Wengi wanaotaka wake zao wasifanye kazi wana upeo mdogo wa kufikiri halafu ni wabinafsi

Wengi wanaotaka wake zao wasifanye kazi wana upeo mdogo wa kufikiri halafu ni wabinafsi

Kuna mzazi mmoja sababu yeye ni daktari basi akataka kulazimisha mwanae naye awe daktari wakati mtoto anapenda kuwa mwanasheria

Kilichotokea mpaka leo mzazi anasema hatakaa arudie tena kulazimisha hatma ya mtoto wake yeyote.

Mtoto alipata F kwenye masomo yote ya sayansi o level lakini leo ni mwanasheria nguli na wakili mkubwa wa kujitegemea, amejenga hekalu lake la kuishi kwa pesa yake mwenyewe na ana gari moja matata sana kwa harakati tu za kutetea watu mahakamani na siyo kutibu watu kama baba yake alivyokuwa anataka kumpangia

Kikubwa huyo mtoto alijua kazi ni kipimo cha utu regardless ya kazi ya kufanya.

Sasa huyo mtoto ambaye kaona mzazi kila siku anafanya kazi, umwambie asiwe daktari wala mwanasheria eti akae tu ndani kuwa goli nyanda, unadhani atakuelewa?

Ugoli nyanda unaandaliwa, mtu aliyelelewa mazingira ya kazi atahitaji kufanya kazi tu hata umpe kila kitu.
 
Napenda nijue maisha halisi ya mleta mada. Je ameoa? Mkewe anafanya kazi? Kazi gani? Je familia yale ikoje?
 
Maisha ya sahvi yalivyo magumu tufanye tu kazi wote tusaidiane wote mmetoka familia za chini aisee mtafute ili atleast watoto waishi maisha mazuri na kuwandalia kesho yao nzuri.
 
Dah Mtibeli umeandika point tupu. Hata mimi wakati naishi uswazi nilikuwa nashangazwa sana na wake za majirani zangu ambao waume zao wana vipato duni... wengi wao utakuta chupi imechakaa balaa hadi huruma inabidi umpe pesa ya kununua nguo za ndani. Kuna mwingine inabidi umnunulie dozen ya chupi maana kila mara unamwona nayo moja. Kila mtu azingatie huu ushauri.
Yaani ulijuaje aina ya chupi za watu we nae
 
Kuruhusu mkeo kufanya kazi ni sawa na kupanda mwembe karibu na shule .

Kwa sisi ambao tumeshayaona mengi ya fedheha kwa wake za watu maofisini,,

Nasema kama unampenda mkeo mbakishe nyumbani,,au mfungulie biashara binafsi..

Ukimpeleka kazini basi umempelekea wanaume wenzio.
 
Kwanza umeoa??Una- miaka mingapi kwenye ndoa??
Shida tu na umaskini na hali ngumu ndo zinafanya wanawake wawe bizy na kazi kupita kiasi..kazi za kutoka nyumbani saa 1 asubuhi kurudi saa 12.
Kama wewe umeoa na unaishi na mkeo utagundua wanawake ni viumbe complex sana, miili yao sio kama ya kwetu, hisia zao sio kama za kwetu- hawakuumbwa wastahimili shuruba nzito nzito either physically au mentally - miili yao yenyewe na changamoto tosha.
Sasa hiko hivi kijana- mwanamke afanye kazi kwa uhuru na kwa kupenda mwenyewe na kurelax huku akipata muda mwingi wa kupumzika na kufanya mambo ya kike - apike, afanye shopping, afuatilie watoto, amuangalie mume wake, afuatilie miradi ya juujuu ya mume wake kama shushushu..kama mme ana vitega uchumi apite pale azugezuge, aende jumuiya, kanisani n.k...Jukumu la kuhangaika sio lao..Mungu aliwapa jukumu la kuzaa kwa uchungu, sisi kutafuta kwa jasho - Na ndio UANAUME huo..ukisikia BABA..ndo hiyo sasa...
Baba hupati heshima kwa sababu unamlala mkeo na kumzalisha but KUPROVIDE, KUMLINDA YEYE NA FAMILIA KIMWILI NA KIHISIA..
Ikienda kinyume na hapo..ugomvi utaibuka tu na vidharau vya hapa na pale kwa sababu inside deeply wanajua sio majukumu yao.
Kuna watu wake zao wanafanyakazi lkn ada ya watoto, kodi ya nyumba n.k lazima utaambiwa mwanaume - BABA akiona hauko vizuri n.k ndo nao wanajiongeza lkn hawafanyi tu...

Kwa hiyo usiongee vitu kirahisi hivi..
Tunawapenda wake zetu, dada, mama zetu na wanaume wengi wanajitahidi na wanapenda wakamilishe kila kitu..ilitokea mama anaingiza kipata - USIBWETEKE jiongeze na tumia akili.umsaidie kwa mawazo, maamuzi, ushauri n.k..ukijifanya et ni wajibu wake..- UTAPOTEA
 
Pia ukifikiri unaoa ili mke akusaidie hayo majukumu uliyoyataja..huelewi unaongelea nini..na hujapitia shuruba za wanaume wewe...Ukioa kichwa chako kimejipanga et mke wangu afanye kazi ili ajitimizie majukumu yake..wewe usioe tu.Hiyo ya mke kupata ije kama by the way tu....na akili yako wala isijali..FOCUS kama mwanaume..utajikuta hela zake anazitumia kwako indirectly tu...

LAKINI ET USEME-NINAO MKE ANAYEFANYA KAZI ILI ANISAIDIE AU AWEZE KUSAIDIA NDUGU ZAKE..wewe kijana- utalazwa nje
 
WENGI WANAOTAKA WAKE ZAO WASIFANYE KAZI WANAUPEO MDOGO WA KUFIKIRI ALAFU NI WABINAFSI

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Chizi sio lazima uokote Makopo, kuna Chizi Fresh ambao ndio wengi wapo kundi hili tena wengine wasomi. Alafu kuna ambao ni Chizi Maarifa hawa wengi ukiwaona kwa mbali unaweza kudhani wako timamu lakini ukiwatazama kwa ukaribu ni wendawazimu.

Unakuta kajamaa kametoka familia Maskini, kameoa kutoka Familia Maskini. Kanafanya kazi iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri lakini pato lake kwa mwezi hata Milioni moja halifiki.
Lakini ukikasikiliza mawazo yake kuhusu uchumi na mahusiano utabaki kuona kalivyo na upeo mdogo.

Yaani kisa umenunua mwanamke kwa bei ya jumla(kutoa mahari) labda shilingi milioni nne. Basi Mwanamke huyo ambaye sasa ataitwa mkeo unasema asifanye kazi kisa umemuoa.

Ukiulizwa kwa nini asifanye kazi? Huna hoja ya maana hata moja zaidi ya kutokujiamini, ubinafsi na ukandamizaji kama sio unyanyasaji.

Unamwambia mkeo asifanye kazi au asimiliki kipato kingi tena inafikia hatua kwa uzuzu wako unamhujumu mkeo na kumuwekea vikwazo ili asifanikiwe. Ati unaogopa atakunyanyasa ati atakuwa jeuri. Chizi weeeh!

Mkeo asifanye kazi, unapesa za kumhudumia mahitaji yake yote?
Alafu wengi wenye mtazamo kama huu unakuta Wake zao hata mafuta ya kupaka hawana, nguo wanazovaa mtumba, tena bora mtumba lakini ziwe nyingi. Lakini hata pesa ya kuwanunulia wake zao nguo walau kila mwezi nguo moja au mbili hawana. Mke kapauka, kazeeshwa. Yaani hatamaniki tena. Kila siku kumlisha mkeo Maharage kazi kujambajamba. Alafu unakuta jitu linasema linahudumia mke. Alafu halitaki mkewe afanye kazi. Ili angalau pesa ya kubadilisha chakula hapo nyumbani iwepo sio kila siku ugali na mchicha au maharage. Nyama na samaki mpaka sikukuu. Familia inapitisha Wiki hata maziwa hakuna. Alafu ulivyo chizi unaona sawa tuu. Alafu ukijaribu mtandaoni huku ooh! Mwanamke asifanye kazi utadhani umemudu mahitaji yake. Mwehu wewe!

