Wema Sepetu adai Makonda ni malaika wa Mungu aliyetumwa duniani

Nimekuelewa vizuri sana mkuu
 
Daaah haujui km kuna tofauti ya mungu na Mungu aiseee, acha CCM itutawale tu
Halafu mulize jee hakuna tofauti kati ya aids na Aids. Akili zake azijua mwenyewe.
 
Mlambe mpaka matako, sio viatu tu
 
Mkuu Beira kuna tofauti kubwa sana kati ya mungu na Mungu.
mungu= na miungu
Mungu = ni yule waabudio kama baba wa mbinguni,hapo kwenye mungu hata yule professor Maji mafupi pia ni mungu wa wanaomwabudu.
Tena kwenye matamshi kuna tofauti kubwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…