Aramun
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 461
- 2,213
Asilimia 99% ya watumishi wanaokopa huwahawatoboi wala kuchomoka..Mkuuu Usipokopa hutakuja kuchomoka. Lkn unakopa wapi ndio ishu ilipo.
Kukopa is an illusion...
Wake up..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia 99% ya watumishi wanaokopa huwahawatoboi wala kuchomoka..Mkuuu Usipokopa hutakuja kuchomoka. Lkn unakopa wapi ndio ishu ilipo.
In this forum,we dare to talk openly.Kuna benki zinajitutumua kufanya kama defined bank services providers lkn ni wazushi sana. Sitowataja ila ni kati ya benki mbili maarufu zinazotumiwa na serikali kuwakopesha watumishi. Niseme ukweli benki ni taasisi za wizi asikuambie mtu. Zaidi na zaidi hawa wamezidi ni wadanganyifu.
Leo nimeamua niseme bila kutaja jina la hii taasisi.
Nilikopa mara mbili tu katika utumishi wangu wa miaka 27. Nikikaribia kustaafu sasa. Lkn wamenitia machungu na kwa kweli wananchi na watumishi tunakopa kwenye hizi benki lakini tunavumilia maumivu. Kwanza wana riba kubwa wanajifanya riba yao ndogo wakijinasibu kukupa mkopo wa miaka hadi 8 au 9.
Nina mkopo kwako wote na huyu mwenzie ila kwa mwenzake sina maumivu na hawa jamaa ni benki inasaidia bila kuumia.
Zamani wakati nakuwa kunako miaka 5 hivi mzazi wangu alinifunguliaga akaunti japo ilikufa. Lkn hawa wana asili ya kudunduliza. Hata sasa wanadunduliza na wakikukama hata 3mil utailipa kwa uchungu sana.
Pamoja na mshahara wangu wa 3mil kwa mwezi lkn hawa ni kama kupe. Mkopo kwanza hauishi. Kwa anayepitia hii kitu atajua kamkopo kadogo wanakaweka kama kunyonya vibaya sana.
Hizi taasisi zijitahidi kuwa na kiasi. Chukueni riba ila kwa kiasi. This bank is exploiting loanees. Kwa kweli inasikitisha.
Nakumbuka nilijipanga nilipe hii pesa ndg ambayo haiishi..waligoma kutoa loan balance statement na barua. Ili nite pesa niwe huru. Huyu kijana alinizungusha na hadi kard niliiacha hapo hapo kumaanisha nilivunja ndoa na hii benk.
Mods huna haja kuondoa uzi huu haujamtaja yoyote zaidi ninatoa awareness kwa wananchi na watumishi hzi benki zijirekebishe. Wanatumia mbinu zisizowaz kwa raia kukwapua pesa kwa njia za mikopo na mikataba ya ulaghai.
Njnaamini hawa jamaa ni sikio la kufa japo wengi tuwakopaji sana huko. Umakuta nakopa nakatwa 450,000 kwa mwezi. This is fine. Ukikopa 3mil watakupigia 9 years hili deni haliishi.
Ulitaka kulipa deni watakuzungusha sana.
Kwa sasa ukitaka kukopa hawakukopeshi kama nni mtumishi bila salary yako kupitio kwao. Huu ni udhaifu na unyanyasaji. Wanataka wawavute watumishi kwa lazima. Na hakuna benki itakubali kukuhamishia mshahara uende kwengine kama umekopa . Hii ni aina ya unyanyasaji wa watumishi..benk hii inaongoza kwa hu unyanyasaji....
Baadhi ya shule wajukuu wanasoma.huko tunalipa ada basi tu kupitia hawa watu lkn hawafai kabisa
Compounding interests zinawehusha watu Akili kule Marekani , huku mkopo wa nyumba ,huku mkopo wa gari ,huku mkopo WA credit cards kwa ajili ya manunuzi ya kawaidaKuna benki zinajitutumua kufanya kama defined bank services providers lkn ni wazushi sana. Sitowataja ila ni kati ya benki mbili maarufu zinazotumiwa na serikali kuwakopesha watumishi. Niseme ukweli benki ni taasisi za wizi asikuambie mtu. Zaidi na zaidi hawa wamezidi ni wadanganyifu.
Leo nimeamua niseme bila kutaja jina la hii taasisi.