Watoto wako ada zenyewe zinakusumbua, lishe yenyewe hawali. Utapiamlo na kifaduro kinawasumbua. Watoto mpaka imefikia hata uwezo wa kufikiri hawana Kwa sababu kila siku unawalisha chakula kingi cha wanga kama ugali, mihogo, maandazi na maujiuji ya nafaka. Ilhali kiafya watoto chini ya miaka 20 wanatakiwa kula protein nyingi kuliko kundi jingine la chakula ili miili yao ijengwe vyema. Vyakula vya protini ambavyo vinatakiwa viwe vingi katika mlo wenu hapo nyumbani ni Samaki, nyama, maharage, maziwa, mayai n.k.
Lakini kwa vile kipato chako ni duni huwezi kuhudumia hivyo. Alafu kwa vile tayari unakifaduro cha ubongo huoni kama unahitaji usaidizi na kwa ubinafsi wako unataka watoto wako nao wakose lishe kama wewe ulivyokosa. Ati mke asifanye kazi au asikusaidie majukumu. Kwa huduma gani unazotoa mwehu wewe!

Haya, mshahara wako wenyewe haukutoshi kutunza Wazazi wako.
Alafu hutaki mkeo asifanye kazi. Hivi unafikiri wazazi wake mwanamke watahudumiwa na kutunzwa na nani kama sio huyo mke wako. Mbuzi wewe.

Pesa yako hata milioni moja haifiki kwa mwezi. Unataka wadogo wa mkeo wahudumiwe na nani?
Unataka ile nyumba ya wazazi wa mkeo ifanyiwe ukarabati na nani kama sio mkeo.

Alafu haya machizi Fresh hapohapo unayasikia yakisema, usijenge Ukweni, mara Usitoe pesa Ukweni. Alafu hapohapo unayakuta yanazuia Wake zao wasifanye kazi. Hivi kama sio Ushetani na laana hizo ni kitu gani? Hivi kuna ubinafsi na ukatili wa kutisha zaidi ya huo?

Bado umfulishe na kumfanyisha makazi mengi bila kumpa lishe bora. Zaidi ya hapo umpige kisa ameona mambo sio mambo na umemgeuza msukule wake hapo.

Embu acheni Upumbavu wenu.
Ni mara elfu Mwanamke asioelewe au awe single Mother alee Watoto wake kitabutabu kuliko kuishi na mwanaume mwenye Ushetani wa namna hiyo.

Mwanaume elewa kuwa kama wewe unavyopenda na kuhitaji kuhudumia Wazazi wako ndio hivyohivyo mkeo naye anataka wazazi wake wahudumiwe.

Na ndio maana Watibeli Hawatoi Mahari kwa sababu inaharufu ya manunuzi au biashara ya binadamu kwa visingizio vya kishetani.

Hutaki mkeo afanye kazi alafu ukiombwa pesa ya kuwasomesha wadogo zake unapiga yowe na kulalamika. Wewe mwehu nini.

Na mimi nawaambia Wanawake hasa Watibeli ni lazima wafanyekazi. Kufanya kazi ni amri ya kila kiumbe ili kiwe huru na kujitegemea chenyewe. Binadamu asiyefanya kazi ni mfu.
Mtu mwenye akili na Mwanamke kamili na mke mwema hujisikia aibu na fedheha kumtegemea mumewe kwa kila kitu.

Mimi nimemaliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
kama unaweza ku provide kila kitu kwenye familia, mke hatakiwi kufanya kazi
 
Wewe umeoa? Kama bado mambo ya ndoa yaache yalivyo. Ni case by case hakuna general principle.

N. B. Wanawake ni visirani sana.
Hahaha....ndo maana tumeambiwa tuishi nao kwa akili.Mwanamke atabaki mwanamke tu....ndo maana vile vi tomboy inafika muda vinasalimu amri..

