokee mtu baadaye wa kuja kumkamata mwenzake uchawi hapa! Nadhani wazee wa mikeka wamenielewa vizuri.

Nani ni nani kati ya Raja Casablanca vs Simba wiki kadhaa kutoka sasa?

Karibuni wadau wenzangu wote wa mpira wa miguu.
Makolo wananyolewa na mwarabu😂.wanabisha wajitokeze wakanushe hapa🏃🏃
 
Makolo wananyolewa na mwarabu😂
Wananyolewa kwa goli ngapi? Maana baada ya hiyo mechi kumalizika, tutarudi hapa kwa ajili kuwapongeza washindi waliobashiri matokeo kwa ukamilifu.
 
Wanapigwa mbili,mtungi tena goli za karibu karibu😂
Siku ya kuchezwa kwa huo mchezo, Insha Allah tutarudi hapa baada ya dakika 90 ili kuja kuwapongeza sasa wale wote waliobashiri matokeo ya hiyo mechi kwa usahihi.

Na uzuri huu uzi hauegemei upande wowote ule. Lengo kuu ni ubashiri tu.
 
Najua Raja wataogopa majeruhi hivyo hawatakamia sana.

Simba 2 - 1 Raja
Uko sahihi. Hata kwenye mechi yao ya mwisho na Vipers, jambo kama hilo limeonekana wazi kabisa.

Kama Simba ilipata pointi 3 Uganda, maana yake hata Raja nao wangeweza kupata kama wangeamua kukaza! Ila waliamua tu kulinda heshima hata kwa sare.
 
Mechi haitakuwa na magoli maana timu zote zimeshafuzu.. raja makali yake yaliisha mechi ya 4.

Hata raja alivyocheza na vipers juzi mechi ya 5 uganda.. mechi ilikuwa sio ya matokeo kwa raja bali ya ball possession tu. Alipanga kikosi cha pili wakawa wana have fun tu
 
Karibuni wadau wote wa michezo kutabiri matokeo ya huu mchezo wa marudiano kati ya hizi timu mbili kubwa kabisa Barani Afrika; Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania.

Ikumbukwe timu zote mbili tayari zimeshafuzu hatua inayofuata ya robo fainali, Kombe la Klabu Bingwa Afrika. Na katika mechi zao za mwisho kucheza, Simba akiwa nyumbani, aliifunga Horoya goli 7-0! Huku Raja Casablanca akiwa ugenini Uganda, alipata sare ya 1-1 na wenyeji Vipers.

Kwa nini nimechukua nafasi hii nyeti kabisa kuwakaribisha wadau wenzangu wa michezo, kubashiri huu mchezo? Ni kutokana na kiwango bora kabisa walichokionesha Raja Casablanca tangu mwanzo kwenye hii hatua ya makundi, kiasi cha kutopoteza mchezo wao hata mmoja mpaka sasa. (Na ndiyo wamebiwa na hii mechi ya mwisho dhidi ya Simba)

Lakini sababu ya pili imetokana na kiwango walichokionesha Simba siku za hivi karibuni dhidi ya wapinzani wake kwenye haya mashindano! Mfano Simba ilimfunga Vipers nyumbani na ugenini, halafu ikamfunga tena Horoya goli 7-0 pale kwa Mkapa! Imgine Tripple C alipiga hat trick! Putin akapiga 2! Baleke naye akapiga 2!! What a performance!

Nisiwapotezee muda! Binafsi utabiri wangu unaenda kwa simba! Naamini kwenye hiyo mechi yao ya marudio kule Morocco, watampiga Mwarabu goli 3-0 katika uwanja wake wa nyumbani. Yaani kama walifanya Yanga vile kwa ile Club Africains ya Tunisia. Na wafungaji wa hayo magoli kama kawaida; watakuwa ni Chama, Baleke na Kibu D.

Vipi na wewe kuhusu utabiri wako? Na ifahamike pia unapobashiri, kuna kupatia! Lakini pia kuna kuchanika kwa mkeka. Hivyo asitokee mtu baadaye wa kuja kumkamata mwenzake uchawi hapa! Nadhani wazee wa mikeka wamenielewa vizuri.

Nani ni nani kati ya Raja Casablanca vs Simba wiki kadhaa kutoka sasa?

Karibuni wadau wenzangu wote wa mpira wa miguu.
Hii mechi haina umuhimu kila timu itaweka timu b
 
Yaan huyu shoustiee anawashwaa na simba hadi and chachawa, yaan simba inamtesa hadi anaweweseka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Khaaaaaaah, kazi ipoooo.
 
Karibuni wadau wote wa michezo kutabiri matokeo ya huu mchezo wa marudiano kati ya hizi timu mbili kubwa kabisa Barani Afrika; Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania.

Ikumbukwe timu zote mbili tayari zimeshafuzu hatua inayofuata ya robo fainali, Kombe la Klabu Bingwa Afrika. Na katika mechi zao za mwisho kucheza, Simba akiwa nyumbani, aliifunga Horoya goli 7-0! Huku Raja Casablanca akiwa ugenini Uganda, alipata sare ya 1-1 na wenyeji Vipers.

Kwa nini nimechukua nafasi hii nyeti kabisa kuwakaribisha wadau wenzangu wa michezo, kubashiri huu mchezo? Ni kutokana na kiwango bora kabisa walichokionesha Raja Casablanca tangu mwanzo kwenye hii hatua ya makundi, kiasi cha kutopoteza mchezo wao hata mmoja mpaka sasa. (Na ndiyo wamebiwa na hii mechi ya mwisho dhidi ya Simba)

Lakini sababu ya pili imetokana na kiwango walichokionesha Simba siku za hivi karibuni dhidi ya wapinzani wake kwenye haya mashindano! Mfano Simba ilimfunga Vipers nyumbani na ugenini, halafu ikamfunga tena Horoya goli 7-0 pale kwa Mkapa! Imgine Tripple C alipiga hat trick! Putin akapiga 2! Baleke naye akapiga 2!! What a performance!

Nisiwapotezee muda! Binafsi utabiri wangu unaenda kwa simba! Naamini kwenye hiyo mechi yao ya marudio kule Morocco, watampiga Mwarabu goli 3-0 katika uwanja wake wa nyumbani. Yaani kama walifanya Yanga vile kwa ile Club Africains ya Tunisia. Na wafungaji wa hayo magoli kama kawaida; watakuwa ni Chama, Baleke na Kibu D.

Vipi na wewe kuhusu utabiri wako? Na ifahamike pia unapobashiri, kuna kupatia! Lakini pia kuna kuchanika kwa mkeka. Hivyo asitokee mtu baadaye wa kuja kumkamata mwenzake uchawi hapa! Nadhani wazee wa mikeka wamenielewa vizuri.

Nani ni nani kati ya Raja Casablanca vs Simba wiki kadhaa kutoka sasa?

Karibuni wadau wenzangu wote wa mpira wa miguu.
Moto FC atapigwa mkono wa nyani😅😅
 
Kule juu naona kuna 13-0, 27-0, 8-0, sasa bora nami niwaongezee nyingine 97-0 ili roho zenu zitulie kabisaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom