Wengi wetu ni wakopaji sana kwenye mabenki ila hili ni sikio la kufa

Wengi wetu ni wakopaji sana kwenye mabenki ila hili ni sikio la kufa

Kuna benki zinajitutumua kufanya kama defined bank services providers lkn ni wazushi sana. Sitowataja ila ni kati ya benki mbili maarufu zinazotumiwa na serikali kuwakopesha watumishi. Niseme ukweli benki ni taasisi za wizi asikuambie mtu. Zaidi na zaidi hawa wamezidi ni wadanganyifu.

Leo nimeamua niseme bila kutaja jina la hii taasisi.

Nilikopa mara mbili tu katika utumishi wangu wa miaka 27. Nikikaribia kustaafu sasa. Lkn wamenitia machungu na kwa kweli wananchi na watumishi tunakopa kwenye hizi benki lakini tunavumilia maumivu. Kwanza wana riba kubwa wanajifanya riba yao ndogo wakijinasibu kukupa mkopo wa miaka hadi 8 au 9.

Nina mkopo kwako wote na huyu mwenzie ila kwa mwenzake sina maumivu na hawa jamaa ni benki inasaidia bila kuumia.

Zamani wakati nakuwa kunako miaka 5 hivi mzazi wangu alinifunguliaga akaunti japo ilikufa. Lkn hawa wana asili ya kudunduliza. Hata sasa wanadunduliza na wakikukama hata 3mil utailipa kwa uchungu sana.

Pamoja na mshahara wangu wa 3mil kwa mwezi lkn hawa ni kama kupe. Mkopo kwanza hauishi. Kwa anayepitia hii kitu atajua kamkopo kadogo wanakaweka kama kunyonya vibaya sana.

Hizi taasisi zijitahidi kuwa na kiasi. Chukueni riba ila kwa kiasi. This bank is exploiting loanees. Kwa kweli inasikitisha.

Nakumbuka nilijipanga nilipe hii pesa ndg ambayo haiishi..waligoma kutoa loan balance statement na barua. Ili nite pesa niwe huru. Huyu kijana alinizungusha na hadi kard niliiacha hapo hapo kumaanisha nilivunja ndoa na hii benk.

Mods huna haja kuondoa uzi huu haujamtaja yoyote zaidi ninatoa awareness kwa wananchi na watumishi hzi benki zijirekebishe. Wanatumia mbinu zisizowaz kwa raia kukwapua pesa kwa njia za mikopo na mikataba ya ulaghai.

Njnaamini hawa jamaa ni sikio la kufa japo wengi tuwakopaji sana huko. Umakuta nakopa nakatwa 450,000 kwa mwezi. This is fine. Ukikopa 3mil watakupigia 9 years hili deni haliishi.

Ulitaka kulipa deni watakuzungusha sana.

Kwa sasa ukitaka kukopa hawakukopeshi kama nni mtumishi bila salary yako kupitio kwao. Huu ni udhaifu na unyanyasaji. Wanataka wawavute watumishi kwa lazima. Na hakuna benki itakubali kukuhamishia mshahara uende kwengine kama umekopa . Hii ni aina ya unyanyasaji wa watumishi..benk hii inaongoza kwa hu unyanyasaji....

Baadhi ya shule wajukuu wanasoma.huko tunalipa ada basi tu kupitia hawa watu lkn hawafai kabisa
In this forum,we dare to talk openly.
Acha uoga,taja majina ya hizo benki.
Vinginevyo huu utakuwa ni umbea tu.
 
Kuna benki zinajitutumua kufanya kama defined bank services providers lkn ni wazushi sana. Sitowataja ila ni kati ya benki mbili maarufu zinazotumiwa na serikali kuwakopesha watumishi. Niseme ukweli benki ni taasisi za wizi asikuambie mtu. Zaidi na zaidi hawa wamezidi ni wadanganyifu.

Leo nimeamua niseme bila kutaja jina la hii taasisi.

Nilikopa mara mbili tu katika utumishi wangu wa miaka 27. Nikikaribia kustaafu sasa. Lkn wamenitia machungu na kwa kweli wananchi na watumishi tunakopa kwenye hizi benki lakini tunavumilia maumivu. Kwanza wana riba kubwa wanajifanya riba yao ndogo wakijinasibu kukupa mkopo wa miaka hadi 8 au 9.