TUNAONGELEA EQUITY SIO EQUALITY
 
WENGI WANAOTAKA WAKE ZAO WASIFANYE KAZI WANAUPEO MDOGO WA KUFIKIRI ALAFU NI WABINAFSI

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Chizi sio lazima uokote Makopo, kuna Chizi Fresh ambao ndio wengi wapo kundi hili tena wengine wasomi. Alafu kuna ambao ni Chizi Maarifa hawa wengi ukiwaona kwa mbali unaweza kudhani wako timamu lakini ukiwatazama kwa ukaribu ni wendawazimu.

Unakuta kajamaa kametoka familia Maskini, kameoa kutoka Familia Maskini. Kanafanya kazi iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri lakini pato lake kwa mwezi hata Milioni moja halifiki.
Lakini ukikasikiliza mawazo yake kuhusu uchumi na mahusiano utabaki kuona kalivyo na upeo mdogo.

Yaani kisa umenunua mwanamke kwa bei ya jumla(kutoa mahari) labda shilingi milioni nne. Basi Mwanamke huyo ambaye sasa ataitwa mkeo unasema asifanye kazi kisa umemuoa.

Ukiulizwa kwa nini asifanye kazi? Huna hoja ya maana hata moja zaidi ya kutokujiamini, ubinafsi na ukandamizaji kama sio unyanyasaji.

Unamwambia mkeo asifanye kazi au asimiliki kipato kingi tena inafikia hatua kwa uzuzu wako unamhujumu mkeo na kumuwekea vikwazo ili asifanikiwe. Ati unaogopa atakunyanyasa ati atakuwa jeuri. Chizi weeeh!

Mkeo asifanye kazi, unapesa za kumhudumia mahitaji yake yote?
Alafu wengi wenye mtazamo kama huu unakuta Wake zao hata mafuta ya kupaka hawana, nguo wanazovaa mtumba, tena bora mtumba lakini ziwe nyingi. Lakini hata pesa ya kuwanunulia wake zao nguo walau kila mwezi nguo moja au mbili hawana. Mke kapauka, kazeeshwa. Yaani hatamaniki tena. Kila siku kumlisha mkeo Maharage kazi kujambajamba. Alafu unakuta jitu linasema linahudumia mke. Alafu halitaki mkewe afanye kazi. Ili angalau pesa ya kubadilisha chakula hapo nyumbani iwepo sio kila siku ugali na mchicha au maharage. Nyama na samaki mpaka sikukuu. Familia inapitisha Wiki hata maziwa hakuna. Alafu ulivyo chizi unaona sawa tuu. Alafu ukijaribu mtandaoni huku ooh! Mwanamke asifanye kazi utadhani umemudu mahitaji yake. Mwehu wewe!

Watoto wako ada zenyewe zinakusumbua, lishe yenyewe hawali. Utapiamlo na kifaduro kinawasumbua. Watoto mpaka imefikia hata uwezo wa kufikiri hawana Kwa sababu kila siku unawalisha chakula kingi cha wanga kama ugali, mihogo, maandazi na maujiuji ya nafaka. Ilhali kiafya watoto chini ya miaka 20 wanatakiwa kula protein nyingi kuliko kundi jingine la chakula ili miili yao ijengwe vyema. Vyakula vya protini ambavyo vinatakiwa viwe vingi katika mlo wenu hapo nyumbani ni Samaki, nyama, maharage, maziwa, mayai n.k.
Lakini kwa vile kipato chako ni duni huwezi kuhudumia hivyo. Alafu kwa vile tayari unakifaduro cha ubongo huoni kama unahitaji usaidizi na kwa ubinafsi wako unataka watoto wako nao wakose lishe kama wewe ulivyokosa. Ati mke asifanye kazi au asikusaidie majukumu. Kwa huduma gani unazotoa mwehu wewe!

Haya, mshahara wako wenyewe haukutoshi kutunza Wazazi wako.
Alafu hutaki mkeo asifanye kazi. Hivi unafikiri wazazi wake mwanamke watahudumiwa na kutunzwa na nani kama sio huyo mke wako. Mbuzi wewe.