Nilikopa mara mbili tu katika utumishi wangu wa miaka 27. Nikikaribia kustaafu sasa. Lkn wamenitia machungu na kwa kweli wananchi na watumishi tunakopa kwenye hizi benki lakini tunavumilia maumivu. Kwanza wana riba kubwa wanajifanya riba yao ndogo wakijinasibu kukupa mkopo wa miaka hadi 8 au 9.
Nina mkopo kwako wote na huyu mwenzie ila kwa mwenzake sina maumivu na hawa jamaa ni benki inasaidia bila kuumia.
Zamani wakati nakuwa kunako miaka 5 hivi mzazi wangu alinifunguliaga akaunti japo ilikufa. Lkn hawa wana asili ya kudunduliza. Hata sasa wanadunduliza na wakikukama hata 3mil utailipa kwa uchungu sana.
Pamoja na mshahara wangu wa 3mil kwa mwezi lkn hawa ni kama kupe. Mkopo kwanza hauishi. Kwa anayepitia hii kitu atajua kamkopo kadogo wanakaweka kama kunyonya vibaya sana.
Hizi taasisi zijitahidi kuwa na kiasi. Chukueni riba ila kwa kiasi. This bank is exploiting loanees. Kwa kweli inasikitisha.
Nakumbuka nilijipanga nilipe hii pesa ndg ambayo haiishi..waligoma kutoa loan balance statement na barua. Ili nite pesa niwe huru. Huyu kijana alinizungusha na hadi kard niliiacha hapo hapo kumaanisha nilivunja ndoa na hii benk.
Mods huna haja kuondoa uzi huu haujamtaja yoyote zaidi ninatoa awareness kwa wananchi na watumishi hzi benki zijirekebishe. Wanatumia mbinu zisizowaz kwa raia kukwapua pesa kwa njia za mikopo na mikataba ya ulaghai.
Njnaamini hawa jamaa ni sikio la kufa japo wengi tuwakopaji sana huko. Umakuta nakopa nakatwa 450,000 kwa mwezi. This is fine. Ukikopa 3mil watakupigia 9 years hili deni haliishi.
Ulitaka kulipa deni watakuzungusha sana.
Kwa sasa ukitaka kukopa hawakukopeshi kama nni mtumishi bila salary yako kupitio kwao. Huu ni udhaifu na unyanyasaji. Wanataka wawavute watumishi kwa lazima. Na hakuna benki itakubali kukuhamishia mshahara uende kwengine kama umekopa . Hii ni aina ya unyanyasaji wa watumishi..benk hii inaongoza kwa hu unyanyasaji....
Baadhi ya shule wajukuu wanasoma.huko tunalipa ada basi tu kupitia hawa watu lkn hawafai kabisa
Ina maana unategemea saving (kuweka akiba) au sio?10M kwa mkupuo ni ngumu...
Ila kwa mwaka huwa siikosi...
Siri ni kuishi ktk kipato chako, matumizi yawe theluthi ya unachokipata..
Yaani nina mkopo unaisha 2028 naumia lkn kwasababu niliazishia biashara ambayo kwasasa thanani yake ni kubwa sio mbayaKuna benki zinajitutumua kufanya kama defined bank services providers lkn ni wazushi sana. Sitowataja ila ni kati ya benki mbili maarufu zinazotumiwa na serikali kuwakopesha watumishi. Niseme ukweli benki ni taasisi za wizi asikuambie mtu. Zaidi na zaidi hawa wamezidi ni wadanganyifu.
Leo nimeamua niseme bila kutaja jina la hii taasisi.
Nilikopa mara mbili tu katika utumishi wangu wa miaka 27. Nikikaribia kustaafu sasa. Lkn wamenitia machungu na kwa kweli wananchi na watumishi tunakopa kwenye hizi benki lakini tunavumilia maumivu. Kwanza wana riba kubwa wanajifanya riba yao ndogo wakijinasibu kukupa mkopo wa miaka hadi 8 au 9.
Nina mkopo kwako wote na huyu mwenzie ila kwa mwenzake sina maumivu na hawa jamaa ni benki inasaidia bila kuumia.
Zamani wakati nakuwa kunako miaka 5 hivi mzazi wangu alinifunguliaga akaunti japo ilikufa. Lkn hawa wana asili ya kudunduliza. Hata sasa wanadunduliza na wakikukama hata 3mil utailipa kwa uchungu sana.