Nina mkopo kwako wote na huyu mwenzie ila kwa mwenzake sina maumivu na hawa jamaa ni benki inasaidia bila kuumia.

Zamani wakati nakuwa kunako miaka 5 hivi mzazi wangu alinifunguliaga akaunti japo ilikufa. Lkn hawa wana asili ya kudunduliza. Hata sasa wanadunduliza na wakikukama hata 3mil utailipa kwa uchungu sana.

Pamoja na mshahara wangu wa 3mil kwa mwezi lkn hawa ni kama kupe. Mkopo kwanza hauishi. Kwa anayepitia hii kitu atajua kamkopo kadogo wanakaweka kama kunyonya vibaya sana.

Hizi taasisi zijitahidi kuwa na kiasi. Chukueni riba ila kwa kiasi. This bank is exploiting loanees. Kwa kweli inasikitisha.

Nakumbuka nilijipanga nilipe hii pesa ndg ambayo haiishi..waligoma kutoa loan balance statement na barua. Ili nite pesa niwe huru. Huyu kijana alinizungusha na hadi kard niliiacha hapo hapo kumaanisha nilivunja ndoa na hii benk.

Mods huna haja kuondoa uzi huu haujamtaja yoyote zaidi ninatoa awareness kwa wananchi na watumishi hzi benki zijirekebishe. Wanatumia mbinu zisizowaz kwa raia kukwapua pesa kwa njia za mikopo na mikataba ya ulaghai.

Njnaamini hawa jamaa ni sikio la kufa japo wengi tuwakopaji sana huko. Umakuta nakopa nakatwa 450,000 kwa mwezi. This is fine. Ukikopa 3mil watakupigia 9 years hili deni haliishi.

Ulitaka kulipa deni watakuzungusha sana.

Kwa sasa ukitaka kukopa hawakukopeshi kama nni mtumishi bila salary yako kupitio kwao. Huu ni udhaifu na unyanyasaji. Wanataka wawavute watumishi kwa lazima. Na hakuna benki itakubali kukuhamishia mshahara uende kwengine kama umekopa . Hii ni aina ya unyanyasaji wa watumishi..benk hii inaongoza kwa hu unyanyasaji....

Baadhi ya shule wajukuu wanasoma.huko tunalipa ada basi tu kupitia hawa watu lkn hawafai kabisa
Compounding interests zinawehusha watu Akili kule Marekani , huku mkopo wa nyumba ,huku mkopo wa gari ,huku mkopo WA credit cards kwa ajili ya manunuzi ya kawaida
Watu wanakipata cha mtema kuni
Kopa kufanya biashara na si kuconsume
 
Mikopo ilibuniwa kukamua mkopaji ,so think like a businessman ,Acha kufikiri kama peasant .
Kopa kufanya biashara ili pesa uliokopa izalishe na utumie sehemu kinachozalishwa kurejesha mkopo na riba zake
Acha kukopa ili kununua liabilities
 
Kuna benki zinajitutumua kufanya kama defined bank services providers lkn ni wazushi sana. Sitowataja ila ni kati ya benki mbili maarufu zinazotumiwa na serikali kuwakopesha watumishi. Niseme ukweli benki ni taasisi za wizi asikuambie mtu. Zaidi na zaidi hawa wamezidi ni wadanganyifu.

Leo nimeamua niseme bila kutaja jina la hii taasisi.

Nilikopa mara mbili tu katika utumishi wangu wa miaka 27. Nikikaribia kustaafu sasa. Lkn wamenitia machungu na kwa kweli wananchi na watumishi tunakopa kwenye hizi benki lakini tunavumilia maumivu. Kwanza wana riba kubwa wanajifanya riba yao ndogo wakijinasibu kukupa mkopo wa miaka hadi 8 au 9.

Nina mkopo kwako wote na huyu mwenzie ila kwa mwenzake sina maumivu na hawa jamaa ni benki inasaidia bila kuumia.

Zamani wakati nakuwa kunako miaka 5 hivi mzazi wangu alinifunguliaga akaunti japo ilikufa. Lkn hawa wana asili ya kudunduliza. Hata sasa wanadunduliza na wakikukama hata 3mil utailipa kwa uchungu sana.

Pamoja na mshahara wangu wa 3mil kwa mwezi lkn hawa ni kama kupe. Mkopo kwanza hauishi. Kwa anayepitia hii kitu atajua kamkopo kadogo wanakaweka kama kunyonya vibaya sana.