Pesa yako hata milioni moja haifiki kwa mwezi. Unataka wadogo wa mkeo wahudumiwe na nani?
Unataka ile nyumba ya wazazi wa mkeo ifanyiwe ukarabati na nani kama sio mkeo.

Alafu haya machizi Fresh hapohapo unayasikia yakisema, usijenge Ukweni, mara Usitoe pesa Ukweni. Alafu hapohapo unayakuta yanazuia Wake zao wasifanye kazi. Hivi kama sio Ushetani na laana hizo ni kitu gani? Hivi kuna ubinafsi na ukatili wa kutisha zaidi ya huo?

Bado umfulishe na kumfanyisha makazi mengi bila kumpa lishe bora. Zaidi ya hapo umpige kisa ameona mambo sio mambo na umemgeuza msukule wake hapo.

Embu acheni Upumbavu wenu.
Ni mara elfu Mwanamke asioelewe au awe single Mother alee Watoto wake kitabutabu kuliko kuishi na mwanaume mwenye Ushetani wa namna hiyo.

Mwanaume elewa kuwa kama wewe unavyopenda na kuhitaji kuhudumia Wazazi wako ndio hivyohivyo mkeo naye anataka wazazi wake wahudumiwe.

Na ndio maana Watibeli Hawatoi Mahari kwa sababu inaharufu ya manunuzi au biashara ya binadamu kwa visingizio vya kishetani.

Hutaki mkeo afanye kazi alafu ukiombwa pesa ya kuwasomesha wadogo zake unapiga yowe na kulalamika. Wewe mwehu nini.

Na mimi nawaambia Wanawake hasa Watibeli ni lazima wafanyekazi. Kufanya kazi ni amri ya kila kiumbe ili kiwe huru na kujitegemea chenyewe. Binadamu asiyefanya kazi ni mfu.
Mtu mwenye akili na Mwanamke kamili na mke mwema hujisikia aibu na fedheha kumtegemea mumewe kwa kila kitu.

Mimi nimemaliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Tafuta hela mkuu....umemuona Wapi Mke wa Mo anafanya Upatu?

Ni umaskini tu unatutuma lakini Mke anatakiwa akae Nyumbani ai njoy maisha.
 
kama unaweza ku provide kila kitu kwenye familia, mke hatakiwi kufanya kazi
Ndio umaskini tu unatutuma.

Wanaume wanapata pesa wanaishia kuhonga na kunywa pombe tu. Watoto siku hizi wanalelewa na Wanawake.

Hata wanawake wenyewe hawapendi hizi kazi.

Ukiwauliza wasema ukweli watakwambia.

Mke wa Mengi pamoja na Mume wake kuwa na miradi na Pesa za kutosha za Kufanyia biashara hutamkuta kamwe anahangaika na Nguo kariakoo.

Na ndio maana Mwanamke akipata Pesa zake we jifanye unazitaka uone cha moto.
 
Kwa akili za mtoa mada, yupo radhi mkewe afanye kazi hata ya "umalaya" Ili mradi tu apate pesa!

Tusilazimishane kuona vitu Sawa Sawa. Kila watu Wana mitizamo tofauti katika mambo mbalimbali
Wanaitwa wanaume wanaopenda mteremko......Wanawake hawapendi kabisa Mwanaume wa aina hii hata siku moja.
 
Hoja inamashiko vizuri, ukitaka lakini wewe unaamua kutoipa mashiko, ukitaka muishi vizuri na mkeo basi muishi Kwa kufata maandiko hasa kama mnaamini katika Imani. Mambo mengine yakimaisha ni Qadar tu, mnaweza kupambana wote lkn still mklala njaa.
Hahaha
 
Kwani akifanya kazi hawezi kuwa pambo au kumburudisha mumewe?

Kuna wanawake wanaofanya kazi na bado ni warembo kuliko wanaokalizwa nyumbani.
Hoja yako haina mashiko
Mtibeli umeonesha udhaifu mkubwa sana kwenye thread hii.

Watibeli hawapendi mteremko wewe ni Mtibeli wa Kabila gani?
 