Pamoja na mshahara wangu wa 3mil kwa mwezi lkn hawa ni kama kupe. Mkopo kwanza hauishi. Kwa anayepitia hii kitu atajua kamkopo kadogo wanakaweka kama kunyonya vibaya sana.
Hizi taasisi zijitahidi kuwa na kiasi. Chukueni riba ila kwa kiasi. This bank is exploiting loanees. Kwa kweli inasikitisha.
Nakumbuka nilijipanga nilipe hii pesa ndg ambayo haiishi..waligoma kutoa loan balance statement na barua. Ili nite pesa niwe huru. Huyu kijana alinizungusha na hadi kard niliiacha hapo hapo kumaanisha nilivunja ndoa na hii benk.
Mods huna haja kuondoa uzi huu haujamtaja yoyote zaidi ninatoa awareness kwa wananchi na watumishi hzi benki zijirekebishe. Wanatumia mbinu zisizowaz kwa raia kukwapua pesa kwa njia za mikopo na mikataba ya ulaghai.
Njnaamini hawa jamaa ni sikio la kufa japo wengi tuwakopaji sana huko. Umakuta nakopa nakatwa 450,000 kwa mwezi. This is fine. Ukikopa 3mil watakupigia 9 years hili deni haliishi.
Ulitaka kulipa deni watakuzungusha sana.
Kwa sasa ukitaka kukopa hawakukopeshi kama nni mtumishi bila salary yako kupitio kwao. Huu ni udhaifu na unyanyasaji. Wanataka wawavute watumishi kwa lazima. Na hakuna benki itakubali kukuhamishia mshahara uende kwengine kama umekopa . Hii ni aina ya unyanyasaji wa watumishi..benk hii inaongoza kwa hu unyanyasaji....
Baadhi ya shule wajukuu wanasoma.huko tunalipa ada basi tu kupitia hawa watu lkn hawafai kabisa
Which is better than kupigwa kizembe na banks...Ina maana unategemea saving (kuweka akiba) au sio?
Sasa mkuu unaumia na nini kama biashara ipo hai? Sema ulitimiza malengo ya huo mkopo! Kama biashara inafanya vizuri hutakiwi tena kuendelea kurejesha mkopo kwa kutumia mshahara, biashara ianze kuhudumia mkopo!Yaani nina mkopo unaisha 2028 naumia lkn kwasababu niliazishia biashara ambayo kwasasa thanani yake ni kubwa sio mbaya
Ngoja hili nifikirie kwa kweliSasa mkuu unaumia na nini kama biashara ipo hai? Sema ulitimiza malengo ya huo mkopo! Kama biashara inafanya vizuri hutakiwi tena kuendelea kurejesha mkopo kwa kutumia mshahara, biashara ianze kuhudumia mkopo!
Na taka baada ya mda nikufute tuSasa mkuu unaumia na nini kama biashara ipo hai? Sema ulitimiza malengo ya huo mkopo! Kama biashara inafanya vizuri hutakiwi tena kuendelea kurejesha mkopo kwa kutumia mshahara, biashara ianze kuhudumia mkopo!
Sasa ndio highest level.principal IMiaka 27 kazini 3m ni matusi mkuu
Hii kasunba mtu akipata tu chek namba mbio kuenda kukopa.nna jamaa yang amekopa 20 ana service deni mpaka llishe atakua kalipa milioni 53.6 anaishi kwa kuandika proposalAsilimia 99% ya watumishi wanaokopa huwahawatoboi wala kuchomoka..
Kukopa is an illusion...
Wake up..
Kwa nini mkuu unifute? Nimekukosea nini?😁😁Na taka baada ya mda nikufute tu
Wengi wa watumishi wanaokopa huwa wanakopa kwa mkumbo...Hii kasunba mtu akipata tu chek namba mbio kuenda kukopa.nna jamaa yang amekopa 20 ana service deni mpaka llishe atakua kalipa milioni 53.6 anaishi kwa kuandika proposal
Mkopo unakuwa ushakatiwa insurance. Ikitokea majanga yyt, iwe mtumishi kafariki aunkashindwa kuendelea na kazi kwa sababu za maradhi insurance inalipa. Ila hapa kwenye kufutwa kazi sina hakika sana kama bima ina cover labda wajuzi watuelemisheHivi mtumishi aliyekopa kwa mshahara halafu bahati mbaya akafutwa kazi mkopo anaurejeshaje?