Hizi taasisi zijitahidi kuwa na kiasi. Chukueni riba ila kwa kiasi. This bank is exploiting loanees. Kwa kweli inasikitisha.

Nakumbuka nilijipanga nilipe hii pesa ndg ambayo haiishi..waligoma kutoa loan balance statement na barua. Ili nite pesa niwe huru. Huyu kijana alinizungusha na hadi kard niliiacha hapo hapo kumaanisha nilivunja ndoa na hii benk.

Mods huna haja kuondoa uzi huu haujamtaja yoyote zaidi ninatoa awareness kwa wananchi na watumishi hzi benki zijirekebishe. Wanatumia mbinu zisizowaz kwa raia kukwapua pesa kwa njia za mikopo na mikataba ya ulaghai.

Njnaamini hawa jamaa ni sikio la kufa japo wengi tuwakopaji sana huko. Umakuta nakopa nakatwa 450,000 kwa mwezi. This is fine. Ukikopa 3mil watakupigia 9 years hili deni haliishi.

Ulitaka kulipa deni watakuzungusha sana.

Kwa sasa ukitaka kukopa hawakukopeshi kama nni mtumishi bila salary yako kupitio kwao. Huu ni udhaifu na unyanyasaji. Wanataka wawavute watumishi kwa lazima. Na hakuna benki itakubali kukuhamishia mshahara uende kwengine kama umekopa . Hii ni aina ya unyanyasaji wa watumishi..benk hii inaongoza kwa hu unyanyasaji....

Baadhi ya shule wajukuu wanasoma.huko tunalipa ada basi tu kupitia hawa watu lkn hawafai kabisa
Yaani nina mkopo unaisha 2028 naumia lkn kwasababu niliazishia biashara ambayo kwasasa thanani yake ni kubwa sio mbaya
 
Yaani nina mkopo unaisha 2028 naumia lkn kwasababu niliazishia biashara ambayo kwasasa thanani yake ni kubwa sio mbaya
Sasa mkuu unaumia na nini kama biashara ipo hai? Sema ulitimiza malengo ya huo mkopo! Kama biashara inafanya vizuri hutakiwi tena kuendelea kurejesha mkopo kwa kutumia mshahara, biashara ianze kuhudumia mkopo!
 
Hivi mtumishi aliyekopa kwa mshahara halafu bahati mbaya akafutwa kazi mkopo anaurejeshaje?
 
Sasa mkuu unaumia na nini kama biashara ipo hai? Sema ulitimiza malengo ya huo mkopo! Kama biashara inafanya vizuri hutakiwi tena kuendelea kurejesha mkopo kwa kutumia mshahara, biashara ianze kuhudumia mkopo!
Ngoja hili nifikirie kwa kweli
 
Sasa mkuu unaumia na nini kama biashara ipo hai? Sema ulitimiza malengo ya huo mkopo! Kama biashara inafanya vizuri hutakiwi tena kuendelea kurejesha mkopo kwa kutumia mshahara, biashara ianze kuhudumia mkopo!
Na taka baada ya mda nikufute tu
 
Watumishi walitakiwa wakope kwenye mifuko yao ya NSSF NA PSPF pamoja na NHIF maana pesa zao zinafanyiwa biashara na watu wengine wanajikopesha bila riba watumishi wapo wamebakia mama anaupiga mwingi nonsense kabisa.
 
Hii kasunba mtu akipata tu chek namba mbio kuenda kukopa.nna jamaa yang amekopa 20 ana service deni mpaka llishe atakua kalipa milioni 53.6 anaishi kwa kuandika proposal
Wengi wa watumishi wanaokopa huwa wanakopa kwa mkumbo...

Mtu akiona au kusikia flani kanunua gari, flani kajenga, flani ana biashara basi anajiona yeye anachelewa sana naye anakimbilia kukopa.

Hapo ndipo wengi wanapojichanganyaga..
 
Hivi mtumishi aliyekopa kwa mshahara halafu bahati mbaya akafutwa kazi mkopo anaurejeshaje?
Mkopo unakuwa ushakatiwa insurance. Ikitokea majanga yyt, iwe mtumishi kafariki aunkashindwa kuendelea na kazi kwa sababu za maradhi insurance inalipa. Ila hapa kwenye kufutwa kazi sina hakika sana kama bima ina cover labda wajuzi watuelemishe
 
Back
Top Bottom