WENGI WANAOTAKA WAKE ZAO WASIFANYE KAZI WANAUPEO MDOGO WA KUFIKIRI ALAFU NI WABINAFSI

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Chizi sio lazima uokote Makopo, kuna Chizi Fresh ambao ndio wengi wapo kundi hili tena wengine wasomi. Alafu kuna ambao ni Chizi Maarifa hawa wengi ukiwaona kwa mbali unaweza kudhani wako timamu lakini ukiwatazama kwa ukaribu ni wendawazimu.

Unakuta kajamaa kametoka familia Maskini, kameoa kutoka Familia Maskini. Kanafanya kazi iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri lakini pato lake kwa mwezi hata Milioni moja halifiki.
Lakini ukikasikiliza mawazo yake kuhusu uchumi na mahusiano utabaki kuona kalivyo na upeo mdogo.

Yaani kisa umenunua mwanamke kwa bei ya jumla(kutoa mahari) labda shilingi milioni nne. Basi Mwanamke huyo ambaye sasa ataitwa mkeo unasema asifanye kazi kisa umemuoa.

Ukiulizwa kwa nini asifanye kazi? Huna hoja ya maana hata moja zaidi ya kutokujiamini, ubinafsi na ukandamizaji kama sio unyanyasaji.

Unamwambia mkeo asifanye kazi au asimiliki kipato kingi tena inafikia hatua kwa uzuzu wako unamhujumu mkeo na kumuwekea vikwazo ili asifanikiwe. Ati unaogopa atakunyanyasa ati atakuwa jeuri. Chizi weeeh!

Mkeo asifanye kazi, unapesa za kumhudumia mahitaji yake yote?
Alafu wengi wenye mtazamo kama huu unakuta Wake zao hata mafuta ya kupaka hawana, nguo wanazovaa mtumba, tena bora mtumba lakini ziwe nyingi. Lakini hata pesa ya kuwanunulia wake zao nguo walau kila mwezi nguo moja au mbili hawana. Mke kapauka, kazeeshwa. Yaani hatamaniki tena. Kila siku kumlisha mkeo Maharage kazi kujambajamba. Alafu unakuta jitu linasema linahudumia mke. Alafu halitaki mkewe afanye kazi. Ili angalau pesa ya kubadilisha chakula hapo nyumbani iwepo sio kila siku ugali na mchicha au maharage. Nyama na samaki mpaka sikukuu. Familia inapitisha Wiki hata maziwa hakuna. Alafu ulivyo chizi unaona sawa tuu. Alafu ukijaribu mtandaoni huku ooh! Mwanamke asifanye kazi utadhani umemudu mahitaji yake. Mwehu wewe!

Watoto wako ada zenyewe zinakusumbua, lishe yenyewe hawali. Utapiamlo na kifaduro kinawasumbua. Watoto mpaka imefikia hata uwezo wa kufikiri hawana Kwa sababu kila siku unawalisha chakula kingi cha wanga kama ugali, mihogo, maandazi na maujiuji ya nafaka. Ilhali kiafya watoto chini ya miaka 20 wanatakiwa kula protein nyingi kuliko kundi jingine la chakula ili miili yao ijengwe vyema. Vyakula vya protini ambavyo vinatakiwa viwe vingi katika mlo wenu hapo nyumbani ni Samaki, nyama, maharage, maziwa, mayai n.k.
Lakini kwa vile kipato chako ni duni huwezi kuhudumia hivyo. Alafu kwa vile tayari unakifaduro cha ubongo huoni kama unahitaji usaidizi na kwa ubinafsi wako unataka watoto wako nao wakose lishe kama wewe ulivyokosa. Ati mke asifanye kazi au asikusaidie majukumu. Kwa huduma gani unazotoa mwehu wewe!

Haya, mshahara wako wenyewe haukutoshi kutunza Wazazi wako.
Alafu hutaki mkeo asifanye kazi. Hivi unafikiri wazazi wake mwanamke watahudumiwa na kutunzwa na nani kama sio huyo mke wako. Mbuzi wewe.

