Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Amin nakwambia,wewe Huwezi kumpa mwanamke mtaji hata kama unampenda...HUWEZI..
 
Bado huijui bia wewe, yaani utafute 50k kwa ajili ya kulipia mbunye.
Unaacha kumwagilia moyo mkuu, mbunye unalipia 50k halafu ukikojoa tu chwaaah utamu umeisha.
 
Mara nyingi pesa huwasaidia wanaume kuwapata wanawake kirahisi.Pesa Ina nafasi Yake kwenye mahusiano.
 
Watakaokuelewa ni sisi wachache wenye akili za kifogo mkuu.

You see,Sugu,TAITA pamoja na utajiri wake ila kila mara anajisifia kuwa mke wake ana pesa.Na kuna siku Sugu alijigamba kuwa kamwe hawezi kurudi kwenye umasikini sbb hata ikitokea akayumba wife wake Happy ataokoa jahazi sbb mke pia anaingiza pesa zake.

Mwanaume unatakiwa uwe na wife leo ukimpeleka Dubai mwakani anaku suprise kwa kuipeleka familia Ibiza.

Unatakiwa uwe na wife hata ukifa au kuugua mwaka familia haiteseki sbb mama ana uwezo wa kulisongesha.

Mwanamke asiyemudu hata vocha au mlo wake ni LAANA.

Huyu hata ushauri wa maana hawezi kukupa.
Huyu ni wale ukikaa nae maongezi pekee anayomudu ni ya ngono ngono na kubebishana ,ukibadili topic ni pumba tu anaproduce.
 
Hapo unakua na uhakika mapenzi ni ya kweli.
Hata siku ukiwa nazo unamnunulia gari bila kusita.
 
Bado huijui bia wewe, yaani utafute 50k kwa ajili ya kulipia mbunye.
Unaacha kumwagilia moyo mkuu, mbunye unalipia 50k halafu ukikojoa tu chwaaah utamu umeisha.
Hahaha.............hujajua utamu wa kei wewe, ushawahi kupewa huku unaulizwa babe umeridhika au nikupe zaidi....🏃🏃🏃
 
Amin nakwambia,wewe Huwezi kumpa mwanamke mtaji hata kama unampenda...HUWEZI..
Hata hamu ya kujishughulisha huwa inakua maradufu
nyie ma auntie vijana wa saivi hatutaki hayo mambo ya kutegemewa kwenye kila kitu, tunataka mabinti wanaojiongeza😂

NB: nawasilisha hoja kistaarabu kabisa msinichukulie vibaya
 
Hahaha.............hujajua utamu wa kei wewe, ushawahi kupewa huku unaulizwa babe umeridhika au nikupe zaidi....🏃🏃🏃
Nyie wazee ndo mnatabia za hovyo ili tupate vijana smart and smartest people hatuitaji jamii kuwa na watu wa hovyo Kama wewe


Wewe hapo umefanikiwa upo well financially stable so wakati nyie mnatoboa Maisha uwanja ulikuwa mrahisi to compare for the time being .


Sex is overrated ukisema utamu wa K hiyo K inautamu gani Hadi kuifananisha na Pesa

Honestly I bealive Mtoa Mada yupo sahihi anapambana kuhakikisha siku zijazo. tunapata vijana Bora huwezi kuwa unapambana na Maisha huku umezungukwa na mademu wa hovyo ambao wanaomba omba vocha then ukapiga hatua.
 
nyie ma auntie vijana wa saivi hatutaki hayo mambo ya kutegemewa kwenye kila kitu, tunataka mabinti wanaojiongeza😂
Hao mashangazi waambie wamtazame Nandi mtoto Mdogo anapambana Hadi anaolewa na kijana billnass asiye na. Mkwanja wa kutosha then anampa zawadi ya gari siku ya birthday yake. Mashangazi wa JF wajifunze hapo
 
Hem nieleze mimi nisiyeelewa, unahitaji kumuona gf wako sehemu, unajua kabisa hana kipato. Wewe utafanyaje?
Kwanini akose kipato?
Kwa hiyo kama hana bwana wakumpa hela vipi pedi anapataje?

Wenye fikra za kitajiri anazoziongelea mtoa mada atauza hata genge,atatbeza hata mitumba maofisini.Na huyu wa hivi hata ukimpa mtaji ni rahisi kukua kiuchumi.
 
Legend yaani mnanipa mawazo sana kama mnaogopa hata kununua vocha jamani,.....jamani kizazi Cha baba zetu ndio kinaishia hivyo
Kipindi wewe unashangaa hivyo sisi wenyewe tunawashangaa ninyi manaoitaka hamsini Kwa hamsini ikiwamnashindwa kujinunulia VOCHA na kujimudu kwa NAULI YA BUKU TATU
 
Kipindi wewe unashangaa hivyo sisi wenyewe tunawashangaa ninyi manaoitaka hamsini Kwa hamsini ikiwamnashindwa kujinunulia VOCHA na kujimudu kwa NAULI UA BUKU TATU
Brother,ngoja nijiongelee Binafsi,Siko vibaya kiuchumi kabisa namshukuru Mungu Kwa Hilo,naweza kujipeleka hata vacation inapobidi,lakini siwezi nenda Kwa mwanaume wangu mkoa au nchi nyingine bila kunitumia nauli,......Akituma nauli huyo Yuko serious na hayo mahusiano....Sasa mtu hawezi hata kutumia nauli wanini huyo?
 
Mahusiano ni kusaidiana sio kuumizana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…