Pesa yako hata milioni moja haifiki kwa mwezi. Unataka wadogo wa mkeo wahudumiwe na nani?
Unataka ile nyumba ya wazazi wa mkeo ifanyiwe ukarabati na nani kama sio mkeo.

Alafu haya machizi Fresh hapohapo unayasikia yakisema, usijenge Ukweni, mara Usitoe pesa Ukweni. Alafu hapohapo unayakuta yanazuia Wake zao wasifanye kazi. Hivi kama sio Ushetani na laana hizo ni kitu gani? Hivi kuna ubinafsi na ukatili wa kutisha zaidi ya huo?

Bado umfulishe na kumfanyisha makazi mengi bila kumpa lishe bora. Zaidi ya hapo umpige kisa ameona mambo sio mambo na umemgeuza msukule wake hapo.

Embu acheni Upumbavu wenu.
Ni mara elfu Mwanamke asioelewe au awe single Mother alee Watoto wake kitabutabu kuliko kuishi na mwanaume mwenye Ushetani wa namna hiyo.

Mwanaume elewa kuwa kama wewe unavyopenda na kuhitaji kuhudumia Wazazi wako ndio hivyohivyo mkeo naye anataka wazazi wake wahudumiwe.

Na ndio maana Watibeli Hawatoi Mahari kwa sababu inaharufu ya manunuzi au biashara ya binadamu kwa visingizio vya kishetani.

Hutaki mkeo afanye kazi alafu ukiombwa pesa ya kuwasomesha wadogo zake unapiga yowe na kulalamika. Wewe mwehu nini.

Na mimi nawaambia Wanawake hasa Watibeli ni lazima wafanyekazi. Kufanya kazi ni amri ya kila kiumbe ili kiwe huru na kujitegemea chenyewe. Binadamu asiyefanya kazi ni mfu.
Mtu mwenye akili na Mwanamke kamili na mke mwema hujisikia aibu na fedheha kumtegemea mumewe kwa kila kitu.

Mimi nimemaliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wanaume wote wanaotaka wake zao wafanye kazi ni wavivu.

Sababu inayofanya wanawake wengi hivi sasa kujihusisha na utafutaji ni wanaume wengi kutotekeleza majukumu yao ipasavyo ingawa wapo wanawake ambao wanahudumiwa kwa kila kitu lakini hawaridhiki.

Tafuta hela mkuu halafu muhudumie mkeo kwa kila kitu.

Maana halisi ya goli kipa siyo kusubiri aletewe ila ni kulinda himaya yake na kupoza mashambulizi yanayotoka kwa upinzani na kutazama upya namna ya kuanzisha mashambulizi mapya.

Mwanamke anapokuwa nyumbani anakuwa muangalizi wa karibu wa familia na mali ya mumewe.

Pale ambapo nguvu hasi inapotoka nje kuingia ndani kwake yeye huwa mtu wa kwanza kuipoza na pia yeye huwa wa kwanza katika kuongeza nguvu chanya kwa mumewe katika utafutaji.

Leo hii wengi wanatumia msamiati wa goli kipa kwa mwanamke bila kujua maana yake.

Nawapa pongezi wanawake wote ambao wanatekeleza majukumu yao kama mhimili wa nyumba bila hata ya kuwa na kazi na pia nawapongeza wanawake wote ambao wameamua kujishughulisha siyo kwa sababu ya kukidhi matakwa yao ila kwa ajili ya kuongeza nguvu kwa waume zao.
 
Wanaume wote wanaotaka wake zao wafanye kazi ni wavivu.
Nilikuwa nao marafiki wa hivi nikaachana nao.

Tabia zao ni za hovyo.

Ukiwauliza kwanini unataka mwanamke wa hivi wanadai eti Mwanamke awasaidie majukum na bills za nyumbani.

Yule jamaa mmoja alipigwa vibuti hadi akajuta.
Yeye alikuwa analazimisha lazima apate Mwl, Secretary na hata Yeyote mwenye Degree.....sasa mademu wakawa wanamlia pesa tu kumbe wana watu wao.
 
Back
Top Bottom